Killing machine
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 2,052
- 2,995
👉Lisemwalo lipo Kama halipo laja/
👉Ukitaka mwenda ng'ambo Kwanza Jenga dalaja;/
👉Maranyingi maiti haiamki
kwafaraja/
👉Nakira baada chozi Basi kifwatacho faraja/
👉Polisi na raia skuizi ukatili
👉Sosiri kila sehemu ukatili
👉Uongozi ulo ukataa madarakani umesha jiri
👉Madaraka yanatumika kujiongezea utari
👉Skuizi binti ZAKO Wana vaa vimini
👉Ndoa Zina vunjika waumezao Hawa waamini
👉Baba anavaa kibode mama Ana vaa kimini
👉Tanzania ya Skuizi haki ya mungu huwezi amini
👉Skuizi bungeni zinapigwa
👉Pesa ikohuru haki imefungwa
👉Inchi IPO huru raia wafungwa
👉Wanaya wapo huru raia wafungwa
👉See the life through my eyes
👉Polisi lao moja na jambaazi
👉Wasomi wapowengi Ila hawanakazi
👉Na ukosefu wa ajira ndo chanzo Cha uja mbaazi👊👊👊😂😂
👉Ukitaka mwenda ng'ambo Kwanza Jenga dalaja;/
👉Maranyingi maiti haiamki
kwafaraja/
👉Nakira baada chozi Basi kifwatacho faraja/
👉Polisi na raia skuizi ukatili
👉Sosiri kila sehemu ukatili
👉Uongozi ulo ukataa madarakani umesha jiri
👉Madaraka yanatumika kujiongezea utari
👉Skuizi binti ZAKO Wana vaa vimini
👉Ndoa Zina vunjika waumezao Hawa waamini
👉Baba anavaa kibode mama Ana vaa kimini
👉Tanzania ya Skuizi haki ya mungu huwezi amini
👉Skuizi bungeni zinapigwa
👉Pesa ikohuru haki imefungwa
👉Inchi IPO huru raia wafungwa
👉Wanaya wapo huru raia wafungwa
👉See the life through my eyes
👉Polisi lao moja na jambaazi
👉Wasomi wapowengi Ila hawanakazi
👉Na ukosefu wa ajira ndo chanzo Cha uja mbaazi👊👊👊😂😂