Penye amani upendo unatanda..|
Tangu zamani hawagusi hizi anga..|
Veteran kwenye huu mziki usiobamba..|
Underground nae-shine gizani kama shetani au mwanga..|
Nalinda culture utasema bowseman wakanda..|
Masera Vichwa maji na mimi haziivi/
Ni sawa na kum-compare
De Opera na prof shivji/
Kunidisi sio rahisi kama kukata div/
We endelea kutema shit utadhani chizi..|
Ila jua huniwezi ata uvae hirizi..|
Huwezi badili mwendo hata uvae buti..|
Unajiona tembo wakati unapigo za pusy pusy..|
Kiufupi na kuona mrembo yaan byuti byuti..| (na)
ukitaka skendo nakugeuza amberuty..|