INAUZWA Miche ya kisasa ya matunda inauzwa

INAUZWA Miche ya kisasa ya matunda inauzwa

Mna miche ya migomba ya ndizi za kuiva aina ya Williamson? Miche ya mipapai na mipera ya muda mfupi? Ni muda gani inaweza kuanza kuzaa kwa kila aina ya matunda niliyotaja hapo juu
 
Nisaidie kidogo aina ya hizi papai? Na vipi nikinunua mche nitahakikishiwa kuwa sio mipapai dume maana nimeambiwa mipapai dume ni mingi sana
Aina zote mbili ziko sawa,hakuna ambayo ina kiwango/idadi kubwa ya mbegu dume kuliko nyingine.Na mipapai au mbegu dume zinashauriwa kuwepo ila kwa uchache ili kuwezesha zoezi la uchavushaji.
 
Mna miche ya migomba ya ndizi za kuiva aina ya Williamson? Miche ya mipapai na mipera ya muda mfupi? Ni muda gani inaweza kuanza kuzaa kwa kila aina ya matunda niliyotaja hapo juu
Muda wa kuanza kupata matunda;
Pera,mwaka 1.6
Papai,miezi 7
migomba aina zote,miezi 12
 
Hiyo embe iliyozaa hapo ni embe gani? Ya muda mfupi zaidi naweza pata ya muda gani?
Hilo ni embe aina ya kent.
Embe hizo pamoja na nyingine za kisasa,huanza kutoa maua baada ya miezi 6 na uzao wa kwanza miezi 7-8
 
IMG-20220411-WA0005.jpg
ndizi aina ya malindi /kimalindi. Hizi ni kwa ajili ya tunda
 
Aina ya viungo tulivyo navyo kitaluni kwetu
*Tangawizi
*Mdalasini
*Karafuu
*mchaichai
*German tea
 
mkuu nazipateje maana ndo muda wa mvua huu unapunguza gharama za umwagiliaji!
Mkuu tunasafirisha parcels kwenye mabasi. Karibu uweke odder nikuhudumie
0719527062/0757056472
mkuu nazipateje maana ndo muda wa mvua huu unapunguza gharama za umwagiliaji!
Mkuu tunasafirisha parcels kwenye mabasi. Karibu uweke odder yako nikuhudumie
0719527062/0757056472
 
Huduma zetu ni za kipekee

*Mteja anaponunua miche tunamtumia maelezo ambayo hayo ni muongozo wa jinsi ya kupanda miche yetu kitaalamu ili kupata matokeo tarajiwa.

* Mteja atakuwa huru kuuliza swali lolote wakati wowote,ili kupata maelezo zaidi au kutatua changamoto pindi miche inapokuwa shambani mpaka pale atakapo vuna.

*Kila baada ya miezi 2 tunafanya follow up kwa wateja wetu wote ili kujua maendeleo na changamoto wanazokutana nazo ili kuzitatua mapema.Na sio tu kumuuzia Mteja miche na kumuacha.

Huduma hizi za ziada zinatufanya sisi kuwa tofauti na wengine, we are the best in town.
 
Karibuni SUA,Horticulture hapo utakutana na wahudumu with good customer care.
Asante Jf,Ninajivunia kuwahudumia
 
Back
Top Bottom