Michele Obama vs Donald Trump Uchaguzi Mkuu wa Marekani

Wachambuzi wa siasa za Marekani wakitokea Tanzania, kazi kweli kweli.
 
Wengine wanasema Kamala Harris ndio πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://twitter.com/TheCitizenTz/status/1808544068659785779?t=wj9tGJX32DQ_i41hH4fo5w&s=19
 
Sasa itakuwaje kwa Bi Kamala Harris, wakati alikuwa akiingojea nafasi hiyo kwa hamu na ghamu?
Na ni bora mtu mweusi asipitishwe kugombea, hawana utu wala huruma kwa nchi za kiafrika/kiarabu, refer Simba wa Afrika marehem gadafi kilichomkuta kwenye utawala wa obama
 
Na ni bora mtu mweusi asipitishwe kugombea, hawana utu wala huruma kwa nchi za kiafrika/kiarabu, refer Simba wa Afrika marehem gadafi kilichomkuta kwenye utawala wa obama
Trump yule ni kenge kabisa, aliichukia sana Afrika akasema ni shithole countries! Kkmk! Mbaguzi sana yule!
 
Huo ni ujamuishaji wa mambo. Utu hauna uhusiano na rangi ya ngozi ya mtu wala mahali atokapo.

Marais wa marekani wanajulikana hawana utu kwa ukatili wao, but mtu mweusi mf obama tulijua Afrika imepata mtu wa kuwatetea na haitakuja kufanyiwa ushenzi+dhulma na mauwaji chini ya obama, na haikua hivyo ndio yale yale ya George W. Bush

Saddam chini ya utawala wa G. Bush
Gaddafi chini ya utawala wa Obama
 
Huo uchaguzi unaovutia hisia zako, then unafaidika na nini?
Mimi siwezi kufanana na wewe hata kama tungekuwa ndugu tusingeweza kufanana kihivyo. Watu hawawezi kufanana bwana kama karatasi za A-4.
 
Na ni bora mtu mweusi asipitishwe kugombea, hawana utu wala huruma kwa nchi za kiafrika/kiarabu, refer Simba wa Afrika marehem gadafi kilichomkuta kwenye utawala wa obama
Gadaffi aliuwawa na Walibya wenzake waliokuwa wamechoka na utawala wake wa kiimla wa zaidi ya miaka 40 na hakuwa simba wa Afrika bali alikuwa ni gaidi tu kama magaidi wengine.
 
Gadaffi aliuwawa na Walibya wenzake waliokuwa wamechoka na utawala wake wa kiimla wa zaidi ya miaka 40 na hakuwa simba wa Afrika bali alikuwa ni gaidi tu kama magaidi wengine.
Watu wengi wanadanganywa na wanasiasa wa Afrika kwamba alikuwa mtu mwema, aliyeeijenga na kuiheshimisha Libya. Ila ukweli Gaddafi alikuwa Gaidi na mhalifu kama wahalifu wengine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…