Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rekebisha hapo kwenye mke, ni mume!MAREKANI - Michelle Obama, mke wa Rais wa zamani wa Marekani, Barack Obama, ndiye mgombea pekee kwa tiketi ya demokrati
Kule Wana mifumo na katiba safi sio kama huku Kuna usengerema wa kipumbavu!Takataka kama hii yetu
Atashinda kwasababu ya Obama mumeweHakuna upumbavu kama huo states mjomba, kama alishindwa Hillary Clinton Leo Michelle? Trump apambane na Joe na hawezi kutoboa.
Ndiyo anapiga kura amaAtashinda kwasababu ya Obama mumewe
Kwa mabeberu ya Kiyahudi 😂Hicho kionyesha mapaja mnataka ndio kiwe Rais wa America 😄
Yeye na Trump na hicho kyehu Biden wote hawafai kuwa ma Raisi.
Kwa ujumal America wana vote nini ni ujinga tu, kuwasimamisha watu masaa kupiga kura.
Rais anakuwa kisha pangwa na AIPAC, sijui kelele za media sijui Electoral votes au Electoral College hizo ni mchanga kwenye macho tu.
Ukitaka kuwa Rais wa America lazima ukagonoke kule AIPAC 😄
Na wao mbona wako wengi tu nchi za Kislam, nyie hamfahamu tatizo sio Waislam na Wayahudi tatuzo ni wale mazionist.Kwa mabeberu ya Kiyahudi 😂
Acha kusemea watu ..Baada ya World Cup tukio linalofuata na kuvutia hisia za watu duniani ni uchaguzi wa Marekani. Hakuna mwenye kupoteza muda kufuatilia chaguzi kwenye tu-nchi kama Russia, China wala Iran kama kweli zinafanya uchaguzi.
Sasa wewe unaposema watu waache kufuatilia uchaguzi wenye heshima kama wa taifa kubwa kama Marekani sijui sasa unataka tufuatilie uchaguzi gani wakati hata nchi yako tu bado imeshindwa kufanya uchaguzi hadi leo.
Watu gani nimewasemea.⁉️Acha kusemea watu ..
AIPAC ilianzishwa lini??Hicho kionyesha mapaja mnataka ndio kiwe Rais wa America 😄
Yeye na Trump na hicho kyehu Biden wote hawafai kuwa ma Raisi.
Kwa ujumal America wana vote nini ni ujinga tu, kuwasimamisha watu masaa kupiga kura.
Rais anakuwa kisha pangwa na AIPAC, sijui kelele za media sijui Electoral votes au Electoral College hizo ni mchanga kwenye macho tu.
Ukitaka kuwa Rais wa America lazima ukagonoke kule AIPAC 😄
1963AIPAC ilianzishwa lini??
Yan mtu akiishi tu marekani anajifanya anaijua America yoteHalafu sio ujuaji tu wengi wetu ni wajinga bado sana bro. Yaan dunia ilipo na tulipo ni kifo na usingiz.