Michele Obama vs Donald Trump Uchaguzi Mkuu wa Marekani

Michele Obama vs Donald Trump Uchaguzi Mkuu wa Marekani

Sisi wamarekani wa bongoland tunasimama na Trump, madhara ya kumuachia mwanamke mji siyo mazuri,mfano upo hai Kuna nchi ya kusadikika inaongozwa na chura kiziwi hiyo nchi ni reference tosha kuhusu mwanamke kupewa madaraka
 
Hicho kionyesha mapaja mnataka ndio kiwe Rais wa America 😄

Yeye na Trump na hicho kyehu Biden wote hawafai kuwa ma Raisi.


Kwa ujumal America wana vote nini ni ujinga tu, kuwasimamisha watu masaa kupiga kura.

Rais anakuwa kisha pangwa na AIPAC, sijui kelele za media sijui Electoral votes au Electoral College hizo ni mchanga kwenye macho tu.


Ukitaka kuwa Rais wa America lazima ukagonoke kule AIPAC 😄
Kwa mabeberu ya Kiyahudi 😂
 
Kwa mabeberu ya Kiyahudi 😂
Na wao mbona wako wengi tu nchi za Kislam, nyie hamfahamu tatizo sio Waislam na Wayahudi tatuzo ni wale mazionist.

Wayahudi wanao fata mafunzo haswa ya Nabii Mussa hawachukii wafuasi wa Mtume Muhammad, hata siku moja unless awe kapata ukakasi wa Paulo 😄
 
Baada ya World Cup tukio linalofuata na kuvutia hisia za watu duniani ni uchaguzi wa Marekani. Hakuna mwenye kupoteza muda kufuatilia chaguzi kwenye tu-nchi kama Russia, China wala Iran kama kweli zinafanya uchaguzi.

Sasa wewe unaposema watu waache kufuatilia uchaguzi wenye heshima kama wa taifa kubwa kama Marekani sijui sasa unataka tufuatilie uchaguzi gani wakati hata nchi yako tu bado imeshindwa kufanya uchaguzi hadi leo.
Acha kusemea watu ..
 
Trump anafaa zaidi ni mtu wa maana sana huyo mzee
 
Hicho kionyesha mapaja mnataka ndio kiwe Rais wa America 😄

Yeye na Trump na hicho kyehu Biden wote hawafai kuwa ma Raisi.


Kwa ujumal America wana vote nini ni ujinga tu, kuwasimamisha watu masaa kupiga kura.

Rais anakuwa kisha pangwa na AIPAC, sijui kelele za media sijui Electoral votes au Electoral College hizo ni mchanga kwenye macho tu.


Ukitaka kuwa Rais wa America lazima ukagonoke kule AIPAC 😄
AIPAC ilianzishwa lini??
 
Back
Top Bottom