Michele Obama vs Donald Trump Uchaguzi Mkuu wa Marekani

Trump ni next President period!
Akili zitatia akili
 
Sisi wamarekani wa bongoland tunasimama na Trump, madhara ya kumuachia mwanamke mji siyo mazuri,mfano upo hai Kuna nchi ya kusadikika inaongozwa na chura kiziwi hiyo nchi ni reference tosha kuhusu mwanamke kupewa madaraka
 
Kwa mabeberu ya Kiyahudi πŸ˜‚
 
Kwa mabeberu ya Kiyahudi πŸ˜‚
Na wao mbona wako wengi tu nchi za Kislam, nyie hamfahamu tatizo sio Waislam na Wayahudi tatuzo ni wale mazionist.

Wayahudi wanao fata mafunzo haswa ya Nabii Mussa hawachukii wafuasi wa Mtume Muhammad, hata siku moja unless awe kapata ukakasi wa Paulo πŸ˜„
 
Acha kusemea watu ..
 
Trump anafaa zaidi ni mtu wa maana sana huyo mzee
 
AIPAC ilianzishwa lini??
 
Halafu sio ujuaji tu wengi wetu ni wajinga bado sana bro. Yaan dunia ilipo na tulipo ni kifo na usingiz.
Yan mtu akiishi tu marekani anajifanya anaijua America yote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…