Ab-Titchaz
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 14,630
- 4,253
- Thread starter
-
- #421
Mkuu umesahau alienda Jamaica? kwenye bembea?Kwa style hii lazima utendaji wa kazi uwe makini kwani unapoweza ku-refresh mind inakuwa nzuri sana hata kwa afaya. Hivi JK amewahi hata kwenda mikumi tu kuangalia tembo, twiga na wale nyani wanaorukaruka barabarani au ndio yuko bize kutekereza ilani ya sisiem???😛ound:😛ound:
Mkuu umesahau alienda Jamaica? kwenye bembea?
jamani jamaa ana mvuto ile mbaya!!unaweza ukamuachia ile kitu bila kujijua:A S tongue:
jamani jamaa ana mvuto ile mbaya!!unaweza ukamuachia ile kitu bila kujijua:A S tongue:
Chalinze????????????Hivi huyu wakwetu (JK) vekesheni yake anaifanyiaga wapi..... :lol: :lol: