Michelle Obama; America's Most Photographed 1st Lady!

Michelle Obama; America's Most Photographed 1st Lady!

Hivi huyu wakwetu (JK) vekesheni yake anaifanyiaga wapi..... :lol: :lol:

unafanya mchezo nini vaKESHENI WAMCHUKUE PICHA YAANI JINSI FAMILIA ILIVYO NA MITOTO LUKUKI WENGINE WATAKATWA KWENYE PICHA
 
Walah hako ka festi bon ka Obama ni moto wa kuotea mbali, utadhani sio binti wa kijaluo
 
35ckhg1.jpg

 
Ab-Tichaz, mbona hilo vazi lipo poa na la kawaida sana, kwa nini umekoma ubishi wewe?? tena kapendeza bibie ila tu mwili wake si wa mavazi hayo ingawa mimi si mtaalamu sana wa mavazi ya kike
 
article-1300240-0AB0369C000005DC-40_468x424.jpg

Kuwa mlinzi wa huyu mama ni shughuli pevu, huo urefu tu sijui ni ft ngapi.
 
kila kitu ni perfect hapo kuanzia mwili umeendana na kivazi chake .EEH MUNGU KAMBARIKI MAMA HUYO.PENDEZA SANA MODERN WOMAN.:love:
 
Umekoma ubishi kwa nini AB mbona cha kawaida tu ..sema nikivaa mie sionekani lakini kwa vile kavaa yeye ndio hivyo tena
 
Na hilo bega la upande mwingine lingefunikwa ingekuwa bomba sn.
...Huenda anataka tuone vimisuli vyake sijui anafanya mazoezi ya goju-ryuu huu mama! ilitakiwa na shemeji yetu Salma apate ushauri sidhani kama kuna mazoezi yoyote anayofanya yule bibie anajinenepea tu!!:rant::rant:
 
...Huenda anataka tuone vimisuli vyake sijui anafanya mazoezi ya goju-ryuu huu mama! ilitakiwa na shemeji yetu Salma apate ushauri sidhani kama kuna mazoezi yoyote anayofanya yule bibie anajinenepea tu!!:rant::rant:

thubutu..yale makuku amwachie nani..?:yawn:
 
...Huenda anataka tuone vimisuli vyake sijui anafanya mazoezi ya goju-ryuu huu mama! ilitakiwa na shemeji yetu Salma apate ushauri sidhani kama kuna mazoezi yoyote anayofanya yule bibie anajinenepea tu!!:rant::rant:

Shem afanye mazoezi ili afanane na nani, shem ni jimama la kiafrika haswaa, na anapendeza na nguo anazovaa. Mke wetu hawezi kuvaa kama mama obama bwana, ni kacha mbili tofauti kabisa.
 
...Huenda anataka tuone vimisuli vyake sijui anafanya mazoezi ya goju-ryuu huu mama! ilitakiwa na shemeji yetu Salma apate ushauri sidhani kama kuna mazoezi yoyote anayofanya yule bibie anajinenepea tu!!:rant::rant:

Ha ha hahahaaaa kwi kwi kwikwiwiiiiiii: paka: paka:
Mkuu, ananenepeana ni matunda ya WAMA na Tanzania Women Bank
 
...Huenda anataka tuone vimisuli vyake sijui anafanya mazoezi ya goju-ryuu huu mama! ilitakiwa na shemeji yetu Salma apate ushauri sidhani kama kuna mazoezi yoyote anayofanya yule bibie anajinenepea tu!!:rant::rant:

Mazoezi ya Huyu First Lady siyo ya kawaida! Huamka saa 11 alfajiri kila siku na kufanya mazoezi ( gym), kisha huwaandalia wanawe mwenyewe ( kuwatayarisha kwa ajili ya kwenda shule) pamoja na shughuli nyingine.Habweteki kwa vile ni first lady eti na ndio maana inalipa kwenye muonekano wake.MANYAMA UZEMBE HAPO HAYANA NAFASI.
 
Mazoezi ya Huyu First Lady siyo ya kawaida! Huamka saa 11 alfajiri kila siku na kufanya mazoezi ( gym), kisha huwaandalia wanawe mwenyewe ( kuwatayarisha kwa ajili ya kwenda shule) pamoja na shughuli nyingine.Habweteki kwa vile ni first lady eti na ndio maana inalipa kwenye muonekano wake.MANYAMA UZEMBE HAPO HAYANA NAFASI.
First Lady wetu Tz
Huamshwa mara tatu ndio huamka
Kila kitu anafanyiwa kasoro usafi wa mwili km kuoga,haja
Hakuna cha mlo maalum bali chochote kitakachokuwepo mezani basi ni kanyaga twende
Suala la mazoezi sahau milele
 
kwa raha zao na utamaduni wao,,,afu bado msichana acha avae kata mikono
 
Back
Top Bottom