Michelle wetu kunani jaman!

Michelle wetu kunani jaman!

Aisee...mi ni speshalisti wa Jukwaa la MMU katika idara ya Wajukuu. Simpotezi hata mmoja.

Aisee kajukuu nshazeeka....hivi ulizaliwa Birmingham au Stoke?

Hicho kiinglishi hakikuwa kwenye silabasi yetu wakati tunasome enzi za mkoloni.

Nakumbuka tuliishie kwenye topic ya...Gudimong ticha, faini senkyu tichaa, wii aaa sitting daun senkyu ticha. Nakumbuka nilipata A ya kiinglishi. Ila hichi cha kwako ulikuwa unamaanisha Hosni Mubaraka kaingia mitini au?


Hiyo ni master's ya HARVARD babu,kazi uliifanya nzuri!!!najua Babu aelewa kidhungu,nilipomleta yule mjukuu mbona uliongea nae? au kuna kauchokozi unatafuta wajukuu maana nimeona multi-quote wajukuu wawili? Babu........huko unakoelekea Babu.........:laugh::laugh:😛opcorn:
 
vp mamaa michelle ulipotelea pande zip wangu mana dah! Yan co cr kulipoa kimtindo yan dah? Sasa kama vp 2pe maujanja ni nn kilikuficha bana?
 
vp mamaa michelle ulipotelea pande zip wangu mana dah! Yan co cr kulipoa kimtindo yan dah? Sasa kama vp 2pe maujanja ni nn kilikuficha bana?

Maujanja ni BAN,hakuna ujanja mwingine MUREFU,vipi mechi ya leo,watabiri nini kati yetu na WOLVES?
 
Maujanja ni BAN,hakuna ujanja mwingine MUREFU,vipi mechi ya leo,watabiri nini kati yetu na WOLVES?

khs hl la mech na hawa nimeku2mia kwny PM mana hapa cwez kusema ila ushnd lazma
 
Hiyo ni master's ya HARVARD babu,kazi uliifanya nzuri!!!najua Babu aelewa kidhungu,nilipomleta yule mjukuu mbona uliongea nae? au kuna kauchokozi unatafuta wajukuu maana nimeona multi-quote wajukuu wawili? Babu........huko unakoelekea Babu.........:laugh::laugh:😛opcorn:

Hahahaha...na wewe umezidi kusoma katikati ya mistari bana.:coffee:
 
Aisee...mi ni speshalisti wa Jukwaa la MMU katika idara ya Wajukuu. Simpotezi hata mmoja.
Kweli Mkuu... lakini hata speshalisti si inabidi awe na ma-non speshalisti ili tupeane uspeshalisti...,

Lakini kazi nzuri kwenye hili Jukwaa Mkuu na kwa mashairi yako sina budi kusema kwamba wewe ni expert, lakini na sisi wasikilizaji tunaomba msitufukuze..,
 
Kote huko shindeni, mkija Anfield mtatua matatizo yenu....chama limekaa sawa vibaya.

Sawa, lakini usimsome babuyo lol

Tangia mfunge Chelsea mna jeuri sana Babu,ila am happy for you people,mlipita wakati mgumu sana but as always....YOU WILL NEVER WALK ALONE!!! Babu mi nakusoma mdogo mdogo tu,sikusomi sana,nisije opoa laana!!
 
Sijui kinachoendelea, mod hajatujulisha chochote kama BAN ya Michelle ni ya kukosa au ya kuomba mwenyewe. Ikiwa ni hii ya pili tumwombee arejee haraka. Ikiwa ni ya kukosea, ninamuomba MOD na uongozi wa JF wawe wanatoa ONYO, (ikiwezekana mara 3 kutegemea na ukubwa wa kosa) kabla ya kum-BAN mtu moja kwa moja. Sote ni binadamu na binadamu hukosea.
Michelle ni mmoja kati ya wachangiaji wazuri na mwenye busara. Kwa kipindi hiki, tutakosa busara zako dada.
 
Kweli Mkuu... lakini hata speshalisti si inabidi awe na ma-non speshalisti ili tupeane uspeshalisti...,

Lakini kazi nzuri kwenye hili Jukwaa Mkuu na kwa mashairi yako sina budi kusema kwamba wewe ni expert, lakini na sisi wasikilizaji tunaomba msitufukuze..,

Hahahaha...kwa kumvimbisha bichwa babu kamata hii:


The Following User Says Thank You to VoiceOfReason For This Useful Post:

Asprin (Today)


Usisahau Seksi moja ya babu ni sawa na senksi mia na hamsini za Michelle
 
Tangia mfunge Chelsea mna jeuri sana Babu,ila am happy for you people,mlipita wakati mgumu sana but as always....YOU WILL NEVER WALK ALONE!!! Babu mi nakusoma mdogo mdogo tu,sikusomi sana,nisije opoa laana!!

Aisee Michelle tutake radhi...tumewanyuka watu mechi nne mfululizo umesahau? Na katika nne bora tuko kwenye kinyang'anyiro!

Usimsome sana babu katikati ya mistari utajapofuka ukose mchumba. Nami nategemea nipate lendikruza jeupe kwenye mahari yako...
 
Sijui kinachoendelea, mod hajatujulisha chochote kama BAN ya Michelle ni ya kukosa au ya kuomba mwenyewe. Ikiwa ni hii ya pili tumwombee arejee haraka. Ikiwa ni ya kukosea, ninamuomba MOD na uongozi wa JF wawe wanatoa ONYO, (ikiwezekana mara 3 kutegemea na ukubwa wa kosa) kabla ya kum-BAN mtu moja kwa moja. Sote ni binadamu na binadamu hukosea.
Michelle ni mmoja kati ya wachangiaji wazuri na mwenye busara. Kwa kipindi hiki, tutakosa busara zako dada.

Nimerudi mkuu,BAN ilikuwa ya muda mfupi,sikuwahi pokea onyo nafikiri onyo ndo BAN,tuko pamoja!! Shukrani sana!
 
Aisee Michelle tutake radhi...tumewanyuka watu mechi nne mfululizo umesahau? Na katika nne bora tuko kwenye kinyang'anyiro!

Usimsome sana babu katikati ya mistari utajapofuka ukose mchumba. Nami nategemea nipate lendikruza jeupe kwenye mahari yako...

Nakutaka radhi babu yangu Aspirin!! Nitakuzawadia zaidi ya landcruiser!!! mjukuu kwenye magari mazuri muachie hiyo kazi!utanibariki zaidi!
 
Nakutaka radhi babu yangu Aspirin!! Nitakuzawadia zaidi ya landcruiser!!! mjukuu kwenye magari mazuri muachie hiyo kazi!utanibariki zaidi!

Pokea baraka kabla hujanninunulia:

Pokea baraka za Bwana.
Upate mwanaume hendisamu kama mimi babu yako,
Asiwe maskini kama mimi babu yako,
Awe na pesa mingi kama Rostam Aziz,
Awe na Baioloji ambayo haitakuumiza,
Ukimwambia umechoka aseme sawa n'ke wangu,
Asiwe na kibamia kikakuchafua na kukutekenya,
Asiwe mchafu
Akivaa viatu miguu yake isitoe harufu ya choo,
Asikugee mimba usizotarajia,
Asikuambukize gono wala kaswende,
Akienda kwa mwanamke mwingine baioloji yake igeuke kuwa ya kike....

Tunaomba hayo kwa jina la Babu mpenda pesa za wajukuu wa kike
Amen.
 
Pokea baraka kabla hujanninunulia:

Pokea baraka za Bwana.
Upate mwanaume hendisamu kama mimi babu yako,
Asiwe maskini kama mimi babu yako,
Awe na pesa mingi kama Rostam Aziz,
Awe na Baioloji ambayo haitakuumiza,
Ukimwambia umechoka aseme sawa n'ke wangu,
Asiwe na kibamia kikakuchafua na kukutekenya,
Asiwe mchafu
Akivaa viatu miguu yake isitoe harufu ya choo,
Asikugee mimba usizotarajia,
Asikuambukize gono wala kaswende,
Akienda kwa mwanamke mwingine baioloji yake igeuke kuwa ya kike....

Tunaomba hayo kwa jina la Babu mpenda pesa za wajukuu wa kike
Amen.

Babu kweli wamfahamu mjukuu wako
Yaani hizo baraka zimenigusa kama nitakavyo
Ila hapo pa akienda kwa mwanamke mwingine baioloji yake igeuke,naomba akiwa anarudi kwangu irudi,manake Babu sasa itakuwaje?
AMEN!!!
 
Back
Top Bottom