Michepuko iheshimiwe

kwa sasa hivi michepuko ndio tiba ya stress za kutoka njia kuu.
Michepuko inaongeza uhai wa wanaume wengi.
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Huwa hawabakishii
Wanakupa yote. 😀

Na sisi wanaume tuna kasumba moja ukipewa shoo nzuri huyo mwanamke hautamsahau atabaki akilini mwako sikuzote.

Ndo maana utasikia tukisema yule mwanamke fundi aisee kitandani.
 
Ndio mnakojifunzia yale mambo yenu na mzabzab eeh🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…