Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu unataka kunigombanisha na Mungu. Mbinguni ni makazi yake siwezi kumchagulia kipi kiheshimike hukomkuu ebu weka hivi basi 'Michepuko iheshimiwe mbinguni na duniani'
'
Hakikakwa sasa hivi michepuko ndio tiba ya stress za kutoka njia kuu.
Michepuko inaongeza uhai wa wanaume wengi.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 wale wanafanyaga kuwakomoa wake za ndoa yaani utapewa mavituz yaani ukifika nyumbani mke unaishia kumwangalia tu
Sasa hao wajingaKuna wengine wakishikwa na michepuko hata familia zao hawazikumbuki.
Ndo ulete cement sasaUsikonde, nita fund project yote. Nakadori kama Nakadori
Tuma number PM nitiririshe miamalaNdo ulete cement sasa
😜😜😜😜Tuma number PM nitiririshe miamala
Wanakupa yote. 😀🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Huwa hawabakishii
Leo ni furahi day, sijatoka kabisa nyumbani natafuta sababu ya kuanza beers😜😜😜😜
Ngoja n2me namba ole wako cement zisijeLeo ni furahi day, sijatoka kabisa nyumbani natafuta sababu ya kuanza beers
Shaka ondoa, im a man with a msster planNgoja n2me namba one wako cement zisije
Mie bwana sinaga michepuko
Ndio mnakojifunzia yale mambo yenu na mzabzab eeh🤣🤣🤣Unaweza ukawa umemtokea kwa zile tamaa za uanaume upige usepe, ila ukishaingia huko anataka akuteke maana tayari anajua una mke
Kuna vingine anakupa anajua hivi kwa mkeo hupati kwa hiyo wengi wanakupa mautundu kama yote ili akupagawishe unajikuta unampa cheo cha mchepuko
Hahaha wewe si wa hit and runMie bwana sinaga michepuko
Eti babe bye ndo naingia getini.... keshooo eee
I love uu
I love u my foot unaempenda ni huyo unayemuogopa......
Utumwa mtamuuUtumwa🤣🤣🤣🙌
Maneno mengii ya nn"I love you my foot" 🤣🤣🤣🤣🤣