To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
AmiinHongera babe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AmiinHongera babe
Utu na utulivu kweliiUpole unahitajika eneo hili.
Wahenga wa masuala ya ngono walisema Mkeo ni mchepuko wa wengine. Ishi kwa akili🤣🤣
Upo vizuri wenzio wakishatanguliziwa ndoa hao mbio mbio hawaachi hata kama ana mke.I mean it bro....mi alikuja na mahari alitoa nikagundua anamke na watoto ....nilirudisha mahari mkuu.Nami ndo msimamo wangu....kufa bila ndoa si shida ila kuibanza Kwa mtu kwangu ni shida
YeahUtumwa🤣🤣🤣🙌
Asante..Mkuu agiza supu na mayai ntalipa😊
Haya ya humu yasikukoseshe hamu ya kula bana🤣🤣🤣
Maisha haya ya dot com utakuta mke kama hamegwi kimasihara utamkuta anachepushwa na shataf zile za bafuni.Utu na utulivu kwelii
🤣😂 nawewe unakaa kwa kutulia?Eti babe bye ndo naingia getini.... keshooo eee
I love uu
I love u my foot unaempenda ni huyo unayemuogopa......
Anapenda michepuko80% ya Wanawake Tanzania ni 'omba omba'
Wasalaam wana JF Naomba niwasilishe utafiti wangu uchwara kuhusu hawa watu. Ni reflection ya ukweli. Katika jitihada za serikali kupunguza umasikini na kuondoa omba omba hili kundi haliangaliwi, yaani wanawake na akina dada. Wana njaa kali na wanajitoa muhanga kwenye front zote. Wako...www.jamiiforums.com
Hapana hapana.Upo vizuri wenzio wakishatanguliziwa ndoa hao mbio mbio hawaachi hata kama ana mke.
kwa sababu hakuna mwanaume wa mtu ila kuna mke wa mtu ndio maana anahudumiwa na kutolewa mahari. ila mwanaume hafungwi na chochoteEm mnijibu kwanini mnakuwa na wivu na michepuko wakati muda huo nyie wenyewe mnasaliti wake zenu?
Aliyetoa fedha bandia na yeye ameuziwa cheni bandiaMaisha haya ya dot com utakuta mke kama hamegwi kimasihara utamkuta anachepushwa na shataf zile za bafuni.
Hatari mara nusu na moja
Hakika sasa naamini umegraduate chuo cha MMUAsante..
Ya huku mzee tunayaona kama hatuyaoni. Af tukitoka yanabaki humu humu
😇😇😇😇🤣😂 nawewe unakaa kwa kutulia?
EwaaaaAliyetoa fedha bandia na yeye ameuziwa cheni bandia
Na vya bafuni vya chap chap maeneo tata vilivyo vitamuuu😍😍😍
Ngoma droo
😂😂 mafunzo uliyonipa nilizingatia.Hakika sasa naamini umegraduate chuo cha MMU
Dk tano done
Hakika, kila mtu achepuke kwa nafasi yakeUnakuta na mkeo pia anamchepuko wake unaompa amani, so mkeo akisoma huu uzi anakuunga mkono kwa asilimia mia ",michepuko na iheshimiwe" kwa kua hajui kama MIXOLOGIST ndio mumewe