Nakadori
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 8,778
- 21,010
Yeah tamu mnoooZile haraka haraka za kuibia ni tamu sana
[emoji23][emoji23]
Kwanza unatoa yoteee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah tamu mnoooZile haraka haraka za kuibia ni tamu sana
[emoji23][emoji23]
🤣🤣🤣🤣Jina lako linaelezea ulaini wa moyo wako. Sasa kujifanya mgumu ni utamaduni mpya kwako😊
Sema neno utumiwe koneksheni ya ZanzibarNimesoma comments zote hadi hapa...
Na si unajua mwivi huvunja na kuiba? Basi zinapigwa shoo za wizi na milango inavunjwaga mara nyingine....Yeah tamu mnooo
Kwanza unatoa yoteee
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Na si unajua mwivi huvunja na kuiba? Basi zinapigwa shoo za wizi na milango inavunjwaga mara nyingine....
Cuba graduates wameshaelewa
Yesu.....🙆♂️Sema neno utumiwe koneksheni ya Zanzibar
[emoji119]Yeah tamu mnooo
Kwanza unatoa yoteee
Mi niko single kabisa 🌝We sio mchepuko kwa con man wako 🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nilikua na mchepuko mmoja unatembea kwenye hizo lines zako, kesi kama zote
Ha ha ha, kuna ile ya kuchepuka kibabe, mchepukiwa anajua🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Me najua giza likishaingia au akitoka job si muda wangu tena ...unless yeye mwenyewe a nitafute...
Halafu wachepukaji waliofuzu huwa hawaruhusu mke au mume aguse simu... never. Yake ni yake na ya mume ni ya mume. Yani ugomvi wao wa kulazimisha kushika cm unaweza kuvunja hadi ndoa
hatuwezi kudharau michepuko hata kidogoNdo maana sitaki kuwa mchepuko....maana hapa wataona wanasifiwa kumbe wanadharaulika
Hiyo hutokea baada ya muda sana mkishazoeana mnoo. Unakuta Mr anajisahau na simu na serikali kuu inapata namba ya mwizi wake...hapo ndo mtiti huanzaHa ha ha, kuna ile ya kuchepuka kibabe, mchepukiwa anajua
Kuna dareDevil moja aliituma sisee hata sekunde kumi kuiangalia inahitaji uwe na roho ya kikatili mno.Yesu.....🙆♂️
Taifa lina angamia kwakweli, zaidi nimekua nawawazia vijana wangu wa kiume kuliko wakike
Haya sasa toa maoni yako mkuu wangu🤣🤣🤣Nimesoma comments zote hadi hapa...
Utafikiri kweli 😀Amiin
Kwan utaambiwa kuwa wewe ni mchepuko? Utakuja ku shtuka too late na jamaa ashakukinai 😁Never
Nimeona wife anapitapita hapa, ngoja alog off kwanza...😜Haya sasa toa maoni yako mkuu wangu🤣🤣🤣
Sawa mkuuUtafikiri kweli 😀
Sawasawa mkuuKwan utaambiwa kuwa wewe ni mchepuko? Utakuja ku shtuka too late na jamaa ashakukinai 😁
Anaijua ile micheps yako miwili?Nimeona wife anapitapita hapa, ngoja alog off kwanza...😜