Michepuko iheshimiwe

Michepuko iheshimiwe

Wanawake wa ndoa ifike mahali mkubali kwamba wanaume wenu wana fantasies nyingi sana ambazo only a single woman won't fulfill. Kubalini msaidiwe tu
Kikubwa mpewe heshma yenu na pia wawe makini na maradh
Ujengewe sanamu, iwekwe juu ya mlima Kilimanjaro au tumpumzishe yule askari wa mchongo pale posta mpya tukuweke wewe
 
Maisha yamebadilika mume Ana michepuko sehemu anabembeleza tunguvu twake twa kiume ili akafanye show ya kibabe kwa michepuko huku ndani bi mkubwa naye anakosa wa kumtuliza mwisho uzalendo naye unamshinda naye anaamua kutafuta kidumu chake mwisho mnaingiza maradhi ndani kila mtu anamsingizia mwenzake kila mtu Siri yake moyoni
 
Maisha yamebadilika mume Ana michepuko sehemu anabembeleza tunguvu twake twa kiume ili akafanye show ya kibabe kwa michepuko huku ndani bi mkubwa naye anakosa wa kumtuliza mwisho uzalendo naye unamshinda naye anaamua kutafuta kidumu chake mwisho mnaingiza maradhi ndani kila mtu anamsingizia mwenzake kila mtu Siri yake moyoni
Mbele kwa mbele maisha ni mapambano
 
Kuna wakati wanatumika vibaya mkuu, hayo mafantasy wallah ni kuwaumiza wanawake wa watu tu...sema nao wameamua kujitoa sadaka...!
Unaweza ukawa umemtokea kwa zile tamaa za uanaume upige usepe, ila ukishaingia huko anataka akuteke maana tayari anajua una mke

Kuna vingine anakupa anajua hivi kwa mkeo hupati kwa hiyo wengi wanakupa mautundu kama yote ili akupagawishe unajikuta unampa cheo cha mchepuko
 
Unaweza ukawa umemtokea kwa zile tamaa za uanaume upige usepe, ila ukishaingia huko anataka akuteke maana tayari anajua una mke

Kuna vingine anakupa anajua hivi kwa mkeo hupati kwa hiyo wengi wanakupa mautundu kama yote ili akupagawishe unajikuta unampa cheo cha mchepuko
Tena kuna michepuko mingine imepewa nafasi ya kuendesha familia kuu kwa namna ilivyopewa kipaumbele. Sio kila mchepuko anadharaulika jaman
Kama hamuamini nendeni mkasome shuhuda kwa rosemary mallya yule anayefundisha mahusiano wakat yeye mwenyewe kaachika
 
Wasalaam wana JF,

Hakika kuchepuka ni kukosa maadili, ni kinyume na mpango wa Mungu. Mtu anapaswa kukaa njia kuu, kukaa na familia moja kama mkristu na zisizozidi nne kama Muislam.

Lakini, kuna wakati tunajikwaa na kuchepuka au tuna lazimika kuchepuka kutokana na mikingamo ya ndani.

Sasa basi, lazima tukiri michepuko ipo na inafaa na kusaidia wakati wa dhiki na pengine raha. Hivyo basi, tuiheshimu.

Naomba kutoa heshima zangu za dhati kwa michepuko iliyopo JF, mna umuhimu mkubwa kwetu. ASANTENI
mkuu ebu weka hivi basi 'Michepuko iheshimiwe mbinguni na duniani'


'
 
Tena kuna michepuko mingine imepewa nafasi ya kuendesha familia kuu kwa namna ilivyopewa kipaumbele. Sio kila mchepuko anadharaulika jaman
Kama hamuamini nendeni mkasome shuhuda kwa rosemary mallya yule anayefundisha mahusiano wakat yeye mwenyewe kaachika
Kuna wengine wakishikwa na michepuko hata familia zao hawazikumbuki.
 
Back
Top Bottom