Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mimi ninae wa namna hiyo, nina mpango wa kumchukua na yeye! Awe wa pili, hana shida mdada wa watu! [emoji2305][emoji2305][emoji2305]Wakuu mimi na mchepuko wa type hii [emoji23][emoji23][emoji23] yaaani huyu mimi kabisa
Hawana shida mkuu 😅Hata mimi ninae wa namna hiyo, nina mpango wa kumchukua na yeye! Awe wa pili, hana shida mdada wa watu! [emoji2305][emoji2305][emoji2305]
Hata mimi ninae wa namna hiyo, nina mpango wa kumchukua na yeye! Awe wa pili, hana shida mdada wa watu! [emoji2305][emoji2305][emoji2305]
.
Tena kiuhakika hata nikiwa na shida na Milioni kadhaa, kwake nazipata! Nataka nifanye Mathna, nimchukue.hawana shida mkuu [emoji28]
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125]Mnawatoa wapi? Maana sisi wengine ata waliopo kwenye njia kuu.. hawana tabia ya kutusaidia tuki kwama
Chief amini wapo nchi hii, ngoja niujaribu wa kwangu muda huu kama vipi nitaleta mrejesho hapa hapa!Huo mchepuko siyo wa nchi hii
Nyie mko mbali.....mnakopeshana mpaka laki 5?anakukopa laki tano unafurahi, ila kibomu kitakachofuata unapigwa mil 3 ili ukamsimulie na mkeo - dadadeq - nyumba ndogo hainaga urafiki wa kweli.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]na akichomoa useme.Chief amini wapo nchi hii, ngoja niujaribu wa kwangu muda huu kama vipi nitaleta mrejesho hapa hapa!
Mambo murua! (Bam bam)[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]na akichomoa useme.