Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchepuko unazingua we fanya yako tuBila shaka michepuko sie tunapiga miti zaidi ya ma owner.
Silent mode hainogi, ongea ila ongea yako ya unaemsaidia yaacheSawa mi kwa upande wangu nimekuelewa eve na kuanzia Leo ntakua ni game la kimyakimya
Waulize utendaji kazi wao sio hadi wa majirani "nakufanya vizuri eeh" hapo inapendezaKuwa watende kazi tu wasiulizie utendaji kazi wao na wa wamiliki[emoji2] [emoji2]
[emoji1] [emoji1] [emoji1] sawa mchepuko,chimba chimba ya maneno mimi sitaki tena,nguvu na akili nitaelekeza kuchimba madini chumvi tuMchepuko unazingua we fanya yako tu
Muache kuwaonesha viashiria vya kwamba wanawafanya vizuri. Hapo mtu akiona hutoi milio mbalimbali atachenji gia mwenyewe kuitafuta point ilipoWaulize utendaji kazi wao sio hadi wa majirani "nakufanya vizuri eeh" hapo inapendeza
kuna kudanganywa pia, hilo msilisahau especially ukiwa na mipango flani flani...Muache kuwaonesha viashiria vya kwamba wanawafanya vizuri. Hapo mtu akiona hutoi milio mbalimbali atachenji gia mwenyewe kuitafuta point ilipo
Sasa hv ni kimyakimyaaaaaa mpaka uombe majikuna kudanganywa pia, hilo msilisahau especially ukiwa na mipango flani flani...
Amenifanya nikakumbuke kamchepuko flan kalikuwa kanachepkia kwangu... iseee kalikuwa katam balaa.Mie bado sijalala,nawakilisha kundi.
Tumeupata ujumbe
Kulikoni tena !.Mambo ya kujilinganisha na owner inakera "anakufanya vizuri" "anakufanya kama mimi " tena muda huo umenikunja kama Manda ya sambusa shwain!!!! We piga miti inatosha awe anajua hajui niachie mie hayo, nikikujibu we ndo hujui si itasinyaa hapo kama mimosa pudica!!!!
Duuh! Watu mbio..... [emoji125]Ujue we ni kikosi cha uokoaji, ujue we ni kidumu ndoo ikianguka maji yakamwagika utatumika kunawia, we ni sub alieko ndani akizidiwa utachukuliwa wewe, kwa kifupi mnaokoa sana jahazi sema nini mnazingua kutaka kujilinganisha na ze owner, kuchimba chimba mambo ya ze owner tafadhali tafadhalini sana michepuko kaeni kwenye nafasi tulizowapa.
Mambo ya kujilinganisha na owner inakera "anakufanya vizuri" "anakufanya kama mimi " tena muda huo umenikunja kama Manda ya sambusa shwain!!!! We piga miti inatosha awe anajua hajui niachie mie hayo, nikikujibu we ndo hujui si itasinyaa hapo kama mimosa pudica!!!!
Povu nitaloekea bikini msijali, halafu nimewamiss alamsik....
Usiseme hivo crush, unaniumiza mchepuko anauma jamani anauma mno bora kuumizwa na mke/mme ila sio na mchepukoDaaaa my crush huyoo...hahaha hilo limchepuko lako ovyo kabisaa piga chini
Acha tu Mwl.Kulikoni tena !.
Unaona sasa umekosa vyote, poleAmenifanya nikakumbuke kamchepuko flan kalikuwa kanachepkia kwangu... iseee kalikuwa katam balaa.
Nikalewa mahaba nikataka nigeuke owner... isee na kile kidogo nilichokuwa nakipata akaninyima jumla mpka kesho...
Ila nimemmis