Michepuko mnazingua!!!

Michepuko mnazingua!!!

mbona umekuja kunisemea huku ?


daaah !

game ya juzi naona ulipenda sana
 
Waulize utendaji kazi wao sio hadi wa majirani "nakufanya vizuri eeh" hapo inapendeza
Muache kuwaonesha viashiria vya kwamba wanawafanya vizuri. Hapo mtu akiona hutoi milio mbalimbali atachenji gia mwenyewe kuitafuta point ilipo
 
Daaaa my crush huyoo...hahaha hilo limchepuko lako ovyo kabisaa piga chini
 
Mie bado sijalala,nawakilisha kundi.
Tumeupata ujumbe
Amenifanya nikakumbuke kamchepuko flan kalikuwa kanachepkia kwangu... iseee kalikuwa katam balaa.
Nikalewa mahaba nikataka nigeuke owner... isee na kile kidogo nilichokuwa nakipata akaninyima jumla mpka kesho...
Ila nimemmis
 
Mambo ya kujilinganisha na owner inakera "anakufanya vizuri" "anakufanya kama mimi " tena muda huo umenikunja kama Manda ya sambusa shwain!!!! We piga miti inatosha awe anajua hajui niachie mie hayo, nikikujibu we ndo hujui si itasinyaa hapo kama mimosa pudica!!!!
Kulikoni tena !.
 
Ujue we ni kikosi cha uokoaji, ujue we ni kidumu ndoo ikianguka maji yakamwagika utatumika kunawia, we ni sub alieko ndani akizidiwa utachukuliwa wewe, kwa kifupi mnaokoa sana jahazi sema nini mnazingua kutaka kujilinganisha na ze owner, kuchimba chimba mambo ya ze owner tafadhali tafadhalini sana michepuko kaeni kwenye nafasi tulizowapa.

Mambo ya kujilinganisha na owner inakera "anakufanya vizuri" "anakufanya kama mimi " tena muda huo umenikunja kama Manda ya sambusa shwain!!!! We piga miti inatosha awe anajua hajui niachie mie hayo, nikikujibu we ndo hujui si itasinyaa hapo kama mimosa pudica!!!!

Povu nitaloekea bikini msijali, halafu nimewamiss alamsik....
Duuh! Watu mbio..... [emoji125]
 
Amenifanya nikakumbuke kamchepuko flan kalikuwa kanachepkia kwangu... iseee kalikuwa katam balaa.
Nikalewa mahaba nikataka nigeuke owner... isee na kile kidogo nilichokuwa nakipata akaninyima jumla mpka kesho...
Ila nimemmis
Unaona sasa umekosa vyote, pole
 
Back
Top Bottom