Michepuko mnazingua!!!

mbona umekuja kunisemea huku ?


daaah !

game ya juzi naona ulipenda sana
 
Waulize utendaji kazi wao sio hadi wa majirani "nakufanya vizuri eeh" hapo inapendeza
Muache kuwaonesha viashiria vya kwamba wanawafanya vizuri. Hapo mtu akiona hutoi milio mbalimbali atachenji gia mwenyewe kuitafuta point ilipo
 
Daaaa my crush huyoo...hahaha hilo limchepuko lako ovyo kabisaa piga chini
 
Mie bado sijalala,nawakilisha kundi.
Tumeupata ujumbe
Amenifanya nikakumbuke kamchepuko flan kalikuwa kanachepkia kwangu... iseee kalikuwa katam balaa.
Nikalewa mahaba nikataka nigeuke owner... isee na kile kidogo nilichokuwa nakipata akaninyima jumla mpka kesho...
Ila nimemmis
 
Kulikoni tena !.
 
Duuh! Watu mbio..... [emoji125]
 
Amenifanya nikakumbuke kamchepuko flan kalikuwa kanachepkia kwangu... iseee kalikuwa katam balaa.
Nikalewa mahaba nikataka nigeuke owner... isee na kile kidogo nilichokuwa nakipata akaninyima jumla mpka kesho...
Ila nimemmis
Unaona sasa umekosa vyote, pole
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…