Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa hiyo mie ni mchepuko? aliingii akiliniNi michepuko ndio kama mnawasaliti wake zenu
kwa hiyo mie ni mchepuko? aliingii akilini
Hapo umeangalia kwa upande wa michepuko ME peke yake lakini hata KE mna hiyo tabia hasa ukikutana na mchepuko ME anayejua kupiga mashine to that extent utasikia tu"Bby mkeo anafaidi", "bby mimi na mkeo nani anajua"??, Mkeo naye huwa anakupaga na huku"???Mambo ya kujilinganisha na owner inakera "anakufanya vizuri" "anakufanya kama mimi " tena muda huo umenikunja kama Manda ya sambusa shwain!!!! We piga miti inatosha awe anajua hajui niachie mie hayo.
niko nje ya mji kwa sasa, nicheck next weekBinamu tukutane kwenye stuli ndefu ili nilitolee ufafanuzi hili swala
Nasema hivi michepuko wabaki kwenye nafasi zao....Haifai kujilinganisha na ze ownerHapo umeangalia kwa upande wa michepuko ME peke yake lakini hata KE mna hiyo tabia hasa ukikutana na mchepuko ME anayejua kupiga mashine to that extent utasikia tu"Bby mkeo anafaidi", "bby mimi na mkeo nani anajua"??, Mkeo naye huwa anakupaga na huku"???
Damn questions!! Hata unipe tundu la pua utabaki mchepuko tu.
Kama unauhusiano na mke wa mtu, we ni mchepuko halikwepekikwa hiyo mie ni mchepuko? aliingii akilini
sijawahi kutoka na mke wa mtu (aliyefunga ndoa) mie nalamba mademu wa watuKama unauhusiano na mke wa mtu, we ni mchepuko halikwepeki
Kumbe unajielewa sana Evelyn Salt ,naomba uwe mchepuko wangu natumai utakuwa unamheshimu my wife wanguNasema hivi michepuko wabaki kwenye nafasi zao....Haifai kujilinganisha na ze owner
Promise utamuheshimu mme wangu piaKumbe unajielewa sana Evelyn Salt ,naomba uwe mchepuko wangu natumai utakuwa unamheshimu my wife wangu
Hao hao we ni mchepuko kwao main roads ziposijawahi kutoka na mke wa mtu (aliyefunga ndoa) mie nalamba mademu wa watu
Mchepuko nikitulizo ndio maana mnawatafutaUjue we ni kikosi cha uokoaji, ujue we ni kidumu ndoo ikianguka maji yakamwagika utatumika kunawia, we ni sub alieko ndani akizidiwa utachukuliwa wewe, nyinyi ni pain killers, mnatuondolea stress kwa kiwango cha lami, ni power bank zetu kwa kifupi mnaokoa sana jahazi sema nini mnazingua kutaka kujilinganisha na ze owner, kuchimba chimba mambo ya ze owner tafadhali tafadhalini sana michepuko kaeni kwenye nafasi tulizowapa.
Mambo ya kujilinganisha na owner inakera "anakufanya vizuri" "anakufanya kama mimi " tena muda huo umenikunja kama Manda ya sambusa shwain!!!! We piga miti inatosha awe anajua hajui niachie mie hayo, nikikujibu we ndo hujui si itasinyaa hapo kama mimosa pudica!!!!
Povu nitaloekea bikini msijali, halafu nimewamiss alamsik....
Bila Shaka,najua principal ya kula na kipofu.Promise utamuheshimu mme wangu pia
NakaziaNasema hivi michepuko wabaki kwenye nafasi zao....Haifai kujilinganisha na ze owner