Michepuko mnazingua!!!

Hahaa umenikumbusha hicho kimmea cha ajabu Momisa pudica
 
Mambo ya kujilinganisha na owner inakera "anakufanya vizuri" "anakufanya kama mimi " tena muda huo umenikunja kama Manda ya sambusa shwain!!!! We piga miti inatosha awe anajua hajui niachie mie hayo.
Hapo umeangalia kwa upande wa michepuko ME peke yake lakini hata KE mna hiyo tabia hasa ukikutana na mchepuko ME anayejua kupiga mashine to that extent utasikia tu"Bby mkeo anafaidi", "bby mimi na mkeo nani anajua"??, Mkeo naye huwa anakupaga na huku"???
Damn questions!! Hata unipe tundu la pua utabaki mchepuko tu.
 
Hahahaha wamekusikiaaa.....

Putin akiwambiaga wanasema anawatukana mpaka mtu wawatu kapewa ban ya maisha.

NAKWANN MWANAMKE UKUBALI KUA MCHEPUKO?? UJINGA MTUPU.
 
Do! hii umechomoka kivingine kabisa! yapi yamekukuta!
 
Nasema hivi michepuko wabaki kwenye nafasi zao....Haifai kujilinganisha na ze owner
 
Uzuri ni kuwa at one point 75% ya wanawake alikuwa mchepuko.
Ko mnajuana tu
 
Mchepuko nikitulizo ndio maana mnawatafuta
 
Ila na nyie wabovu tu maana mke wa mtu ukimpata ni rough sex tu

Hata hujaulizwa unaanza kumkandia aliyekuweka mpaka ukaheshimika kuwa mke wa mtu


Acheni kubwabwaja tunapowakaza kaza kaza kaza
Aki ya Nani mpaka nimedindisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…