😀😀😀😀Bila Shaka,najua principal ya kula na kipofu.
Nakuja pm tuyajenge,asije mume akapita hapa akanikamata kabla sijafaidi vitamu vyako
Mchepuko king'ang'a huyo hatari kwa mahusiano, mpige chiniJana mchepuko kaniangusha sana,nilimwambia girlfriend wangu yupo maeneo leo usije,usiku wa manane nipo na girlfriend wangu anapiga simu,sikupokea nikamtumia msg kwamba nipo naye niache sahizi.
Duh akaja ule ule upande chumba cha kulala kilipo akaanza kugonga dirisha....kilichotokea sina hamu kueleza
kwama ni hivyo nakubali na mie ni mchepuko wa njia kuu zaoHao hao we ni mchepuko kwao main roads zipo
Ndo hivo mzee babakwama ni hivyo nakubali na mie ni mchepuko wa njia kuu zao
Ni pmMi sihitaji mchepuko navyokunjwa na G hata hamu ya michepuko sina
Nipo, za shuleIv my sister kumbe upo
Hornet kuna mtu ka hack account yako 😀Mie ndo maana nimeacha kuchepuka
Hao wanaoenda kusimulia ya ndani ni mabwege tuIla michepuko inafaidi kuliko wa ndoani...kuanzia pesa...matunzo...alafu inakiburi maana inaambiwa mapungufu ya wa ndani...na inayatumia mapungufu hayo kama fursa...
...............
Hornet kuna mtu ka hack account yako 😀
AfyaaaaMie ndo maana nimeacha kuchepuka
Uwiiiii ni bora kumpiga mtu rungu la kichwa azimie masaa 12 kuliko akutane na haya maneno