Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,420
- 18,298
Jana mchepuko kaniangusha sana,nilimwambia girlfriend wangu yupo maeneo leo usije,usiku wa manane nipo na girlfriend wangu anapiga simu,sikupokea nikamtumia msg kwamba nipo naye niache sahizi.
Duh akaja ule ule upande chumba cha kulala kilipo akaanza kugonga dirisha....kilichotokea sina hamu kueleza
Duh akaja ule ule upande chumba cha kulala kilipo akaanza kugonga dirisha....kilichotokea sina hamu kueleza