ufisadi no
Member
- Jun 20, 2012
- 97
- 34
Mkuu kufyatuliwa na Yale ya ki Ukraine ni kawaida sema wengi tunalia kimya kimyaBasi muache kulia lia mkipigwa na vitu vizito [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kufyatuliwa na Yale ya ki Ukraine ni kawaida sema wengi tunalia kimya kimyaBasi muache kulia lia mkipigwa na vitu vizito [emoji23]
Chama cha mpalange hatuna noma tunakula kwa step tuendelee kushinda home games kwa wastani mzuri kama wa Berkane huku Asec akipagawa na tisa zakeYaani bila aibu wala kujistukia kidogo, tena eti ananiita''mume wangu'', kheee!!
Watu tupo bize na vita ukraine uko,yeye anataka kuanzisha vita yake na hela zangu!!!
View attachment 2163194
Pumbavuuu, kaona nimeuchuna mpaka eti ananiambia kadri ninavyochelewa kumtumia hela ndio anazidi kuchelewa kuja.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23] watu wako tofaut jmn
mwenzako kalipa kodi ya nyumba mil 4 pr yr wewe laki 3 tu umeuchuna hata kujibu sms hutaki
DeepPond njoo umpe neno baharia mwenzako
😂😂😂😂😂😂😂😂Jamani kwani mwenyekiti wenuDeepPondanalizungumziaje Hili?.....Yaani bila aibu wala kujistukia kidogo, tena eti ananiita''mume wangu'', kheee!!
Watu tupo bize na vita ukraine uko,yeye anataka kuanzisha vita yake na hela zangu!!!
View attachment 2163194
Pumbavuuu, kaona nimeuchuna mpaka eti ananiambia kadri ninavyochelewa kumtumia hela ndio anazidi kuchelewa kuja.
NdiooooooooooooooooWanaume tutafika mbinguni tumechoka sana
Ukiwa hujaoa wee sii unajikamatia pale mfuko unaruhusu. Huna hela basi unatulia na mpenzi wako revolaNilichogundua wanaume wenye michepuko ndo wanaongoza kwa kuwa na stress[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1][emoji1][emoji1]kuliko wasiooa kabisa
Na nyie mtaishije...mbona mnajidai kana kwamba mnapenda kujihudumia wenyewe wakati ukweli tunaujua
Kwani sass hivi tunaishije? Kwanza natafuta hao watoa huduma nimechoka kujileaNa nyie mtaishije...mbona mnajidai kana kwamba mnapenda kujihudumia wenyewe wakati ukweli tunaujua
Ah sasa hivi unaishi sio kwa mapendezi yako...wee njoo nikuleee cha msingi utamu wa asali mara tano kwa wikiKwani sass hivi tunaishije? Kwanza natafuta hao watoa huduma nimechoka kujilea
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
[emoji23]dah natamn nifahamu kinachowasukuma kununua wanawake ni nn shida ni kutongoza ama ninUkiwa hujaoa wee sii unajikamatia pale mfuko unaruhusu. Huna hela basi unatulia na mpenzi wako revola
[emoji23][emoji23]kuja kushtuka, suruali yako imetoboka matakoni bila kujua, fedha ya kununua nyingine iko kwa mchepuko
Kimya kimya wapi wewe wakati mijadala ya kulia lia deile ni wanaume, nyie ndio mnaongoza kushusha nyuzi za vilio humu alafu michepuko kimya inawasanifu hahaaMkuu kufyatuliwa na Yale ya ki Ukraine ni kawaida sema wengi tunalia kimya kimya
Tunathamini muda wetu....ukianza kutomgoza story inakuwa ndefu wakati kitu kipo obvious mwanaume akija kwa demu anataka mbususu[emoji23]dah natamn nifahamu kinachowasukuma kununua wanawake ni nn shida ni kutongoza ama nin
Ha ha ha....