Michepuko msitufanye Benki ya Dunia

Michepuko msitufanye Benki ya Dunia

Yaani bila aibu wala kujistukia kidogo, tena eti ananiita''mume wangu'', kheee!!

Watu tupo bize na vita ukraine uko,yeye anataka kuanzisha vita yake na hela zangu!!!

View attachment 2163194

Pumbavuuu, kaona nimeuchuna mpaka eti ananiambia kadri ninavyochelewa kumtumia hela ndio anazidi kuchelewa kuja.
Chama cha mpalange hatuna noma tunakula kwa step tuendelee kushinda home games kwa wastani mzuri kama wa Berkane huku Asec akipagawa na tisa zake
 
Kuja kushtuka, suruali yako imetoboka matakoni bila kujua, fedha ya kununua nyingine iko kwa mchepuko
 
Nikiunga mada hawa visokolokwembe bosheni yao ya kupima oil common across ni pesa ya saloon ili ndo aje, mi nawaambia wewe njoo hivo hivo vaa mtandio wa msomali ukija utaondoka na raha za tabasamu la delila, fanya fasta uje, akifika tu akila koni za kutosha naomba kushuka kwa mpalange akitaka kupitiliza ashukie mwisho wa rami naanza shari akijaa ndo ataisoma namba sitaki ujinga penda pesa na buzza iwe kalambwanda.
 
Yaani bila aibu wala kujistukia kidogo, tena eti ananiita''mume wangu'', kheee!!

Watu tupo bize na vita ukraine uko,yeye anataka kuanzisha vita yake na hela zangu!!!

View attachment 2163194

Pumbavuuu, kaona nimeuchuna mpaka eti ananiambia kadri ninavyochelewa kumtumia hela ndio anazidi kuchelewa kuja.
😂😂😂😂😂😂😂😂Jamani kwani mwenyekiti wenuDeepPondanalizungumziaje Hili?.....
 
Nilichogundua wanaume wenye michepuko ndo wanaongoza kwa kuwa na stress[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1][emoji1][emoji1]kuliko wasiooa kabisa
Ukiwa hujaoa wee sii unajikamatia pale mfuko unaruhusu. Huna hela basi unatulia na mpenzi wako revola
 
Ukiwa hujaoa wee sii unajikamatia pale mfuko unaruhusu. Huna hela basi unatulia na mpenzi wako revola
[emoji23]dah natamn nifahamu kinachowasukuma kununua wanawake ni nn shida ni kutongoza ama nin
 
Mkuu kufyatuliwa na Yale ya ki Ukraine ni kawaida sema wengi tunalia kimya kimya
Kimya kimya wapi wewe wakati mijadala ya kulia lia deile ni wanaume, nyie ndio mnaongoza kushusha nyuzi za vilio humu alafu michepuko kimya inawasanifu hahaa
 
[emoji23]dah natamn nifahamu kinachowasukuma kununua wanawake ni nn shida ni kutongoza ama nin
Tunathamini muda wetu....ukianza kutomgoza story inakuwa ndefu wakati kitu kipo obvious mwanaume akija kwa demu anataka mbususu
 
Mahusiano ni gharama chief,

Kama umemuelewa Sana anakupa ile kitu roho inapenda wee mpe TU.

Ila Kama Hana tofauti yoyote na mkeo, achana nae chief[emoji4]
 
Back
Top Bottom