Michepuko msitufanye Benki ya Dunia

Michepuko msitufanye Benki ya Dunia

Yaani bila aibu wala kujistukia kidogo, tena eti ananiita''mume wangu'', kheee!!

Watu tupo bize na vita ukraine uko,yeye anataka kuanzisha vita yake na hela zangu!!!

View attachment 2163194

Pumbavuuu, kaona nimeuchuna mpaka eti ananiambia kadri ninavyochelewa kumtumia hela ndio anazidi kuchelewa kuja.
Natumaini hujamjibu ili ajisute mwenyewe.....mwanamke anaomba bila hata haibu, ana wazazi na ndugu zake kwanini asiende kuwaomba wao? Mazezeta kama hawa mimi uwa siwapi muda, akianzisha tu vita ya hela nami nampoza kwa mabomu ya ukimya, simjibu na siongei naye tena....pumbavuuuu!
 
Hivi kwanini Waziri Dorothy Gwajima asitoe amri ya kukamata hawa mademu omba omba hapa mjini, hakika tumewachoka jamani. Maana wanatulazimisha kuwatesa kunako 6 kwa 6 na kutuchumia dhambi bure tu. Hivi hawajuwi kuwa HAKUNA mwanamme anayejitambua anatoa tu hela hovyo?

cc: Mh. Waziri Dorothy Gwajima, Mh. rais Samia Suluhu, Mh. Amos Makalla (Mkuu wa Mkoa DSM), Kamishna Mkuu wa Polisi
 
Acha wenye pesa wapambane na micheps
 
Tunathamini muda wetu....ukianza kutomgoza story inakuwa ndefu wakati kitu kipo obvious mwanaume akija kwa demu anataka mbususu
Lkn naona inahitaji moyo Sana na usiwe na kinyaa aisee
Kunasiku nilikuwa nasafiri kuja mkoani kutokna na umbali wahom had shekilango ikanilazimu nichukue lodge manzese aisee kunawanawak wanaishi kwashida Sana ndo nilishuhudia Ila wanunuagi pia mnaimani Sana
 
Lkn naona inahitaji moyo Sana na usiwe na kinyaa aisee
Kunasiku nilikuwa nasafiri kuja mkoani kutokna na umbali wahom had shekilango ikanilazimu nichukue lodge manzese aisee kunawanawak wanaishi kwashida Sana ndo nilishuhudia Ila wanunuagi pia mnaimani Sana
Sasa tambua kuwa wanawake wakujiuza wana grade tofauti...wapo wa buku 3 wapo wa million tatu na wakupandishwa private jet.
Jambo moja kuu nalojua mie ni kwamba kuna chance ndogo sana ya kupata ngoma kutoka kwa malaya kuliko gelofrend wako au mkeo. Hiyo tayari ni bonge la advantage. Pili ndio kama hivyo nilivyokwambia....wengine hatutaki kupoteza muda kwenye mtongozo.
 
sema huyo NI jini mnyonya damu
Si msingi wa biashara huo
 
Sasa tambua kuwa wanawake wakujiuza wana grade tofauti...wapo wa buku 3 wapo wa million tatu na wakupandishwa private jet.
Jambo moja kuu nalojua mie ni kwamba kuna chance ndogo sana ya kupata ngoma kutoka kwa malaya kuliko gelofrend wako au mkeo. Hiyo tayari ni bonge la advantage. Pili ndio kama hivyo nilivyokwambia....wengine hatutaki kupoteza muda kwenye mtongozo.
Lakin kujiuza ni kujiuza tu haijalishi ni wa level ipi sema wanunuaji ndo mkostrong aisee maana msungekuwa wateja wazuri wasingekuwa wanauza
 
Lakin kujiuza ni kujiuza tu haijalishi ni wa level ipi sema wanunuaji ndo mkostrong aisee maana msungekuwa wateja wazuri wasingekuwa wanauza
Yeah mujiuza ni kujiuza tuu wala sibishi hilo. Kila mtu na priority yake. Wengine wanaona raha kitongoza na kupigwa vibomi vya kodi mara gas. Mie philosophy yangu ni moja tuu: mwanamke ni chombo cha starehe basi wee kamata ugege uburidike basi
 
Yaani bila aibu wala kujistukia kidogo, tena eti ananiita''mume wangu'', kheee!! Watu tupo bize na vita ukraine uko, yeye anataka kuanzisha vita yake na hela zangu!!!


Pumbavuuu, kaona nimeuchuna mpaka eti ananiambia kadri ninavyochelewa kumtumia hela ndio anazidi kuchelewa kuja.
Mchepuko ndie anefanya kaz ngumu kuliko mke ..
Ana haki ya kuomba hela nyingi sababu
*Goli nyingi hua anapigwa yeye
*Stail zote ngumu huwa anafanyiwa yeye
*Puturuu, vumbi, vega, jack power anapakiwa yeye na kumezewa yeye.
* Mpalange buza ..anapelekwa yeye


Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom