EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Mzee wa kutokuoa[emoji28][emoji28]We sio ATM broo...
Just HIT and RUN bro.
#YNWA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee wa kutokuoa[emoji28][emoji28]We sio ATM broo...
Just HIT and RUN bro.
#YNWA
Na huyo anayetegemea mwanaume amlipie kodi na amtimizie na mahitaji yake mengine, huyo naye anajiuza au?Hana ela analalamika anafanywa kitega uchumi wakat mwenzio kalipa Kodi ml 4 atafute wa level zake za miambili miambili[emoji23][emoji23]
Na nashukuru sijawahi kutana na style hizi za kulialia hapa kila siku[emoji3]Haonwaoaji...sie wagegedaji hilo halipo
Mwana kulifukunyua....Baki njia kuu
🤣🤣Wanaume tutafika mbinguni tumechoka sana
Basi tako unalo🤣🤣🤣🤣🤣Na nashukuru sijawahi kutana na style hizi za kulialia hapa kila siku[emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
HahaaMwana kulifukunyua....
Atajua hajui!
Jamni si nawaona huku wanavolia Lia sample za kutosha kukamilisha utafitwanguMkuu utafiti wako umeufanyia Ukraine au Russia?
No research,no speakin.
Nikikugharamia sana,uwe tayar pia kutumika vbaya na usilie lieVizuri gharama
[emoji849] AiseeNikikugharamia sana,uwe tayar pia kutumika vbaya na usilie lie
Nikikugharimia sana ujiandae kunipa jicho,pia usining'ang'anie sana siku nikikwambia mimi na wewe basi
Mapenzi sio lazima tukishindwana basi kila mtu apite hivi...yaan niliwe tigo kisa nagharamiwa? haipo hiyoNikikugharamia sana,uwe tayar pia kutumika vbaya na usilie lie
Nikikugharimia sana ujiandae kunipa jicho,pia usining'ang'anie sana siku nikikwambia mimi na wewe basi
Wew unasema hvyo lakin kuna watu hawaelew unapomwambia kuwa nmekuchoka,Mapenzi sio lazima tukishindwana basi kila mtu apite hivi...yaan niliwe tigo kisa nagharamiwa? haipo hiyo
Mambo ya kumng'ang'ania mtu nilishaacha baada ya kupigwa matukio nikajifunzaWew unasema hvyo lakin kuna watu hawaelew unapomwambia kuwa nmekuchoka,
Umeenda mbali, wala sikumaanisha hivyo. Ninachopinga ni kule mwanamke kila aamkapo anawaza kumpigia simu mwanamme kuomba hela. Kabla ya huyo mwanamme alikuwa anaishije hapa mjini?Kwahiyo umlale wewe pesa ya matumizi akaombe kwa wazazi wake?[emoji848]aisee kuna wanawake wanakutanaga na wanaume majanga!
Serious kabisa umlale ww,pesa ya sabuni ya kufulia hiyo chupi ya shahawa zako akaombe kwa mzazi wake?
Aisee,kuwa na mwanamke nje ya mkeo lzm ujiweze kiuchumi,huwezi waachie wanaoweza kuhudumia tena bila kuombwa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Aah,hapo sawa!Umeenda mbali, wala sikumaanisha hivyo. Ninachopinga ni kule mwanamke kila aamkapo anawaza kumpigia simu mwanamme kuomba hela. Kabla ya huyo mwanamme alikuwa anaishije hapa mjini?