Creative Monster
Member
- Jul 22, 2019
- 10
- 27
Michezo inaendeleza Biashara ya watu
Kwenye michezo sahivi ni pesa kwanza, maana yake biashara, watu wanauzwa na kununuliwa kama bidhaa mithili ya ilivyokuwa kwenye zama za utumwa miaka ile. Timu zinakaa mezani kupitia viongozi wao na kujadili bei ya wachezaji kisha kulipana pesa. Hii ni biashara ya watu.
Mfano: Haaland analipwa dola 900,000 kwa wiki, alinunuliwa kwa zaidi ya pound milioni 60 kutoka Borrussia Dortmud. Maana yake alinunuliwa na kununua ni biashara.
Ni Utumwa Mamboleo
Wachezaji wakisajiliwa wanakaa kambini kwa mujibu wa mipango ya timu, wananyimwa kuonana na familia zao kwa wakati, wanapangiwa chakula, ratiba ya kulala na mazoezi. Ukitoroka kambini ni utovu wa nidhamu.
Mfano: Saido Ntibazonkiza alivyotoroka kambini Shinyanga kuelekea mechi ya nusu fainali ya FA dhidi ya Simba kule Mwanza kilichomkuta mnakumbuka - Alifukuzwa.
Tofauti na utumwa wa zamani ni watumwa kulipwa vinono.
Ninathubutu kutamka kuwa, michezo sahivi inaendeleza biashara ya watu na utumwa mambo leo.
Kwenye michezo sahivi ni pesa kwanza, maana yake biashara, watu wanauzwa na kununuliwa kama bidhaa mithili ya ilivyokuwa kwenye zama za utumwa miaka ile. Timu zinakaa mezani kupitia viongozi wao na kujadili bei ya wachezaji kisha kulipana pesa. Hii ni biashara ya watu.
Mfano: Haaland analipwa dola 900,000 kwa wiki, alinunuliwa kwa zaidi ya pound milioni 60 kutoka Borrussia Dortmud. Maana yake alinunuliwa na kununua ni biashara.
Ni Utumwa Mamboleo
Wachezaji wakisajiliwa wanakaa kambini kwa mujibu wa mipango ya timu, wananyimwa kuonana na familia zao kwa wakati, wanapangiwa chakula, ratiba ya kulala na mazoezi. Ukitoroka kambini ni utovu wa nidhamu.
Mfano: Saido Ntibazonkiza alivyotoroka kambini Shinyanga kuelekea mechi ya nusu fainali ya FA dhidi ya Simba kule Mwanza kilichomkuta mnakumbuka - Alifukuzwa.
Tofauti na utumwa wa zamani ni watumwa kulipwa vinono.
Ninathubutu kutamka kuwa, michezo sahivi inaendeleza biashara ya watu na utumwa mambo leo.