Michezo magazetini leo...

Michezo magazetini leo...

Status
Not open for further replies.
Phiri: Kuiondoa Elan Mitsoudje ipo kazi

Monday, 31 January 2011 19:26 newsroom



* Asema wakizembea tu Simba itatolewa
NA SOPHIA ASHERY
KOCHA Mkuu wa timu ya Simba, Patrick Phiri, amesema ili timu yake isonge mbele katika michuano ya ligi ya mabingwa Afrika, ni lazima ifanye jitihada kubwa. Akizungumza Dar es Salaam, jana, baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere, akitokea Comoro, alisema kuna haja ya kikosi chake kufanya jitihada ya kushinda mchezo wa marudiano dhidi ya Elan Mitsoudje.

Phiri alisema wapinzani wao si wale ambao alidhani hawajui soka, na ndio maana walipocheza mchezo wa awali hawakutarajia kupata upinzani hali ambayo iliwalazimu kutoka suluhu.
Alisema wachezaji wa timu hiyo wanatumia nguvu na wanacheza kwa kufuata mafunzo ambayo yanaonekana kuwa katika mfumo wa kiwango cha juu, na ndio maana waliwasumbua.
Alisema soka la Comoro kwa sasa limebadilika kwani wachezaji wake wengi wanacheza soka nje ya nchi yao, hasa Ufaransa ambako wanakwenda kusoma, na kuifanya nchi hiyo pamoja na timu zake kuwa na wachezaji wazuri.
Phiri alisema kutokana hali hiyo, kikosi chake kitajipanga kikamilifu kutoa upinzani mkali na kushinda mchezo wa marudiano utakaochezwa Dar es Salaam, baada ya wiki mbili zijazo, ili kujihakikishia nafasi ya kusonga mbele.
"Tunajua tutashinda mchezo wa marudiano, lakini hatuwezi kushinda bila kujipanga kuwakabili wapinzani wetu na wala hatutawadharau," alisema.
Simba inatarajia kuingia kambini leo jioni kujiandaa kwa michezo ya Ligi Kuu Tanzania Bara, pamoja na mchezo huo wa marudiano.
Timu hiyo ilirejea nyumbani jana baada ya mwishoni mwa wiki iliyopita kuivaa timu hiyo ya Comoro, mjini Moroni, na kutoka suluhu, matokeo ambayo yameishitua Simba, iliyotarajia mchezo wake huo ungekuwa mteremko.
Ili kuitoa Elan Mitsoudje na kusonga mbele kwenye michuano hiyo, Simba inahitaji ushindi wowote nyumbani, kwani sare
ya magoli itaiondoa katika michuano hiyo.
 
Chelsea's £50m deal for Fernando Torres worries Uefa

• Torres transfer 'a worrying sign' for Uefa's fair play rules
• Chelsea's accounts reveal £70.9m loss in 2009-10 season




  • Matt Scott
  • The Guardian, Tuesday 1 February 2011 <li class="history">Article history
    The-Uefa-president-Michel-007.jpg
    The Uefa president, Michel Platini, has been behind the introduction of financial fair play regulations. Photograph: Karim Jaafar/AFP/Getty Images Roman Abramovich's preparedness to spend £50m on Fernando Torres has come as a surprise and as a blow to Uefa. The Chelsea owner has been viewed by Uefa mandarins as a key proponent of its financial fair play regulations, which will seek to limit clubs' losses to &#8364;45m (£38.7m) over a three-year period that began this season.
    Chelsea's chairman, Bruce Buck, has even gone as far as to speak in favour of extending Uefa's rules to a salary cap, yet how the Premier League champions would intend to square the Torres business with the current regulatory environment is unknown. One Uefa insider described the willingness to bid £50m for a single player as "a worrying sign".
    Chelsea yesterday released a set of highlights of their 2010 accounts, showing losses had risen from £47.4m in 2009 to £70.9m in the 2009-10 season. This is problematic for Uefa, since Chelsea are not the only club whose finances are in need of repair and there has been a trend across Europe for big-money transfers this January.
    With Manchester City having spent £27m last month they would seem to be on course to eclipse Chelsea's £141m record losses for a Premier League club. If that comes to pass, it would almost certainly put them in default of Uefa's rules. Michel Platini will be resolute. He warned three weeks ago that such clubs face being banned from Europe. "It will be time for them to face the music if there is a club that doesn't fall in line," said Uefa's president.
    Transfer tap turned off


    February is seldom a month to bring many people much cheer but this year for Championship clubs on the breadline, it will be tougher than ever. That is the view of Geoff Mesher, a forensic accountant whose Transfer Tracker has been watching the diminishing trickle-down from the Premier League to the rest of the football pyramid with a wince. By 6pm yesterday less than £12m of top-flight cash had reportedly filtered down to the three other divisions. "Lower&#8209;league clubs have always budgeted for transfer revenues," Grant Thornton's Mesher told Digger, and these have now dried up. Also: "There is a squeeze on sponsorship revenues, concessions and merchandising. All these things together will make for a difficult time for the majority of clubs."
    Leeds in loan dilemma


    Leeds United do not own Elland Road. A firm called Barnaway bought the freehold for £8m during the club's financial meltdown in 2004. Although this later passed to a British Virgin Islands shell company, Teak Commercial, the Leeds chairman, Ken Bates, has always been emphatic that Leeds do not own their ground. The reason Digger mentions all this is that Leeds are approaching Leeds City Council for loans to redevelop Elland Road. That seems like it would be a bit of a risky investment. Land Registry records show that Teak Commercial still holds the title to the ground, so no one else &#8211; apart from Barnaway's sole shareholder, Jacob Adler &#8211; knows who owns Elland Road. And according to the most recent accounts for Leeds United Holdings, the club's parent, there are only £2.5m of fixed assets in the club. So if the council wanted to secure its loans against club property it might find it difficult to get proper cover. Digger asked Leeds United's chief executive, Shaun Harvey, for his view yesterday but he did not call back.
    Coe's grounds for concern


    The Association of British Athletics Clubs, a splinter group, has a reputation for plain speaking. Whereas UK Athletics, the sport's official governing body, has swung behind West Ham United's bid for the 2012 Olympic Stadium, ABAC believes that decision to be flawed. "The true reason for those touting the legacy myth is to save face over the wholly unrealistic promises made in Singapore by the Olympic bid team," said ABAC's coaching officer, John Bicourt &#8211; a double Olympian. UKA responded: "The entire current GB team have given their backing to West Ham's bid." And as Bicourt hinted, The hopes of Lord Coe, left, ever becoming the International Association of Athletics Federation's president would also seem to depend on it.
 
Chelsea's £50m deal for Fernando Torres worries Uefa

• Torres transfer 'a worrying sign' for Uefa's fair play rules
• Chelsea's accounts reveal £70.9m loss in 2009-10 season




  • Matt Scott
  • The Guardian, Tuesday 1 February 2011 <li class="history">Article history
    The-Uefa-president-Michel-007.jpg
    The Uefa president, Michel Platini, has been behind the introduction of financial fair play regulations. Photograph: Karim Jaafar/AFP/Getty Images Roman Abramovich's preparedness to spend £50m on Fernando Torres has come as a surprise and as a blow to Uefa. The Chelsea owner has been viewed by Uefa mandarins as a key proponent of its financial fair play regulations, which will seek to limit clubs' losses to €45m (£38.7m) over a three-year period that began this season.
    Chelsea's chairman, Bruce Buck, has even gone as far as to speak in favour of extending Uefa's rules to a salary cap, yet how the Premier League champions would intend to square the Torres business with the current regulatory environment is unknown. One Uefa insider described the willingness to bid £50m for a single player as "a worrying sign".
    Chelsea yesterday released a set of highlights of their 2010 accounts, showing losses had risen from £47.4m in 2009 to £70.9m in the 2009-10 season. This is problematic for Uefa, since Chelsea are not the only club whose finances are in need of repair and there has been a trend across Europe for big-money transfers this January.
    With Manchester City having spent £27m last month they would seem to be on course to eclipse Chelsea's £141m record losses for a Premier League club. If that comes to pass, it would almost certainly put them in default of Uefa's rules. Michel Platini will be resolute. He warned three weeks ago that such clubs face being banned from Europe. "It will be time for them to face the music if there is a club that doesn't fall in line," said Uefa's president.
    Transfer tap turned off


    February is seldom a month to bring many people much cheer but this year for Championship clubs on the breadline, it will be tougher than ever. That is the view of Geoff Mesher, a forensic accountant whose Transfer Tracker has been watching the diminishing trickle-down from the Premier League to the rest of the football pyramid with a wince. By 6pm yesterday less than £12m of top-flight cash had reportedly filtered down to the three other divisions. "Lower&#8209;league clubs have always budgeted for transfer revenues," Grant Thornton's Mesher told Digger, and these have now dried up. Also: "There is a squeeze on sponsorship revenues, concessions and merchandising. All these things together will make for a difficult time for the majority of clubs."
    Leeds in loan dilemma


    Leeds United do not own Elland Road. A firm called Barnaway bought the freehold for £8m during the club's financial meltdown in 2004. Although this later passed to a British Virgin Islands shell company, Teak Commercial, the Leeds chairman, Ken Bates, has always been emphatic that Leeds do not own their ground. The reason Digger mentions all this is that Leeds are approaching Leeds City Council for loans to redevelop Elland Road. That seems like it would be a bit of a risky investment. Land Registry records show that Teak Commercial still holds the title to the ground, so no one else – apart from Barnaway's sole shareholder, Jacob Adler – knows who owns Elland Road. And according to the most recent accounts for Leeds United Holdings, the club's parent, there are only £2.5m of fixed assets in the club. So if the council wanted to secure its loans against club property it might find it difficult to get proper cover. Digger asked Leeds United's chief executive, Shaun Harvey, for his view yesterday but he did not call back.
    Coe's grounds for concern


    The Association of British Athletics Clubs, a splinter group, has a reputation for plain speaking. Whereas UK Athletics, the sport's official governing body, has swung behind West Ham United's bid for the 2012 Olympic Stadium, ABAC believes that decision to be flawed. "The true reason for those touting the legacy myth is to save face over the wholly unrealistic promises made in Singapore by the Olympic bid team," said ABAC's coaching officer, John Bicourt – a double Olympian. UKA responded: "The entire current GB team have given their backing to West Ham's bid." And as Bicourt hinted, The hopes of Lord Coe, left, ever becoming the International Association of Athletics Federation's president would also seem to depend on it.
 

Tamasha kusaidia yatima, wajane, walemavu


Imeandikwa na Mwandishi Wetu; Tarehe: 31st January 2011 @ 09:44

WAANDAAJI wa Tamasha la Pasaka mwaka huu wamesema malengo yao makubwa ni kukusanya fedha kwa ajili ya kuwasaidia watoto yatima, wanawake wajane na walemavu.

Akizungumza jana, Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya tamasha hilo, Alex Msama alisema fedha zitakazopatikana zitatumika kuwasomesha yatima na kuwasaidia mitaji ya biashara wanawake wajane na kuwanunulia baiskeli walemavu.

Tamasha kubwa la Pasaka linatarajiwa kufanyika Aprili 24 mwaka huu siku ya sikukuu ya Pasaka katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam na baadaye kufanyika mjini Shinyanga Jumatatu ya Pasaka Aprili 25 na jijini Mwanza Aprili 26.

"Hili ni Tamasha letu la tano tangu tulianzishe, hivyo mwaka huu tumepanga kutumia fedha zitakazopatikana katika tamasha hilo kwa ajili ya kuwasomesha watoto yatima, kuwapa mitaji ya biashara wanawake wajane na pia kuwanunulia baiskeli walemavu," alisema Msama.

Alisema tayari fedha zilizotumika katika matamasha yaliyopita walimudu kununua baiskeli 300 za walemavu kwa kusaidiwa pia na Mwenyekiti Mtendaji wa IPP, Reginald Mengi.

"Pia tumeshawasomesha watoto yatima zaidi ya 100 Tanzania nzima kupitia fedha za matamasha yaliyopita."

Pia Msama alisema, wamewasaidia wanawake wajane vyerehani 30 ikiwa ni mitaji ya biashara kwa ajili ya kuendesha maisha yao.

Katika hatua nyingine, Msama aliwashukuru wadau wakubwa wa tamasha la Pasaka akiwemo Rais Jakaya Kikwete na mkewe Salma Kikwete, kwani aliweza kuchangia katika kuwasomesha watoto 30 kupitia Mfuko wake wa WAMA.

"Pia namshukuru aliyekuwa Spika wa Bunge la Tisa, Samuel Sitta ambaye alisaidia kusomeshwa kwa watoto 15 na aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Uratibu na Bunge, Philip Marmo kwa msaada mkubwa katika matamasha yaliyopita," alisema Msama.

Alisema, tamasha la Pasaka la mwaka huu linatarajiwa kuwashirikisha waimbaji wa muziki wa Injili kutoka nchi za Kenya, Uganda, Zambia, Afrika Kusini, Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo (DRC).

 
Chelsea signs Luiz from Benfica


storypage_APlogo_01.png








Updated Jan 31, 2011 8:09 PM ET
Chelsea signed David Luiz from Benfica for a reported &#8364;25 million ($34 million) on Monday, the Brazil defender joining on a 5 1/2-year contract shortly after Spain striker Fernando Torres had also moved to the English club.

TRANSFER SPECIAL

Keep up with all the biggest moves around the globe with our 2011 January transfer gallery.

Luiz's transfer means reserve Chelsea midfielder Nemanja Matic will move to Benfica in the offseason. The Serb will remain on loan at Dutch club Vitesse Arnhem until the end of the season.
Luiz had made 82 league appearances since signing for Benfica in 2007, helping the club win last year's Portuguese league title.
"It is a major challenge for me but I am determined and confident in my ability to adapt to this excellent league," the 23-year-old Luiz said in a statement on Chelsea's website.
The Sao Paulo native is ineligible to play in the Champions League for Chelsea this season as he has already appeared in the tournament for Benfica.
Luiz, who was also reportedly a target of Real Madrid this season, initially began his career at Vitoria before moving on loan to Benfica. That transfer was made then made permanent.
Luiz becomes Chelsea's third current Brazilian player, after midfielder Ramires and center back Alex.
Torres' transfer to Chelsea from Liverpool on the final day of the January transfer window was worth a reported 50 million pounds, a British transfer record.

 
Simba: Hatukutarajia upinzani Comoro

Imeandikwa na Mwandishi Wetu; Tarehe: 31st January 2011 @ 09:44

TIMU ya Simba ya Dar es Salaam imesema haikutarajia kama ingepata upinzani mkali kutoka kwa timu ya Elan Club de Mitsoudje ya Comoro katika mchezo uliofanyika juzi mjini Moroni, Comoro.

Simba ilijikuta ikitoka 0-0 na Wacomoro hao katika mchezo wa kwanza hatua ya awali, hivyo sasa inahitaji ushindi wa aina yoyote ili isonge mbele, ambapo ikivuka hatua hiyo inakumbana na mabingwa watetezi wa michuano hiyo TP Mazembe.

"Nimezungumza na viongozi, wachezaji kwa kweli wamesema upinzani walioupata si wa kawaida, ni timu nzuri na inayocheza kwa kuelewana.

"Wacomoro wa sasa si wale wa zamani, wana timu nzuri sana na tunapaswa kubadilika na kucheza kwa nguvu zaidi katika mchezo ujao, maana tulijua tusingepata upinzani lakini tulichokutana nacho ni kitu tofauti," alisema Ofisa Habari wa Simba, Clifford Ndimbo jana.

Ndimbo alieleza kuwa wachezaji wa timu hiyo pamoja na viongozi waliofuatana na timu walimhakikishia kwamba watafanya vizuri katika mchezo wa marudiano wiki mbili zijazo na kuwa timu hiyo itarejea Dar es Salaam leo mchana.

Juzi wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya kimataifa walianza vibaya, ambapo licha ya Simba kutoka sare ya 0-0, watani zake Yanga nao walitoka sare ya mabao 4-4 na Dedebit ya Ethiopia katika mchezo wa Kombe la Shirikisho Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, huku wawakilishi wengine KMKM ya Zanzibar ikibugizwa mabao 4-0 na DC Motema Pembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).

 
Is Premier League spending out of control?

Transfer fees in the top flight appeared to have levelled out in the past few years but this January has seen some huge bids. Have clubs lost their senses?





  • guardian.co.uk, Monday 31 January 2011 23.30 GMT
    Edin-Dzeko-005.jpg
    Manchester City parted with £27m for Edin Dzeko this year. Photograph: John Walton/EMPICS Sport
      1. Yes
      2. No


    Football


    Sport

    More polls




    's comment


    Comments in chronological order (Total 18 comments)


    Post a comment
    • icons_staff_16.gif
      Staff
    • icons_contributor_16.gif
      Contributor


    • no-user-image.gif
      MrSandman 1 February 2011 12:02AM

      It's funny really. For the past several years people have gone on and on about Manchester City ruining football.
      Hell, even the pic to this article is of Dzeko. He cost £27m didn't you know!
      Yet who could have predicted that first Liverpool THEN Chelsea would break the British transfer record in one day? Surely they're ruining football?
      Will the next Liverpool match report go on about £35m Andy Carroll like people have gone on AND ON about £27m Dzeko? No! Liverpool are spending to regain their rightful place whilst Manchester City are hyper inflating the transfer market.
      Who dictated that it's better to sign a £30m+ player or two every season than it is to spend it all at once and not have to buy another player for years?


    • no-user-image.gif
      Seraphinox 1 February 2011 12:02AM

      Wenger will now obviously go out and buy Hazard, Sakho and Mertesacker in the summer right...?
      right...?
      ?


    • 60x60.png
      Catostreetcon 1 February 2011 12:28AM

      Just as a matter of interest what's the tax take on a £1,000,000 transfer fee? Is it only 20% VAT?


    • 60x60.png
      Alcevaloroso 1 February 2011 12:32AM

      Would be nice if they would donate it to charity instead, or something.
      At the very least, the £35m for Carroll is a bit of fantastic comedy.


    • 60x60.png
      casshern 1 February 2011 1:24AM

      it's not out of control at all, get a grip. it's all relative anyway given the money stays within the footballing economy. agree with MrSandman though.


    • no-user-image.gif
      stodulky 1 February 2011 1:45AM

      i don't think so, most of it is pretty circular. Abramovich chucks 50 mill into the pot, Liverpool get 50 but promptly spend 35, Newcastle get the 35 but promptly tried to spend loads on whoever (and got Ireland on loan but whatevs), the money just goes round in a circle and as soon as the bigwigs stop throwing cash in, it'll all calm down.
      i think ultimately this kind of thing puts UK clubs at a disadvantage in europe though. In France and Germany people like Mesut Ozil go for fees like 12M(!) - they stand to make a killing in profit when selling to the suckers over here with our oligarch-backed money pits. They get their finances in order and we end up with massive unsustainable debts etc etc.
      out of control? no. stupid? maybe....


    • no-user-image.gif
      chloelin 1 February 2011 1:45AM

      I'm going to enjoy counting Andy Carroll's goals and dividing them into 35 million.



    • no-user-image.gif
      russian 1 February 2011 2:20AM

      35million for Carroll certainly puts Barca's 30million bid for Fabregas into the 'you must be taking the piss category'.
      And if an out of form Torres is 50million than, if and when they do listen to offers, Arsenal should surely be asking for around 70million minimum.


    • 60x60.png
      YoureWrong 1 February 2011 2:24AM

      It depends on who holds all the cards, Barcelona know Fabregas wants to join them and only them. So no auction.


    • no-user-image.gif
      russian 1 February 2011 2:34AM

      Wenger will now obviously go out and buy Hazard, Sakho and Mertesacker in the summer right...?
      Up front, Wenger has Van Persie and Chamakh, who he bought for a combined 2.7million 🙂
      And in central defence, he has Vermaelen, Koscielny and Djourou. These three are quality players. Vermaelen, perhaps the best of the bunch, has been out the whole season.
      The argument that Arsenal's defence is a disaster isn't born out by the facts. Arsenal have only conceded a couple of goals more than Chelsea and one more than Man Utd, are well placed in the league and still in all the cups. And will defensively only get better as Song and Wilshere get used to offering greater defensive cover and the likes of Koscielny and Djorou get better used to each others play.


    • no-user-image.gif
      suitone 1 February 2011 2:39AM

      It's all peanuts for the monkey, showtime for the costumiers.
      The core question remains - is there enough sustenance still in the EPL to keep the 24/7 minute by minute juggernaut on the tracks?



    • no-user-image.gif
      Tawny 1 February 2011 4:43AM

      there are people starving in africa for gods sake! Not to mention Ireland and Greece, or Egypt or tunisia.
      Shame!


    • 60x60.png
      CaptainAsparagus 1 February 2011 5:01AM

      YoureWrong,
      If Arsenal's squad is 'terrible' I'd love to know what you think of, say, Stoke or Everton or Blackburn?
      There surely aren't the words to describe West Ham if Arsenal are 'terrible'.



    • 60x60.png
      YoureWrong 1 February 2011 5:21AM

      CaptainAsparagus
      Ok then forget standards because there are worse teams out there. You love United's five point cushion and you're using Stoke , Everton and Blackburn to disguise this. We're all here for your coronation.
      West Ham are a word called woeful.


    • no-user-image.gif
      ian959 1 February 2011 6:37AM

      £35m for Carroll? Can only assume that some lacky at LFC forgot to put the dot in the figure. At £3.5m he might be worth it, at £35m all LFC have proven is that the previous owners might have been crap but the current ones don't seem to have learnt anything either. One transaction alone illustrates why football is doomed from an economic point of view.
      Mind you £50m for a very good player albeit one who is seemingly constantly injured would suggest that Mr Abramovich might need to seek professional help. How on earth are CFC going to comply with the Fair Play rules for European competition?


 
Week 25​

Tue-02/01

vs.

2:45 PM ET

Tue-02/01

vs.

2:45 PM ET

Tue-02/01

vs.

3:00 PM ET

Tue-02/01
WBA

vs.

3:00 PM ET

Wed-02/02

vs.

2:45 PM ET

Wed-02/02

vs.

3:00 PM ET

Wed-02/02

vs.

3:00 PM ET

Wed-02/02

vs.

3:00 PM ET

Wed-02/02

vs.

3:00 PM ET

Wed-02/02

vs.

3:00 PM ET

Scores » | Fixtures »

fscLeagueFrontStatsHdr.gif

Scoring​
Goals​
51​
Assists​
42​
Shots​
392​
Goalkeeping​
Goals Allowed​
19​
Saves​
112​
SOGF​
153​
Discipline​
Yellow Cards​
50​
Red Cards​
WBA
6​
Fouls Committed​
318​
Complete Stats »
 
Chelsea signs Luiz from Benfica


storypage_APlogo_01.png







9 comments »

Updated Jan 31, 2011 8:09 PM ET
Chelsea signed David Luiz from Benfica for a reported &#8364;25 million ($34 million) on Monday, the Brazil defender joining on a 5 1/2-year contract shortly after Spain striker Fernando Torres had also moved to the English club.

TRANSFER SPECIAL

Keep up with all the biggest moves around the globe with our 2011 January transfer gallery.

Luiz's transfer means reserve Chelsea midfielder Nemanja Matic will move to Benfica in the offseason. The Serb will remain on loan at Dutch club Vitesse Arnhem until the end of the season.
Luiz had made 82 league appearances since signing for Benfica in 2007, helping the club win last year's Portuguese league title.
"It is a major challenge for me but I am determined and confident in my ability to adapt to this excellent league," the 23-year-old Luiz said in a statement on Chelsea's website.
The Sao Paulo native is ineligible to play in the Champions League for Chelsea this season as he has already appeared in the tournament for Benfica.
Luiz, who was also reportedly a target of Real Madrid this season, initially began his career at Vitoria before moving on loan to Benfica. That transfer was made then made permanent.
Luiz becomes Chelsea's third current Brazilian player, after midfielder Ramires and center back Alex.
Torres' transfer to Chelsea from Liverpool on the final day of the January transfer window was worth a reported 50 million pounds, a British transfer record.
 

Timbe mguu sawa Yanga

Imeandikwa na Mwandishi Wetu; Tarehe: 31st January 2011 @ 09:34
KITENDAWILI cha kocha atakayevaa viatu vya Mserbia Kostadin Papic kuinoa Yanga kimeanza kuteguliwa baada ya kocha Sam Timbe wa Uganda kuwasili nchini kufanya mazungumzo na viongozi wa klabu hiyo.

Timbe alikuwepo juzi Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam na aliishuhudia Yanga ikitoka sare ya mabao 4-4 na Dedebit ya Ethiopia katika mchezo wa kwanza hatua ya awali katika michuano ya Kombe la Shirikisho.

Alipoulizwa na gazeti hili kuhusiana na ujio wake Dar es Salaam, kocha huyo alijibu kwa kifupi: "Nimekuja kuangalia mechi, mimi ni shabiki wa soka, nipo hapa kuangalia Yanga ikicheza, hakuna kingine."

Alisema haoni tatizo la yeye kuangalia mechi hiyo na kutokuwa tayari kuzungumzia uwepo wake kama unahusiana na kuja nchini kufanya mazungumzo ya kuinoa Yanga.

Lakini jana Mwenyekiti wa Yanga, Lloyd Nchunga alikata mzizi wa fitina na kuthibitisha kuwa Timbe yupo nchini kwa ajili ya Yanga na kuwa kesho watafanya naye mazungumzo kuona namna ya kumalizana naye ili aweze kuinoa Yanga.

Nchunga alisema wamefikia uamuzi huo kwa kuwa Papic ameshikilia msimamo wake wa kuondoka Yanga, hivyo wao wanaona ni vyema wakatafuta mbadala wake na kwamba chaguo la kwanza ni Timbe ambaye atasaidiana na Fredy Minziro ambaye kwa sasa ndiye ana jukumu la kuinoa Yanga.

Timbe ambaye mara ya mwisho alikuwa akiinoa Atraco ya Rwanda ambayo baadaye wamiliki waliamua kuiondoa kwenye Ligi Kuu ya nchi hiyo mwaka jana hivyo kuifuta katika mambo ya soka, anayo rekodi moja kubwa katika soka la Afrika Mashariki na Kati nayo ni kutwaa ubingwa wa Kombe la Kagame mara tatu akiwa na timu tatu tofauti.

Alitwaa mara ya kwanza mwaka 2005 akiwa na SC Villa ya Uganda, mwaka uliofuata alifanya hivyo jijini Dar es Salaam akiwa na Polisi ya Uganda na mwaka 2009 alitwaa ubingwa huo akiwa na Atraco ya Rwanda mjini Khartoum Sudan na kuwa kocha pekee kufanya hivyo katika historia ya michuano hiyo.

Kocha Raoul Shungu raia wa Rwanda amepata kutwaa kombe hilo akiwa na timu mbili tofauti, mwaka 1998 akiwa na APR ya Rwanda na mwaka 1999 akiwa na Yanga ya Dar es Salaam.

Wakati huohuo, Minziro amesema hakuna lisilowezekana kwenye soka, hivyo Yanga inao uwezo wa kuifunga Dedebit kwao, lakini mazingira yalivyo Yanga hayamfurahishi.

Yanga juzi ilitoka sare ya kufungana mabao 4-4 na Dedebit ya Ethiopia mchezo uliofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, ambapo ilibidi isubiri dakika za majeruhi kusawazisha bao na kulazimisha sare hiyo.

Lakini akizungumza baada ya mchezo huo, Minziro alisema ana matumaini muda uliobaki wa maandalizi anaweza kuifanyia marekebisho timu yake na kuibuka na ushindi zitakaporudiana wiki mbili zijazo nchini Ethiopia katika michuano hiyo ya Kombe la Shirikisho.

"Hakuna lisilowezekana, wao wametoka sare hapa kwetu, pia sisi tunaweza kuwafunga kule kwao, yapo mambo ambayo tukiyarekebisha nina matumaini makubwa tutasonga mbele," alisema Minziro.

Kocha huyo ambaye kuletwa kwake Yanga kulisababisha Papic ajiuzulu, alipoulizwa kuhusiana na mazingira ya Yanga yalivyo kutokana na kuwepo mgogoro ukihusisha viongozi na baadhi ya wanachama, alisema hali hiyo haimridhishi.

"Mazingira ya Yanga sifurahishwi nayo, hayanipi raha maana kunapokuwa na mgogoro hujui yupi mwema na yupi adui, tunapaswa kubadilika sana," alisema Minziro na kuongeza kuwa timu yake haikucheza vizuri na ilichanganyikiwa zaidi hasa baada ya kuwa nyuma kwa mabao 4-2, hivyo wachezaji kupoteana uwanjani.

Pia alisema aliamua kuchezesha kikosi kilichokuwa kikitumiwa na Papic ili asije akaharibu mfumo wa uchezaji na kuwa matumaini yake ni kuwa kwa vile ataendelea kuwa na kikosi hicho ataona mazoezini ni mabadiliko gani ayafanye maana alikaa na timu kwa siku tatu.

Kutokana na matokeo hayo,Yanga ili isonge mbele inahitaji ushindi wa aina yoyote ama sare ya kuanzia mabao 5-5, lakini sare ya mabao chini ya manne itakuwa imetolewa.

 
ottenham's efforts to secure striking reinforcements meet with failure

&#8226; Numerous targets choose to move elsewhere or stay put
&#8226; Tottenham upset Everton with 'insulting' bid for Phil Neville


  • David Hytner
  • The Guardian, Tuesday 1 February 2011 <li class="history">Article history
    Diego-Forlan-007.jpg
    Tottenham's £15m offer for Diego Forlán was rejected by the Atlético Madrid board. Photograph: Pierre-Philippe Marcou/AFP/Getty Images Tottenham Hotspur embarked upon a frantic late mission to sign the marquee striker that they craved, one characterised by club record-breaking eight-figure bids but they also found themselves under fire from Everton for their "disrespectful" attempt to snatch Phil Neville on the cheap.
    The north London club were determined to add firepower even before they allowed one of their strikers, Robbie Keane, to move to West Ham United on an initial loan that will become permanent if the Republic of Ireland international helps them to retain their Premier League status. They focused the majority of their efforts on Spain's La Liga, where it had long been rumoured that they had a deal in place for a top star.
    They offered &#8364;15m for the Atlético Madrid striker Diego Forlán late in the afternoon, only to see the bid rejected by the club's directors, who had discussed the matter at a board meeting. Spurs had earlier been linked with a £38m move for Forlan's team&#8209;mate Sergio Agüero only for him to agree a two-and-a-half&#8209;year contract extension, which was signed at an official presentation in Madrid.
    The most that Tottenham had previously spent on a player was the £16.6m that took the midfielder Luka Modric from Dynamo Zagreb in 2008.
    Tottenham moved on breathlessly. Their policy has long been to identify an array of possible targets, keep a line of communication open with the player's club and return on the final day of the transfer window in the hope of closing the deal.
    They went to Villarreal for Giuseppe Rossi, the former Manchester United striker who was rated by his club at £30m, which felt like a polite way of saying that he was not for sale.
    Spurs were undeterred and they explored the possibility of part-funding the deal by moving Peter Crouch to Newcastle United. Newcastle had a vacancy, and plenty of funds, after the shock £35m transfer of Andy Carroll to Liverpool last night.
    Carroll was the striker that the Tottenham manager, Harry Redknapp, really wanted. He fitted the profile that the club look for in new recruits, being young, gifted and British yet Liverpool beat them to the punch. It was the same story with another of their targets, the Ajax striker Luis Suárez. Spurs had made inquires after him; Liverpool got the deal done.
    Tottenham had also made moves to sign Sevilla's Luís Fabiano and Athletic Bilbao's Fernando Llorente, bidding £25m for the latter only to be turned down flat by the Spanish club. It was a whirlwind finish to yet another transfer window for them.
    The Neville plot-line carried one of the many stings. The Everton chairman, Bill Kenwright, had already made it clear that he had not welcomed Tottenham's interest in the captain, for whom they had inquired about on 5 January, when the two clubs met at Goodison Park.
    They nonetheless pushed ahead with an offer of £500,000, which was to be paid in two instalments. David Moyes, the Everton manager, felt that the bid was one of the most insulting he had received in his career.
    "We have had an offer from Tottenham of £250,000, which we received on Saturday afternoon," Moyes said. "Then it was upped to £500,000 on Monday morning. That is insulting. It was £250,000 now and £250,000 paid in a year's time.
    "There is no reaction to that. An offer like that for Everton's captain is a disrespectful offer to the club and it is a disrespectful offer for a player of Phil's qualities. I could understand it if he had six months to go on his contract, but he has 18 months to go and he has played more or less every game for Everton this season."
    Moyes added: "It is as surprising an offer as I have known in my career. I spoke to Harry on Saturday afternoon. He made the bid. We had a bit of banter about horses and things. There has been a lot of people saying things, but Saturday at 4pm was the first time we had an offer."
 
ottenham's efforts to secure striking reinforcements meet with failure

• Numerous targets choose to move elsewhere or stay put
• Tottenham upset Everton with 'insulting' bid for Phil Neville


  • David Hytner
  • The Guardian, Tuesday 1 February 2011 <li class="history">Article history
    Diego-Forlan-007.jpg
    Tottenham's £15m offer for Diego Forlán was rejected by the Atlético Madrid board. Photograph: Pierre-Philippe Marcou/AFP/Getty Images Tottenham Hotspur embarked upon a frantic late mission to sign the marquee striker that they craved, one characterised by club record-breaking eight-figure bids but they also found themselves under fire from Everton for their "disrespectful" attempt to snatch Phil Neville on the cheap.
    The north London club were determined to add firepower even before they allowed one of their strikers, Robbie Keane, to move to West Ham United on an initial loan that will become permanent if the Republic of Ireland international helps them to retain their Premier League status. They focused the majority of their efforts on Spain's La Liga, where it had long been rumoured that they had a deal in place for a top star.
    They offered €15m for the Atlético Madrid striker Diego Forlán late in the afternoon, only to see the bid rejected by the club's directors, who had discussed the matter at a board meeting. Spurs had earlier been linked with a £38m move for Forlan's team&#8209;mate Sergio Agüero only for him to agree a two-and-a-half&#8209;year contract extension, which was signed at an official presentation in Madrid.
    The most that Tottenham had previously spent on a player was the £16.6m that took the midfielder Luka Modric from Dynamo Zagreb in 2008.
    Tottenham moved on breathlessly. Their policy has long been to identify an array of possible targets, keep a line of communication open with the player's club and return on the final day of the transfer window in the hope of closing the deal.
    They went to Villarreal for Giuseppe Rossi, the former Manchester United striker who was rated by his club at £30m, which felt like a polite way of saying that he was not for sale.
    Spurs were undeterred and they explored the possibility of part-funding the deal by moving Peter Crouch to Newcastle United. Newcastle had a vacancy, and plenty of funds, after the shock £35m transfer of Andy Carroll to Liverpool last night.
    Carroll was the striker that the Tottenham manager, Harry Redknapp, really wanted. He fitted the profile that the club look for in new recruits, being young, gifted and British yet Liverpool beat them to the punch. It was the same story with another of their targets, the Ajax striker Luis Suárez. Spurs had made inquires after him; Liverpool got the deal done.
    Tottenham had also made moves to sign Sevilla's Luís Fabiano and Athletic Bilbao's Fernando Llorente, bidding £25m for the latter only to be turned down flat by the Spanish club. It was a whirlwind finish to yet another transfer window for them.
    The Neville plot-line carried one of the many stings. The Everton chairman, Bill Kenwright, had already made it clear that he had not welcomed Tottenham's interest in the captain, for whom they had inquired about on 5 January, when the two clubs met at Goodison Park.
    They nonetheless pushed ahead with an offer of £500,000, which was to be paid in two instalments. David Moyes, the Everton manager, felt that the bid was one of the most insulting he had received in his career.
    "We have had an offer from Tottenham of £250,000, which we received on Saturday afternoon," Moyes said. "Then it was upped to £500,000 on Monday morning. That is insulting. It was £250,000 now and £250,000 paid in a year's time.
    "There is no reaction to that. An offer like that for Everton's captain is a disrespectful offer to the club and it is a disrespectful offer for a player of Phil's qualities. I could understand it if he had six months to go on his contract, but he has 18 months to go and he has played more or less every game for Everton this season."
    Moyes added: "It is as surprising an offer as I have known in my career. I spoke to Harry on Saturday afternoon. He made the bid. We had a bit of banter about horses and things. There has been a lot of people saying things, but Saturday at 4pm was the first time we had an offer."
 
Everton brand Tottenham's £500,000 offer for Phil Neville 'insulting'

&#8226; Tottenham offer to pay fee in two instalments
&#8226; 'An offer like that for our captain is disrespectful'




  • Andy Hunter
  • The Guardian, Tuesday 1 February 2011 <li class="history">Article history
    Harry-Redknapp-006.jpg
    Harry Redknapp is intent on stiffening Spurs' ramshackle defence after the shock of Sunday's defeat at Fulham. Photograph: Paul Childs/Action Images David Moyes has accused Tottenham Hotspur of showing disrespect to Everton and Phil Neville after they made a £500,000 bid for the club captain on transfer deadline day.
    The offer from Tottenham, whose elevation to the Champions League has been reflected in bids of £38m for Sergio Aguero, £25m for Fernando Llorente and £25m for Andy Carroll, was not even £500,000 up-front, with Harry Redknapp looking to pay in two instalments for a player whose versatility and leadership he wanted to bring to White Hart Lane.
    Moyes was already aggrieved with Spurs for making known their interest in Neville after Bill Kenwright, the Everton chairman, told his counterpart Daniel Levy the 34-year-old was not for sale when the two clubs met at Goodison Park on 5 January. The Everton manager believes their eventual offer ranks among the most insulting he has received in his career.
    "We have had an offer from Tottenham of £250,000 which we received on Saturday afternoon. Then it was upped to £500,000 on Monday morning," said Moyes, who will be in north London tonight, when his team face Arsenal in the Premier League. "I think that is insulting. It was £250,000 on Saturday afternoon when I was leaving the ground and they upped it to £500,000 on Monday morning. That was £250,000 now and £250,000 paid in a year's time.
    "There is no reaction to that. I think an offer like that for Everton's captain is a disrespectful offer to the club and I think it is a disrespectful offer for a player of Phil's qualities. I could understand it if he had six months to go on his contract, but he has 18 months to go and he has played more or less every game for Everton this season."
    Tottenham, who signed Steven Pienaar for £3m from Everton earlier in the window, have been repeatedly linked with the former Manchester United and England player but Saturday's offer was the first time an official bid had been received.
    Moyes said: "I think it is as surprising an offer as I have known in my career. I spoke to Harry on Saturday afternoon. He made the bid. We had a bit of banter about horses and things. There has been a lot of people saying things, but Saturday at 4pm was the first time we had an offer."
    Tim Cahill will not feature at the Emirates tonight despite the end of the Asian Cup in Qatar. Cahill played in Australia's 1-0 extra&#8209;time loss to Japan in the final on Saturday and has been granted a few days off to recover.
 
Everton brand Tottenham's £500,000 offer for Phil Neville 'insulting'

• Tottenham offer to pay fee in two instalments
• 'An offer like that for our captain is disrespectful'




  • Andy Hunter
  • The Guardian, Tuesday 1 February 2011 <li class="history">Article history
    Harry-Redknapp-006.jpg
    Harry Redknapp is intent on stiffening Spurs' ramshackle defence after the shock of Sunday's defeat at Fulham. Photograph: Paul Childs/Action Images David Moyes has accused Tottenham Hotspur of showing disrespect to Everton and Phil Neville after they made a £500,000 bid for the club captain on transfer deadline day.
    The offer from Tottenham, whose elevation to the Champions League has been reflected in bids of £38m for Sergio Aguero, £25m for Fernando Llorente and £25m for Andy Carroll, was not even £500,000 up-front, with Harry Redknapp looking to pay in two instalments for a player whose versatility and leadership he wanted to bring to White Hart Lane.
    Moyes was already aggrieved with Spurs for making known their interest in Neville after Bill Kenwright, the Everton chairman, told his counterpart Daniel Levy the 34-year-old was not for sale when the two clubs met at Goodison Park on 5 January. The Everton manager believes their eventual offer ranks among the most insulting he has received in his career.
    "We have had an offer from Tottenham of £250,000 which we received on Saturday afternoon. Then it was upped to £500,000 on Monday morning," said Moyes, who will be in north London tonight, when his team face Arsenal in the Premier League. "I think that is insulting. It was £250,000 on Saturday afternoon when I was leaving the ground and they upped it to £500,000 on Monday morning. That was £250,000 now and £250,000 paid in a year's time.
    "There is no reaction to that. I think an offer like that for Everton's captain is a disrespectful offer to the club and I think it is a disrespectful offer for a player of Phil's qualities. I could understand it if he had six months to go on his contract, but he has 18 months to go and he has played more or less every game for Everton this season."
    Tottenham, who signed Steven Pienaar for £3m from Everton earlier in the window, have been repeatedly linked with the former Manchester United and England player but Saturday's offer was the first time an official bid had been received.
    Moyes said: "I think it is as surprising an offer as I have known in my career. I spoke to Harry on Saturday afternoon. He made the bid. We had a bit of banter about horses and things. There has been a lot of people saying things, but Saturday at 4pm was the first time we had an offer."
    Tim Cahill will not feature at the Emirates tonight despite the end of the Asian Cup in Qatar. Cahill played in Australia's 1-0 extra&#8209;time loss to Japan in the final on Saturday and has been granted a few days off to recover.
 

Wanariadha maarufu kushiriki Kili Marathon 2011

Imeandikwa na Mwandishi Wetu; Tarehe: 31st January 2011 @ 08:44

WANARIADHA maarufu wa mbio za marathon kutoka nchi mbalimbali duniani, wako hatua za mwisho za maandalizi kabla ya kwenda Moshi kushiriki awamu ya tisa ya mbio za Kilimanjaro Marathon, zitakazofanyika Februari 27, mwaka huu.

Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari na Rais wa Chama cha Riadha Tanzania (RT) jana, ilisema kwamba wanariadha mashuhuri kama vile Patrick Nyangero, Andrea Silvini, Daudi Joseph, Sarah Majah, Sarah Kavina na Banuelia Brighton wataungana na wanariadha wengine wa hapa nchini na wengine kutoka mataifa mbalimbali.

Patrick Nyangero alikuwa mshindi wa pili kwenye mbio hizo mwaka 2009 baada ya kumaliza mbio katika muda wa 02:15:35, Andrea Silvini alikuwa mshindi wa tatu kwenye mbio hizo mwaka 2008 baada ya kumaliza mbio muda wa 02:16:22.

Banuelia Brighton alishinda mbio hizo kwa upande wa wanawake akimaliza katika muda wa 02:48:37.

Taarifa iliwataja wanariadha wengine waliothibitisha kushiriki ni pamoja na Martin Sulle (mshindi wa nusu marathon mwaka 2006 katika muda wa 01:04:03) Peter Sulle, Samwel Shauri na Mary Naali ambaye hivi karibuni alishinda mbio ya Vienna Marathon nchini Austria.

Kwa upande wake taarifa hiyo ilimkariri John Addison, Mkurugenzi Mkuu wa Wild Frontiers, waandaaji wa mbio hizo, akisema nchi zaidi ya 35 zinatarajiwa kushiriki huku washiriki kutoka nje ya nchi wakitarajia kuwa zaidi ya 600 ukilinganisha na 500 wa mwaka jana.

"Washiriki wa kigeni wanatarajiwa kutoka nchi za Afrika Kusini, Uingereza, Zimbabwe, Kenya, New Zealand, China, Canada, Marekani, Australia, Ufaransa na Italia. Kwa ujumla, zaidi ya wakimbiaji 5,000 wanatarajiwa kushiriki mbio hizo.

"Mbio za Kilimanjaro Marathon zimekuwa alama kubwa ya michezo inayofanyika kila mwaka kwa kuwakutanisha pamoja wakimbiaji na mashabiki kutoka sehemu mbalimbali nchini pamoja na washiriki wa kigeni. Hali ya hewa ni nzuri kwa wakimbiaji, huku wakiutazama pia Mlima Kilimanjaro," alisema Addison, Mkurugenzi Mkuu wa Wild Frontiers, waandaaji wa mashindano hayo wakishirikiana na Executive Solutions.

"Kati ya mambo yanayotarajiwa kuleta msisimko wa aina yake kwenye mbio za mwaka huu ni uwepo wa wasanii watakaoruka kwa miavuli kutoka kwenye kilele cha Mlima Kilimanjaro asubuhi ya siku hiyo na kutua kwenye Uwanja wa Ushirika," alisema.

Wadhamini wa mbio hizo ni bia ya Kilimanjaro Premium Lager na wadhamini shirikishi ambao ni Vodacom, CFAO DT Dobie, KK Security, TanzaniteOne, TPC Sugar, Precisionair, Kilimanjaro Water, Bodi ya Utalii Tanzania na Tanga Cement.

 
Stephen Ireland joins Newcastle on loan from Aston Villa

&#8226; Midfielder heads to St James' Park for rest of season
&#8226; 'He's a real top player,' says manager Alan Pardew




  • Press Association
  • guardian.co.uk, Monday 31 January 2011 20.59 GMT <li class="history">Article history
    Stephen-Ireland-007.jpg
    Stephen Ireland has joined Newcastle having struggled to find his best form at Aston Villa. Photograph: John Walton/EMPICS Sport Stephen Ireland has completed a loan move to Newcastle. The 24-year-old midfielder has joined the club for the remainder of the season from Aston Villa.
    His arrival comes just hours after reports that the deal had fallen through because he had failed a medical.
    Alan Pardew was delighted to have completed a signing which had been high on his agenda.
    "Stephen has shown over the past few seasons that he's a real top player," said the Newcastle manager, "so we are really pleased to have got him until the end of the season.
    "He can create chances for others and score goals himself, and we think he can be a big factor for us in the second part of this season.
    "I think Stephen feels he can deliver more than he's shown at Villa so far, so he's got a point to prove and I believe we can reap the benefits of that."
    Ireland joined Villa in an £8m switch from Manchester City during the summer of last year, but has struggled to find his best form for the club.
 
Stephen Ireland joins Newcastle on loan from Aston Villa

• Midfielder heads to St James' Park for rest of season
• 'He's a real top player,' says manager Alan Pardew




  • Press Association
  • guardian.co.uk, Monday 31 January 2011 20.59 GMT <li class="history">Article history
    Stephen-Ireland-007.jpg
    Stephen Ireland has joined Newcastle having struggled to find his best form at Aston Villa. Photograph: John Walton/EMPICS Sport Stephen Ireland has completed a loan move to Newcastle. The 24-year-old midfielder has joined the club for the remainder of the season from Aston Villa.
    His arrival comes just hours after reports that the deal had fallen through because he had failed a medical.
    Alan Pardew was delighted to have completed a signing which had been high on his agenda.
    "Stephen has shown over the past few seasons that he's a real top player," said the Newcastle manager, "so we are really pleased to have got him until the end of the season.
    "He can create chances for others and score goals himself, and we think he can be a big factor for us in the second part of this season.
    "I think Stephen feels he can deliver more than he's shown at Villa so far, so he's got a point to prove and I believe we can reap the benefits of that."
    Ireland joined Villa in an £8m switch from Manchester City during the summer of last year, but has struggled to find his best form for the club.
 
Chelsea signs Luiz from Benfica


storypage_APlogo_01.png







9 comments »

Updated Jan 31, 2011 8:09 PM ET
Chelsea signed David Luiz from Benfica for a reported &#8364;25 million ($34 million) on Monday, the Brazil defender joining on a 5 1/2-year contract shortly after Spain striker Fernando Torres had also moved to the English club.

TRANSFER SPECIAL

Keep up with all the biggest moves around the globe with our 2011 January transfer gallery.

Luiz's transfer means reserve Chelsea midfielder Nemanja Matic will move to Benfica in the offseason. The Serb will remain on loan at Dutch club Vitesse Arnhem until the end of the season.
Luiz had made 82 league appearances since signing for Benfica in 2007, helping the club win last year's Portuguese league title.
"It is a major challenge for me but I am determined and confident in my ability to adapt to this excellent league," the 23-year-old Luiz said in a statement on Chelsea's website.
The Sao Paulo native is ineligible to play in the Champions League for Chelsea this season as he has already appeared in the tournament for Benfica.
Luiz, who was also reportedly a target of Real Madrid this season, initially began his career at Vitoria before moving on loan to Benfica. That transfer was made then made permanent.
Luiz becomes Chelsea's third current Brazilian player, after midfielder Ramires and center back Alex.
Torres' transfer to Chelsea from Liverpool on the final day of the January transfer window was worth a reported 50 million pounds, a British transfer record.

 
Simba, Yanga zimechoka!

Imeandikwa na Amiri Mhando; Tarehe: 30th January 2011 @ 08:34

WAWAKILISHI wa Tanzania Bara kwenye michuano ya kimataifa, Simba na Yanga leo wameshindwa kuanza vyema kwenye michuano hiyo baada ya kutoka sare kwenye mechi zao.

Yanga ikicheza nyumbani kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam katika michuano ya Kombe la Shirikisho, ilitoka sare ya mabao 4-5 na Dedebit ya Ethiopia na ilibidi isubiri hadi dakika za majeruhi kushangilia bao la kusawazisha lililofungwa kwa shuti la mbali na kiungo Godfrey Bonny, ikiwa ni dakika mbili baada ya mwamuzi wa mezani Isreal Nkongo kuonesha kibao kwamba dakika zilizosalia mpira kumalizika zilikuwa tatu.

Ilikuwa furaha kwa mashabiki wa Yanga, ambao hadi dakika ya 86 walikuwa wamefungwa mabao 4-2, huku timu ikiwa haioneshi mipango ya kusawazisha na kufanya baadhi ya mashabiki kuanza kuondoka uwanjani hapo kwa hasira.

Lakini dakika ya 86 mpira uliopigwa na beki Shadrack Nsajigwa na kuonekana kama hauna madhara ulimtoka kipa Biryam Habitam na kumkuta Jerry Tegete aliyeukwamisha wavuni kirahisi.

Mashabiki wa Yanga ambao awali waliingia uwanjani wakiwa na matumaini makubwa ya kuibuka na ushindi wa kishindo kujijengea mazingira mazuri ya kusonga mbele katika mchezo wa marudiano walijikuta wakilazimika kushangilia sare kutokana na namna timu yao ilivyokuwa ikichezewa kana kwamba ilikuwa ipo uwanja wa ugenini.

Wengi hawakuamini kama Waethiopia wangeweza kung'ara Dar es Salaam, bali walikuwa wakionekana ni timu ya kufungwa mabao mengi, lakini kadri muda ulivyokuwa ukienda ndivyo Yanga walivyopoteana na kuwapa nafasi Waethiopia kutawala mchezo na kuzima mbwembwe za Yanga inayoongoza Ligi Kuu Tanzanai Bara.

Yanga ilikuwa ya kwanza kupata bao dakika ya 16 mfungaji akiwa Nadir Haroub baada ya mpira wa adhabu uliopigwa na Omega Seme kupanguliwa na kipa wa Dedebit na mpira kumkuta Haroub.

Waethiopia walisawazisha dakika ya 24 kutokana na beki Issac Boakye kutoa pasi fupi iliyonaswa na Damit Tikadu aliyepachika wavuni na dakika ya 35 Yanga ikafungwa bao lingine, lililopachikwa wavuni na Birham Bogale.

Alifunga bao hilo ikiwa ni dakika chache baada ya kipa Yaw Berko wa Yanga kutolewa kutokana na kuumia na kisha kuingia Nelson Kimathi aliyekumbana na dhahama hiyo.

Timu ziliendelea kushambuliana kwa zamu, lakini umaliziaji haukuwa mzuri kwa pande zote, ambapo Davies Mwape wa Yanga, Tegete na Idd Mbaga nao walipata nafasi kadhaa za kufunga lakini umaliziaji ulikuwa butu.

Dakika ya 43 Dedebit ilipata bao la tatu mfungaji akiwa Tikabu kwa shuti la mbali na kuwanyima raha mashabiki wa Yanga waliokuwa wakiibeza timu hiyo ya Ethiopia kiasi cha kupigia hesabu kwamba kama itashinda kizingiti cha Dedebit itakutana na Haras El Hodoud ya Misri.

Nurdin Bakari aliifungia Yanga bao la pili dakika ya 44 angalau kupunguza presha kwa mashabiki kwamba wakati wowote mambo yangekuwa mazuri.

Kipindi cha pili pia ilikuwa cha kushambuliana kila upande na dakika ya 63 Tadelle Bengesha aliifungia Dedebit bao la nne baada Waethiopia hao kugongeana vizuri na kuingia ndani ya eneo la hatari na kuanzia hapo Yanga walikuwa na kazi kubwa ya kuutafuta mpira.

Dedebit itabidi ijilaumu kwa kutoshinda mchezo huo hasa baada ya kuwa mbele kwa mabao 4-2, ambapo washambuliaji wake walikosa mabao mengi ya kufunga.

Lakini pia kipa Kimathi wa Yanga naye jana alifanya kazi ya ziada licha ya kufungwa mabao matatu, lakini aliokoa michomo ambayo ingeweza kuwa na madhara makubwa kwa timu yake.

Kocha wa Yanga, Fredy Minziro ambaye jana alikuwa kwenye benchi kutokana na Kocha Mkuu, Kostadin Papic kutokuwepo baada ya kutangaza kujiuzulu, alisema timu yake ilipoteana hasa baada ya kutanguliwa kufungwa, lakini anaamini mambo yatabadilika na kuwa hakuna lisilowezekana.

"Mkishafungwa mnachangikiwa hilo ndilo lililotukuta, lakini tunashukuru kwamba tumepata sare tutapambana kwao," alisema Minziro.

Kutokana na matokeo hayo,Yanga ili isonge mbele inahitaji ushindi wa aina yoyote ama sare ya kuanzia mabao 5-5, lakini sare ya mabao chini ya manne itakuwa imetolewa.

Yanga: Berko/Kimathi, Shadrack Nsajigwa, Stephano Mwasika, Haroub, Boakye/Job Ibrahim, Seme, Godfrey Bonny, Nurdin Bakari, Tegete, Davies Mwape na Idd Mbaga.

Wakati huohuo, habari zilizopatikana kutoka Moroni, Comoro jana ni kuwa Simba ya Dar es Salaam nayo ilibanwa mbavu na kutoka bila kufungana na Elan Club de Mitsoudje ya huko katika mchezo wa awali wa Ligi ya Mabingwa Afrika.

Mashabiki wengi nchini wamekuwa wakizidharau timu za Comoro na walikuwa wakiipa Simba nafasi kubwa ya kuibuka na ushindi ugenini na kisha zitakaporudiana jijini Dar es Salaam wiki mbili zijazo. Lakini kwa mujibu wa chanzo chetu kutoka Comoro, Simba ilibanwa vilivyo kiasi wachezaji hawakuamini kama wapinzani wao wangecheza mchezo mkali.

Washambuliaji wa Simba wakiongozwa na Mussa Mgosi, Patrick Ochan na Gumbo nao walipata nafasi za kufunga ila umaliziaji ulikuwa butu.

Kutokana na matokeo hayo ili Simba isonge mbele italazimika kupata ushindi wa aina yoyote, wakati wapinzani wao watahitaji ushindi ama sare lakini yenye idadi ya mabao yoyote.

Simba ilianza: Ally Mustapha, Haruna Shamte, Juma Jabu, Juma Nyoso, Meshack Abel, Jerry Santo, Hillary Echesa, Rashid Gumbo, Mussa Mgosi, Emmanuel Okwi na Ochan.

Wakati huohuo, timu ya KMKM ya Zanzibar inayoshiriki katika michezo ya Kombe la Shirikisho, jana ilishindwa kuutumia vyema uwanja wa nyumbani baada ya kufungwa mabao 4-0 na DC Motema Pembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC).

Mchezo huo uliofanyika Uwanja wa Amaan mjini Zanzibar ulishuhudia vijana hao wa KMKM wakiwa katika wakati mgumu na kukubali kipigo hicho, hivyo ili isonge mbele itahitajika ishinde mabao 5-0 zitakaporudiana nchini DRC.

 
Stephen Ireland joins Newcastle on loan from Aston Villa

• Midfielder heads to St James' Park for rest of season
• 'He's a real top player,' says manager Alan Pardew




  • Press Association
  • guardian.co.uk, Monday 31 January 2011 20.59 GMT <li class="history">Article history
    Stephen-Ireland-007.jpg
    Stephen Ireland has joined Newcastle having struggled to find his best form at Aston Villa. Photograph: John Walton/EMPICS Sport Stephen Ireland has completed a loan move to Newcastle. The 24-year-old midfielder has joined the club for the remainder of the season from Aston Villa.
    His arrival comes just hours after reports that the deal had fallen through because he had failed a medical.
    Alan Pardew was delighted to have completed a signing which had been high on his agenda.
    "Stephen has shown over the past few seasons that he's a real top player," said the Newcastle manager, "so we are really pleased to have got him until the end of the season.
    "He can create chances for others and score goals himself, and we think he can be a big factor for us in the second part of this season.
    "I think Stephen feels he can deliver more than he's shown at Villa so far, so he's got a point to prove and I believe we can reap the benefits of that."
    Ireland joined Villa in an £8m switch from Manchester City during the summer of last year, but has struggled to find his best form for the club.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom