Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,468
- 911,184
- Thread starter
- #5,241
Top C kuzindua Bilicanas Valentine's Day
na Dina Ismail
WASANII mbalimbali wa muziki wa bongo fleva wanatarajiwa kusindikiza uzinduzi wa albamu ya msanii mwenzao anayekwenda kwa jina la Top C inayojulikana kama ‘Lofa'.
Uzinduzi huo unatarajiwa kufanyika katika ukumbi wa kimataifa wa Club Bilicanas katika Sikukuu ya Wapendanao ‘Valentines Day.
Msanii huyo anayetoka katika kundi la Masharobaro linaloongozwa na Mr. Chocolate msanii na mtayarishaji wa Sharobaro Records.
Wasanii wanaotarajiwa kupamba uzinduzi huo ni pamoja na Mr.Chocolate, H-Baba, Diamond, Sam wa Ukweli na Q-Chillah.
na Dina Ismail
Uzinduzi huo unatarajiwa kufanyika katika ukumbi wa kimataifa wa Club Bilicanas katika Sikukuu ya Wapendanao ‘Valentines Day.
Msanii huyo anayetoka katika kundi la Masharobaro linaloongozwa na Mr. Chocolate msanii na mtayarishaji wa Sharobaro Records.
Wasanii wanaotarajiwa kupamba uzinduzi huo ni pamoja na Mr.Chocolate, H-Baba, Diamond, Sam wa Ukweli na Q-Chillah.