Michezo magazetini leo...

Michezo magazetini leo...

Status
Not open for further replies.
Mashabiki Corinthias wamtisha Roberto Carlos
Friday, 11 February 2011 20:33

SAO PAULO, Brazil
BEKI mkongwe Roberto Carlos anaweza kuiacha klabu yake ya Corinthians ya Brazil kwa sababu mashabiki wa timu hiyo wamekuwa wakiitishia familia yake.

Carlos ameuambia mtandao wa Lancenet kwamba hata yeye amekuwa akipokea ujumbe mfupi wa vitisho katika simu yake, pia watu asiowafahamu wamekuwa wakimfuatilia mitaani tangu klabu yao (Corinthians_ ilipotolewa katika michuano ya Copa Libertadores wiki iliyopita.

Carlos ambaye ni beki nyota wa zamani wa timu ya taifa ya Brazil, Selecao na klabu ya Real Madrid alisema,"Naona mambo yananishinda hapa Brazil, bado kuna mambo nayatafakari."

Beki huyo mwenye umri wa miaka 37, anayeweza kurudi barani Ulaya na kucheza soka.

"Nimekuwa nikitishwa kila mara kwenye simu na familia yangu imekuwa ikitishwa, pia zipo pikipiki huwa zinanifuata nikiwa na gari langu mitaaani,"alisema.

Baada ya Corinthians kufungwa mabao 2-0 na Deportes Tolima ya Colombia wiki iliyopita, mashabiki wa Corinthians walilitumia mawe basi lililokuwa limebeba wachezaji wa Corinthians, waliharibu magari ya wachezaji na kuchorachora kwa rangi kuta za ofisi za makao makuu ya klabu ya Corinthians kwa kuandika maneno amabayo siyo mazuri kwa beki huyo na mshambuliaji mkongwe, Ronaldo de Lima.

Zipo taarifa kutoka shirika moja la Habari la Estado kwamba klabu ya Los Angeles Galaxy inaweza ikamsajili Carlos kwa sababu mchezaji huyo alikuwa ni rafiki mkubwa wa David Beckham waliyekuwa wakicheza wote Real Madrid.

Pia, Beckham amekuwa nyota mkubwa wakati akiichezea Galaxy, hivyo anaweza kumshawishi Carlos kusaini kuchezea klabu hiyo.

Carlos alisema hivi sasa anamsubiri wakala wake, Fabiano Farah ili kuweza kufanya mazungumzo na kufahamu hatma yake katika klabu ya Corinthians.

Uongozi wa klabu hiyo ukizungumzia suala hilo umesema haujapata taarifa yoyote kama ipo klabu inataka kumsajili, lakini mkurugenzi wa timu hiyo alisema yeye hajapata taarifa kutoka klabu yoyote inayomtaka.

Alieleza kuwa Carlos alilalamika kwao kuhusu usalama wake na ana mpango wa kuihama klabu hiyo .

Kwa upande wa Ronaldo ambaye amekuwa mchezaji bora wa dunia, pia alikuwa maarufu kabla hajaanza mashindano ya Copa Libertadores alisema,"Nilikuwa nikifikiria kustaafu kucheza soka lakini kwa sababu ya hizi vurugu zilizotokea kwenye timu yetu siwezi kustaafu ili niwape wafanya vurugu nafasi ya kutamba."

Ronaldo ambaye ni mshambuliaji wa zamani wa timu ya taifa alikuwa amepanga kustaafu soka mwaka huu.

Corinthians imekuwa ikiandamwa na mashabiki wake tokea mwaka jana baada ya kushindwa kutwaa taji lolote, huku kombe la Copa Libertadores likiwa ndilo kombe kubwa ambalo hawajawahi kulitwaa.

 
Dalglish: Reina going nowhere






Updated Feb 11, 2011 11:01 AM ET
Kenny Dalglish has rejected reports linking Pepe Reina with a Liverpool exit, and says the keeper will be at Anfield for "a long, long time".
Sat., Feb. 12
Man United vs. Man City
Arsenal vs. Wolverhampton
Liverpool vs. Wigan Athletic
Blackburn vs. Newcastle
West Brom vs. West Ham
Birmingham vs. Stoke City
Blackpool vs. Aston Villa
Sunderland vs. Tottenham
Sun., Feb. 13
Bolton vs. Everton
Mon., Feb. 14
Fulham vs. Chelsea
BPL Scores | Table | Fixtures


Rumours intensified that Reina could leave this summer after hinting in an interview in his native Spain that he might have to consider his future if the Reds are not playing in the Champions League.
Manchester United and Arsenal have both been mentioned as possible candidates to sign the talented shot-stopper should he seek to leave Merseyside.
However, Dalglish is confident Reina will stay at Liverpool for the foreseeable future and that everyone at the club wants to return to the European football's top table.
"We have a fantastic goalkeeper and he will be here for a long, long time," said Dalglish.
"The Champions League is what everyone here wants to get to. For us it's only been a year where we've not had it and that's what we want to get back.
"It should be the same for every player, we should all be aiming for that."
 
Dalglish raves about red-hot Raul




2 comments »

Updated Feb 11, 2011 10:47 AM ET
Liverpool manager Kenny Dalglish insists midfielder Raul Meireles' impressive goalscoring form of late is entirely down to the player's talent.
Sat., Feb. 12
Man United vs. Man City
Arsenal vs. Wolverhampton
Liverpool vs. Wigan Athletic
Blackburn vs. Newcastle
West Brom vs. West Ham
Birmingham vs. Stoke City
Blackpool vs. Aston Villa
Sunderland vs. Tottenham
Sun., Feb. 13
Bolton vs. Everton
Mon., Feb. 14
Fulham vs. Chelsea
BPL Scores | Table | Fixtures


The Reds boss said he was no "tactical wizard" and the Portugal star's four goals in his last five matches were all a result of the 27-year-old's hard work.
Meireles had not found the target in his first 21 matches after joining from Porto in the summer for £11.5million but has suddenly burst into life in front of goal.
He has been deployed in an advanced midfield role, occasionally alongside captain Steven Gerrard and sometimes on his own, and has been a revelation in the last month.
"Raul has always had the ability he has shown recently," said Dalglish.
"Maybe he's settled down a little bit and is more comfortable and confident because he is playing well but there's been nothing drastic (tactically) for any of the players really.
"It is fantastic to see Raul doing so well. He has always been a talented footballer, he's always had what we are seeing now but it's been trying to get it out and it is coming out now and he's scoring goals."
Meireles has undoubtedly benefited from being given a role he is more accustomed to, having been played deeper and even wide on the right during Roy Hodgson's ill-fated six-month reign.
When Dalglish took over early last month many questioned whether a man who had not managed for more than a decade was equipped to deal with the demands of the modern game.
The 59-year-old Scot has always insisted football has not changed that much and their recent success as he has sought to return the pass-and-move philosophy prevalent during his time at the club as player and manager more than 20 years ago demonstrate as much.
However, having brought in coach Steve Clarke, Jose Mourinho's assistant at Chelsea, Dalglish has shown he is also capable of making significant tactical decisions.
In their last two matches of a four-game winning spell against Stoke and Chelsea he has fielded three centre-backs in 3-4-2-1 and 3-5-1-1 formations.
Former Reds striker Fernando Torres drew a blank on his Chelsea debut on Sunday and admitted Liverpool's formation had taken them by surprise.
Dalglish, though, played down the tactics involved.
"The system change was beneficial to us. It is about the club, about the team, and we are the most important people in our eyes," he added.

"I am not here to try to impress everyone by saying I'm a tactical wizard, I'm just here to get the best from our boys.
"It is part of our responsibility to work out how to do that and we won't do anything to confuse anyone."
Liverpool's best run of the campaign has lifted them to a season's-best sixth place in the Premier League, six points behind Chelsea in fourth.
But while Dalglish publicly played down expectations of sneaking into Champions League qualification is something, certainly privately, he has ambitions to achieve.
"It wasn't a realistic proposition last season so it is only this season we can worry about," he said. "We've won four games, so that's moving in the right direction and that's what we want to do.
"We've had four results, four shut-outs, but that doesn't earn us anything for the game against Wigan.
"We've got to build on what we've done, but that doesn't mean to say that because we've done it (improved their form) we're finished - we want to continue to do what we've been doing.
"It's much more enjoyable to be winning matches than losing them, so that's the thing that will be at the forefront of my mind.
"It's more enjoyable for everyone if we get a result."
Dalglish will make a late decision on captain Steven Gerrard, who missed England's midweek friendly win over Denmark with a groin problem.
However, 18-year-old midfielder Jonjo Shelvey has been ruled out with a knee tendon injury which will sideline him for 12 weeks.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom