Michezo magazetini leo...

Michezo magazetini leo...

Status
Not open for further replies.
Mgosi, Humud wafyekwa mshahara Simba
Wednesday, 22 December 2010 19:41

ndimbo.jpg
Ofisa habari wa klabu hiyo, Clifford Ndimbo

Clara Alphonce
UTOVU wa nidhamu ulioonyeshwa na wachezaji wawili wa Simba, Mussa Hassan ' Mgosi na Abdulhalim Humud umewasababishia kukatwa asilimia tano ya mshahara wao wa mwezi.

Ofisa habari wa klabu hiyo, Clifford Ndimbo alisema jana kuwa wachezaji hao wameonyesha utovu wa nidhamu kwa kutokuhudhuria mazoezi bila taarifa yoyote kwa uongozi au kocha wao, Patrick Phiri.
Alisema kuwa kuanzia sasa Simba imeamua kudhibiti utovu wa nidhamu kwa wachezaji wake ili kila mmoja aweze kutimiza wajibu wake kulingana na programu ya kocha.

Aliongeza kuwa hatua hiyo dhidi ya nyota hao wawili inalenga kuondoa dhana ya baadhi ya wachezaji kujiona nyota katika timu hiyo na kutambua kwamba kila mchezaji anapaswa kuwa mazoezini na anapokosa mazoezini lazima aadhibiwe kwa kukatwa mshahara.

Alisema wachezaji karibu wote wameshawasili katika mazoezi yanayofanyika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam wakati wa asubuhi na jioni kwenye viwanja vya Tanganyika Packers, Kawe.

Aliongeza kuwa wachezaji wawili, Patrick Ochan na Joseph Owino ndio hawajaripoti na uongozi unazo taarifa zao na wanatarajia kuwasili wiki hii ili kujiunga na wenzao katika programu ya mazoezi ya uwanjani.

Alisema timu hiyo itaingia kambini rasmi baada ya sikukuu ya Krismasi kisiwani Zanzibar ikijiwekwa tayari kwa michuano ya Kombe la Mapinduzi, pia mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Tanzania Bara na michuano ya kimataifa.

Kuhusu maandalizi ya mechi zao za kimataifa, Ndimbo alisema kuwa uongozi unasubiri programu kutoka benchi la ufundi ndipo waanze kuifanyia kazi.

Alisema lakini tayari kocha ameshaomba uongozi umwandalie mechi za kirafiki na wameshawasiliana na AFC Leopards ya Kenya na timu moja kutoka Brazil, ambazo watacheza nazo kabla ya michuano ya Kombe la Mapinduzi.
 
Nina mtihani michuano ya Afrika- Papic
Wednesday, 22 December 2010 19:35

Sosthenes Nyoni
KOCHA wa Yanga, Kostadin Papic amesema ana mtihani mkubwa mbele yake katika soka wala hana njia ya mkato anapojiandaa kwa michuano ya Afrika inayoikabili timu yake.

"Nimepangiwa timu ya Ethiopia, siifahamu vizuri, lakini kwa sababu inacheza michuano mikubwa ina maana ni timu nzuri, vinginevyo isingekuwepo, lakini endapo tutavuka, kwa upande wa Misri ukweli unabaki pale kwamba soka yao ipo juu, hivyo ili tuweze kuwashinda tunahitaji mipango ambayo inatekelezeka siyo maneno,"alisema Papic.

Hata hivyo, alieleza kuwa matumaini yake ni hafifu kwa timu yake kufanya vizuri katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika hasa dhidi ya timu ya Misri.

Akizungumza na Mwananchi jana, Papic alisema kuwa kutotekelezwa kwa mipango yake mingi ambayo amekuwa akiitoa kwa uongozi wa klabu hiyo ndiyo sababu yenye kumsababishia wasiwasi .

Aliongeza kuwa kukwama kwa programu zake kunakofanywa na uongozi wa klabu yake pia kumekuwa kunamwongezea wasiwasi kuhusu mustakabali wa ajira yake kwa siku za usoni.

"Unajua haya mambo wakati mwingine yananipa wasiwasi wa kuwepo katika nafasi hii kwa siku zijazo, maana kama mipango yako haitekelezwi nini maana yake sasa,"alieleza.

Alisema kuwa kama programu zake zitatekelezwa kama anavyofikiria, basi angependelea kikosi chake kicheze mechi za kirafiki dhidi ya timu za Kenya, Rwanda, Burundi na Sudan ili kuzoea hali tofauti ya hewa.

Yanga imepangwa dhidi ya Dedebit ya Ethiopia kufuatia ratiba iliyotolewa Jumatatu na Shirikisho la Soka Afrika(CAF) na endapo itashinda itacheza na Haras el Hodoud ya Misri.






 
Mbeya yatwaa ubingwa wa Umitashumta Wednesday, 22 December 2010 19:32

Salome Milinga
TIMU ya soka ya mkoa wa Mbeya imeibuka bingwa wa mashindano ya Umoja wa Michezo na Taaluma kwa Shule za Msingi Tanzania (Umishumta) yaliyofikia tamati juzi kwenye viwanja vya Shirika la Elimu Kibaha, Pwani baada ya kuilaza Morogoro mabao 4-1.


Katika mchezo huo mkali wa fainali, Mbeya ilipata mabao yake kupitia kwa Asheri Ngonyani, Stewart aliyefunga bao la kwanza dakika 44 wakati Steward Mgalla alikwamisha bao la pili dakika 63.

Aidha, Mbeya iliongeza jingine lililofungwa na Yona Mtulo dakika ya 65 na kufuatiwa na lile la John Mbukwa dakika ya 79.

Morogoro ambayo awali ilikuwa ikipewa nafasi kubwa ya kutwaa ubingwa huo kutokana na wachezaji wake kuwa na vipaji ilijipatia bao la kufutia machozi dakika ya 61 lililowekwa kimiani na Msaka Hassan.

Katika mchezo mwingine wa kutafuta mshindi wa tatu, Tanga ilitoa adhabu kali kwa kuilaza Iringa mabao 5-0.

Mashindano haya ambayo yalirejeshwa rasmi na serikali baada ya kuondolewa miaka 10 iliyopita yalishirikisha mikoa 11 na kuhusisha michezo ya soka, netiboli na riadha.

Mikoa iliyoshiirki ni, Dodoma, Kilimanjaro, Dar es Salaam, Tabora, Singida, Arusha, Iringa, Morogoro, Mbeya,Tanga na wenyeji Pwani.
 
TP Mazembe waikataa Simba Wednesday, 22 December 2010 19:34

Imani Makongoro
MABINGWA wa Afrika, TP Mazembe wanatarajia kutua nchini Januari 12 kupambana na timu iliyomaliza nafasi ya tano katika ligi ya Brazil, Atletico Paranaense katika mechi maalum ya uzinduzi wa klabu ya African Lyon.

Mratibu wa matukio wa timu ya African Lyon, Sherally Abdallah alisema jana kuwa mchezo huo unatarajia kufanyika kwenye Uwanja wa Taifa na maandalizi yake yanaendelea.

Abdallah alisema kuwa mpaka sasa hawajapanga tarehe ya mechi hiyo kutokana na ratiba ya timu ya taifa, Taifa Stars ambayo inatarajiwa kushiriki mashindano maalum ya Bonde la Mto Nile nchini Misri kuanzia Januari 5.

Hata hivyo, Abdallah alisema Mazembe tayari imecheza mechi moja dhidi ya Atletico na endapo itaongeza mechi moja, basi haitakuwa dhidi ya Simba ambayo inatarajia kukutana nao katika Ligi ya Mabingwa wa Afrika mwakani endapo wataishinda timu ya Comoro.

"Mabingwa wa Afrika wamekubali kucheza dhidi ya timu ya Atletico ya Brazil, hawajaamua kama watacheza na Yanga au African Lyon, tunawashawishi, naamini watakubali ," alisema.

Alisema kuwa timu hiyo ya Atletico ya Brazil inatarajiwa kuwasili nchini Januari 8 tayari kwa mechi hiyo na nyingine mbili, dhidi ya Yanga na wenyeji wao, African Lyon.

Alifafanua kuwa tarehe rasmi za michezo hiyo zitatangazwa baadaye baada ya kukamilika kwa mambo muhimu, lakini timu zote hizo zimekwishathibitisha kuja nchini kucheza zenyewe, kisha Yanga na African Lyon.

Alisema kuwa wakati wa uzinduzi rasmi, majina matatu yatapigiwa kura na wadau wao. Majina hayo ni Temeke FC, FC DSM na jina la sasa African Lyon. Jina litakaloshinda ndilo litaanza kutumika rasmi.

Timu hiyo kwa sasa ipo chini ya umiliki wa watu wawili, Rahim Kangezi ambaye pia ni meneja mkuu na Nabir Nassoro ambaye ni rais.


 
Mbeya yatwaa ubingwa wa Umitashumta Wednesday, 22 December 2010 19:32

Salome Milinga
TIMU ya soka ya mkoa wa Mbeya imeibuka bingwa wa mashindano ya Umoja wa Michezo na Taaluma kwa Shule za Msingi Tanzania (Umishumta) yaliyofikia tamati juzi kwenye viwanja vya Shirika la Elimu Kibaha, Pwani baada ya kuilaza Morogoro mabao 4-1.


Katika mchezo huo mkali wa fainali, Mbeya ilipata mabao yake kupitia kwa Asheri Ngonyani, Stewart aliyefunga bao la kwanza dakika 44 wakati Steward Mgalla alikwamisha bao la pili dakika 63.

Aidha, Mbeya iliongeza jingine lililofungwa na Yona Mtulo dakika ya 65 na kufuatiwa na lile la John Mbukwa dakika ya 79.

Morogoro ambayo awali ilikuwa ikipewa nafasi kubwa ya kutwaa ubingwa huo kutokana na wachezaji wake kuwa na vipaji ilijipatia bao la kufutia machozi dakika ya 61 lililowekwa kimiani na Msaka Hassan.

Katika mchezo mwingine wa kutafuta mshindi wa tatu, Tanga ilitoa adhabu kali kwa kuilaza Iringa mabao 5-0.

Mashindano haya ambayo yalirejeshwa rasmi na serikali baada ya kuondolewa miaka 10 iliyopita yalishirikisha mikoa 11 na kuhusisha michezo ya soka, netiboli na riadha.

Mikoa iliyoshiirki ni, Dodoma, Kilimanjaro, Dar es Salaam, Tabora, Singida, Arusha, Iringa, Morogoro, Mbeya,Tanga na wenyeji Pwani.

hii michezo si wali i ban? imerudi tena?
 
Mabao yaadimika Kombe la Mfalme Hispania
Wednesday, 22 December 2010 19:29

MADRID, Hispania
SARE zimetawala mechi za Kombe la Mfalme wa Hispania zilizochezwa juzi, ikiwamo ile baina ya Barcelona dhidi ya Athletic Bilbao.

Katika mchezo huo wa kwanza wa hatua ya 16 bora, pia Valencia na Villarreal zilimaliza mchezo kwa suluhu 0-0.

Beki wa Barcelona, Dani Alves alikuwa kivutio katika mchezo huo baada ya kumdhibiti mshambuliaji wa Athletic Bilbao, Iker Muniain.

Mechi tatu za michuano hiyo zilichezwa Jumanne, mbili zikimalizika kwa suluhu 0-0, isipokuwa ile baina ya Cordoba na Deportivo La Coruna, mchezo ambao ulimalizika kwa sare ya 1-1.

Katika mchezo baina ya Barca na Bilbao kwenye Uwanja wa Nou Camp , timu hizo zina rekodi safi kwenye michuano hiyo.

Barca imetwaa taji hilo mara 25 dhidi ya Bilbao ambayo imelitwaa mara 23 na ulikumbusha fainali ya mwaka 2009 ambako Barca ilishinda 4-1.

Kabla ya mchezo huo, Barca ilikuwa na wastani wa mabao manne katika kila mchezo ambao imekuwa ikicheza katika siku za karibuni.

Mabingwa hao wa Ligi Kuu ya Hispania, pia wameshinda mechi 10, lakini juzi walishindwa kupenya ukuta wa wapinzani wao licha ya kuwachezesha nyota wake, Xavi, Andres Iniesta na Pedro Rodriguez kaitka kikosi kilichoanza.

Barca iliwaingiza washambuliaji hatari, David Villa na Lionel Messi kipindi cha pili.

Vijana wa kocha Pep Guardiola walitawala mchezo huo, lakini Bojan Krkic na Iniesta walikosa nafasi za kupachika mabao baada ya ushujaa wa kipa wa Bilbao Gorka Iraizoz katika kipindi cha kwanza.

Beki Gerard Pique alipata nafasi nzuri karibu na mwisho wa mchezo kabla ya ule wa marudiano kwenye Uwanja wa San Mames baada ya Messi kumpigia pasi murua ambayo alishindwa kuitumia akiwa ndani ya lango la wapinzani wao.

Badala ya kutulia, beki huyo wa kimataifa wa Hispania aliupiga nje kwa mguu wake wa kushoto na kuwaacha Bilbao wakijipongeza kwa kazi nzuri.

Kwenye Uwanja wa Mestalla, wenyeji Valencia watajilaumu kwa kushinda kutumia nafasi walizopata kuimaliza Villarreal.

Kikosi hicho cha kocha Unai Emery waliwazidi kwa kila hali Villarreal, maarufu Yellow Submarine kwa sehemu kubwa ya mchezo huo, lakini Aritz Aduriz, Pablo Hernandez, Juan Manuel Mata, ambaye aligonga mwamba na Ricardo Costa walishindwa kufunga mabao.

Villarreal, ambao wana pointi tano mbele ya Valencia wakiwa katika nafasi ya nne ya Ligi Kuu (La Liga) walipata nafasi chache mno katika mchezo huo, ikiwamo ile iliyopotezwa na Nilmar, ambaye alizuiwa na kipa Vicente Guaita .

Katika mchezo mwingine wa juzi, Cordoba , mojawapo ya timu mbili ambazo hazichezi ligi kuu pamoja na Real Betis ilicheza kishujaa na kupata sare ya 1-1 dhidi ya Deportivo La Coruna katika mchezo ambao uliathiriwa na hali mbaya ya hewa.

Depor walipata bao la kuongoza dakika ya 17 kwa penalti baada ya Riki, kuangushwa na kipa wa Cordoba, Alberto Garcia, kumtungua mbaya wake.

Hata hivyo, Cordoba walisawazisha bao dakika ya 70 baada ya kipa wa Depor, Manu kufanya kosa la mwaka alipojaribu kupangua kwa mkono mpira wa Jonathan Sesma wa adhabu ndogo , akampa nafasi Pepe Diaz kuujaza wavuni.

Mechi zaidi za michuano hiyo zilitarajiwa kucheza jana usiku na zile za marudiano zitakuwa wiki ya kwanza ya Januari.
 
Wenger: Nitasajili wapya Januari ikiwa...
Wednesday, 22 December 2010 19:28

LONDON, Uingereza
KOCHA wa Arsenal, Arsene Wenger ameanza kuwakera mashabiki wa klabu hiyo wiki moja kabla ya kufunguliwa kwa dirisha dogo la usajili wa wachezaji barani Ulaya.

Kama kawaida yake, Wenger ameweka wazi kwamba halazimiki kutumia fedha kwa ajili ya usajili wa wachezaji wapya mwezi ujao.

Pamoja na kauli hiyo ya Wenger, lakini Arsenal inahusishwa na baadhi ya wachezaji kutoka klabu kadhaa Ulaya.

Alisema kuwa hawezi kubadili sera yake na kulazimika kutumia kiasi kikubwa cha fedha kwa usajili huo.

Badala yake, Wenger alieleza kuwa anaweza kuingia sokoni na kuongeza wachezaji wake, lakini msimamo wake siku zote ni kuwaendeleza vijana, akiwataja Jack Wilshere, Kieran Gibbs, Theo Walcott na wengineo.

Ubahili huo, umemfanya Wenger akosolewe na mashabiki wa klabu hiyo ya Kaskazini mwa London ambao wanaamini inao uwezo na fedha za kuimarisha kikosi na kukipa ushindi wa mataji mbalimbali ambayo yamekauka tangu msimu wa 2005.

"Siwezi kubadili mfumo wangu wa maisha kwa sasa, sijali watu wanasema nini, lakini nitaangalia nini kinaendelea msimu ukianza," alisema.

Alipoulizwa na kituo cha televisheni cha Al- Jazeera kwanini Arsenal haisajili wachezaji wenye majina makubwa , Wenger alijibu : "Ni kwa sababu tunaheshimu bajeti yetu. Unazinagalia klabu ambazo zinapoteza pauni 100 milioni au hata 150m, hazina kitu kipya, kwanini nasi tuingie katika mchezo huo . Tunalipa kile tunachokiweza.

"Ninashangazwa na watu pia wanashangaa kama mimi . Ninadhani kitu cha kushangaza ni watu kutoheshimu msimamo wangu huu.

"Kama nikikuambia tunaweza kushinda pointi mbili zaidi, lakini tukapoteza pauni 150m,utasema nini? Utajibu, tupate pointi mbili, sawa . Lakini, nikiuliza tena, tutapata wapi hizo pauni150? Sina shaka, jibu litakuwa jingine."

Alisema uzuri wa klabu ni kushinda, huku ikiheshimu matumizi yake na mizania ya fedha inakubalika, kila kitu kitakwenda vizuri.

"Tunacheza na wapinzani wetu ambao kwao matumizi ya fedha si tatizo . Badala ya sisi kutuhumiwa, watu waangalie kweingine, watapata jibu."

Hata hivyo, Wenger alieleza kuwa anaweza kuingia dirisha la usajili la Januari na kuongeza wachezaji wanaoweza kumpa taji msimu huu.

"Kama nitalazimika, nitasajili Januari. Lakini, hili ni tatizo. Watu hawataki niwaendeleze wachezaji wangu vijana. Wanadhani tutaendelea kwa kusajili nyota waliopikwa tayari."
 
Barafu kumkwamisha kocha Stars
Imeandikwa na Mwandishi Wetu; Tarehe: 22nd December 2010 @ 23:59 Imesomwa na watu: 123; Jumla ya maoni: 0


12_10_haatu3.jpg

Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya soka Tanzania, Taifa Stars, Jan Poulsen





KOCHA wa timu ya soka ya Taifa, Taifa Stars Jan Poulsen huenda akashindwa kurejea nchini kutokana na tatizo la barafu kuwapo eneo kubwa la nchi za Ulaya.

Poulsen ambaye ni raia wa Denmark alienda nyumbani kwa ajili ya mapumziko ya sikukuu za mwisho wa mwaka lakini alitakiwa akatishe mapumziko hayo na kurudi nchini kwa ajili ya kuiandaa timu kushiriki michuano maalumu ya mto Nile inayotarajiwa kuchukua wiki mbili mjini Cairo, Misri.

Michuano hiyo ni muhimu kwa Stars kwani ni sehemu ya maandalizi yake ya mechi za kuwania kufuzu fainali za Kombe la Mataifa Afrika.

Juzi, Katibu Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) Sunday Kayuni alisema Poulsen tayari ameshajulishwa suala la michuano hiyo na kwamba alitakiwa kukatisha mapumziko yake na kurejea nchini.

Lakini kurejea kwake sasa kuko shakani na hivyo itategemea hali ya hewa kwani eneo kubwa la Ulaya limetanda barafu na viwanja vingi vya ndege haviruhusu ndege kupaa kutokana na kuhofia usalama.

Poulsen ameondoka nchini siku chache baada ya kuipatia timu ya Taifa ya Tanzania Bara Kilimanjaro Stars ubingwa wa michuano ya Kombe la Chalenji baada ya kuifunga Ivory Coast bao 1-0 Desemba 12.

Alipotakiwa kulizungumzia suala hilo jana, Mkurugenzi wa Mashindano wa TFF Saad Kawemba alikataa na kudai kuwa Kayuni ndio yupo kwenye nafasi nzuri ya kulizungumzia lakini hata Kayuni pia aligoma kulitolea maelezo.

Kwa mujibu wa taarifa kutoka TFF, msafara wa Stars unatarajiwa kuondoka nchini Januari 2 na itaanza mechi ya kwanza dhidi ya wenyeji Misri Januari 5 saa moja jioni.

Mechi hiyo itatanguliwa na ile ya Kenya na Sudan saa kumi jioni. Stars itacheza mechi ya pili dhidi ya Sudan Januari 11 na kisha itacheza na Kenya Januari 14 kabla ya kumaliza na Uganda Januari 17.

Lengo la michuano hiyo inayoshirikisha nchi zilizo kwenye ukanda wa mto Nile ni kuhamasisha kutunza vyanzo vya maji kwa ajili ya kizazi kijacho.
 
England


David Bernstein wants an English manager to succeed Fabio Capello as he takes role as FA chairman

David Bernstein, the Football Association's new chairman elect, will take a leading role in the appointment of Fabio Capello's successor and has already indicated his preference for an Englishman to manage the national team.

bernsteinact_1790824b.jpg
Surprise choice: David Bernstein has been named FA chairman Photo: ACTION IMAGES


ndwaitin




By Jeremy Wilson 10:27PM GMT 22 Dec 2010 Jeremy's Twitter


In the aftermath of the World Cup, it was Club England chairman Sir Dave Richards who led negotiations with Capello about the Italian's future, but Bernstein has made it clear that he will now also be directly involved with the running of the England team.

Bernstein, the former Manchester City chairman, emerged as the choice of the FA's 11-man board to become the new chairman and, subject to the approval of the FA Council, he will formally begin his new job on Feb 1. After a truly dreadful year, the FA is facing numerous challenges, with Bernstein already giving thought to the need to replace Capello in 2012.

"I've agreed with the people who interviewed me that the chairman of the FA needs to be involved with major decisions concerning the England set-up," he said. "I will be involved with deciding his [Capello's] future. I would prefer to see the best manager possible managing the English team. If he were to be English that would probably be preferable. I think there is probably a national desire for that."

Internationally, the FA clearly also faces a huge task to repair relations with Uefa and Fifa following the failed World Cup bid. Acting FA chairman Roger Burden even refused to stand for the post in protest at the way the England bid had been treated by Fifa.

"The first thing to be done is to rebuild bridges," said Bernstein. "These relationships are very, very important. Talking to Fifa and Uefa and moving things forward with them is very important."
 
Roy pulls no punches on Cole's stumbling start at Anfield

Published 23:00 22/12/10 By David Maddock

.jpeg



Joe Cole needs to put his nightmare 12 months behind him, and concentrate on delivering a brighter new year.
That's the message from Liverpool manager Roy Hodgson, who believes that Cole has to stop worrying about what position he plays in, and start worrying about showing his true form.
Cole has endured a horrible time during 2010. His Chelsea career ended in disappointment because of injury, and he also suffered a poor World Cup as England stumbled to a disastrous early exit.
He wanted to put that right after his landmark summer move to Anfield, but again injury and suspension have affected his form, and his confidence has taken a subsequent battering.
q.gif
b
p
p-6cp0NSw2i2sSA.gif
p-e4m3Yko6bFYVc.gif
fp.gif


The player has grumbled about being used in less favoured roles, and many critics have suggested that he should be given a central position - which is the role he wanted when he chose to sign for Liverpool.
But Hodgson believes all that is a mere distraction, and Cole should instead concentrate on taking the chance the festive programme will offer to deliver his true level.
He said: "I think he has got to do it on the field of play. With all the best will in the world, people can be in support or not in support, some will say he's not doing it, and some will say he's unlucky because he's not playing in the right position.
"But I don't have any truck with that. Joe is a midfield player, and what's the right position for a midfield player? Gerrard has played all over midfield for as long as I can remember.
"Joe has to come to terms with the fact that he has come here after an unsuccessful period at Chelsea with high hopes of taking Liverpool by storm and unfortunately it's not happened. That's life.
"He should have great confidence in his ability as he is a very good footballer. As far as I am concerned, everything he has to say should be said on that patch of green grass.
"He should be convincing me and everyone watching that this is a player who can help Liverpool win things. And I think you couldn't say that has been the case so far."
Hodgson revealed that the talks to bring Cole to Anfield were well underway before he was appointed as the new boss in the summer, but he endorsed the signing, and persuaded the player to move north.
And even though the Liverpool boss won't indulge the England star by pretending he has done well at the club so far, the experienced manager insisted he retains great faith in the midfielder.
Now, he wants him to grab the chance that will be offered by the club's daunting programme of five games in 15 matches over Christmas the and New Year, and show the Kop just what an exciting player he can be.
"He'll get plenty of chances because we'll need everybody. I have not lost faith in him in any way. He is a good footballer. But you can't deny the start he wanted has not materialised," Hodgson added.
"I don't care how many things are written or said, you can't make black into white. But he is training well, it seems to me that his confidence is gradually returning and all Joe needs is a couple of good games or maybe a goal and that could turn things around for him.
"You'll have to ask him what isn't working. If he says, the only place he can play is behind the striker, he is limiting his chances of playing here. We also have Gerrard and Meireles who can play in that position, and we also have a situation where at the moment quite often we are playing with two strikers.
"I would be sad to hear him saying something like that, because he would be suggesting he can't do what he has done so often in the past for England and Chelsea, which is playing in a different position."
Many people have suggested that Cole wasn't Hodgson's signing, and that is why he has struggled to make an impression at Anfield.
But the new boss insisted that he played a significant part in bringing the midfielder to the club, and now he wants to help him deliver.
"I was involved in the discussion with him, but the initiative and the desire to take Joe did come from the managing director perhaps more so than myself because I wasn't in the position to say these are the players we should be targeting as I hadn't been offered the job at that point," Hodgson said.
"I played my part in persuading him it was a good move, but I made it clear I couldn't promise him a certain position. I made it very clear Steven Gerrard was staying, and the competition for the one spot, if it was the one spot he wanted, it was going to be very tough.
"He's not so much a player I can really take responsibility for. I'd have to share the responsibility for Joe, but I have every faith in his ability, and I'm sure he'll come good."
Cole could make a surprise return to the starting line up alongside Steven Gerrard in midfield at Blackpool on Boxing Day, following the skipper's recovery from a hamstring injury





 
Papic, Chuji wanasiri moyo Thursday, 23 December 2010 21:00

Vicky Kimaro na Doris Maliyaga

KOCHA wa Yanga, Kostadin Papic ameuachia uongozi wa klabu hiyo kuamua hati ya kiungo wake Athuman Idd 'Chuji' aliyeamua kujiondoa mazoezini juzi.

Baada ya kitendo hicho Papic alisusia kuendelea na mazoezi hayo akidai anadharauliwa na kiungo huyo aliyeamua kuondoka katikati ya mazoezi bila kumpa taarifa yoyote.

Akizungumzia tofauti zake na Athuman Idd 'Chuji' Papic alisema anafuata sheria kumuadhibu mchezaji huyo ambaye ameonyesha utomvu wa nidhamu wakati wa mazoezi yao kwenye uwanja wa taifa ikiwa ni pamoja na kumsimamisha kwa muda.

Kwenye mazoezi ya jana asubuhi Chuji hakuonekana na Papic alisema aliamua kuvunja mazoezi hayo ili wachezaji wote waguswe na tukio alilofanya Chuji ili wajirekebishe kwa kuwa hata kama alikuwa anaumwa alipaswa kumueleza badala ya kuchukua uamuzi wa kuvua kizibao cha mazoezi (bips) na kukaa pembeni.

"Wachezaji wote Yanga ni sawa hakuna aliye bora kuliko mwingine, kosa alilofanya Chuji akitokea mchezaji mwingine nitamuadhibu kwa kufuata sheria kama ambavyo namuadhibu Chuji, hakuna staa kwangu wote wanatakiwa wafuate sheria na kanuni zangu,nikimuacha kesho mwingine atafanya kosa kama hili,"alisema Papic

Juzi Papic alivunja mazoezi ya timu yake yaliyokuwa yanaendelea kwenye uwanja wa taifa baada ya Chuji kukatisha gafla kufanya mazoezi na kukaa pembeni, hata hivyo inadaiwa kuwa Chuji ni majeruhi aliumia kwenye mazoezi yao waliyofanya mwishoni mwa wiki.

Naye Chuji alisema amekuwa akikwaruzana mara kwa mara na Papic:"Mimi sielewi chochote, sijui kuna tatizo gani mulize mwalimu ndo ataweza kukujibu,"alisema Chuji

Katibu mkuu wa Yanga, Laurance Mwalusako alipoulizwa alisema "Kumekuwa na matatizo ya Chuji na mwalimu mara kwa mara, kama uongozi tumelisikia suala hilo na tunasubiri ripoti ya kocha ili tuweze kutoa maamuzi," alisema Mwalusako
 
Mgosi:Viongozi wamekurupuka
Thursday, 23 December 2010 21:07

mgosiii.jpg
Mshambuliaji wa Simba, Mussa Hassan Mgosi

Clara Alphonce
MSHAMBULIAJI wa Simba, Mussa Hassan Mgosi amewataka viongozi wake wasimtafutie sababu kwa kumkata mshahara kwani yeye hafanyi kazi na wao bali kocha Patrick Phiri na Meneja wao Innocent Njovu sio uongozi.

Juzi uongozi wa Simba ulitangaza kumkata asilimia tano ya mshahara wa wachezaji wake wawili Mussa Hassan Mgosi na Adbulharim Humud kwa kosa kufika mazoezini na bila kutoa taarifa kwa kocha wala uongozi wake.
Akizungumza na Mwananchi, Mgosi alisema kuwa viongozi wanatakiwa wamuweke wazi kama kunasheria mpya wameanzisha na wanataka ianzie kwake kwani wanachosema sio kitu sahihi na hivyo ni njama tu.

Alisema yeye hafanyi kazi na viongozi bali benchi la ufundi likiongozwa na kocha wao na hamekuwa akitoa taarifa kwa kocha kila anapokuwa na dharura ila kwa sasa tangu waanze mazoezi hajawahi kukosa hata siku moja.

''Sijawahi kukosa mazoezi hata siku moja ila kunasiku kama mbili hivi nimechelewa kufika mazoezini, lakini sio kukosa na niliongea na kocha kwa nini nimechelewa'' alisema Mgosi.

Mgosi aliongeza kuwa tangu waanze mazoezi hayo hajawahi kuona hata siku moja kiongozi yoyote ameenda katika mazoezi yao zaidi ya benchi la ufundi hivyo ameshangazwa na kauli hiyo ya kutaka kumchafua iliwatu wamuone kuwa ni mtovu wa nidhamu.

Kwa upande wake hana taarifa yoyote ya yeye kukatwa mshahara kutoka kwa viongozi wake na katika mkataba wake hakuna kipengele kinachoelezea kuwa atakatwa.

Pia Mgosi alizungumzia maandalizi ya ligi kuu mzunguko wa pili kwa upande wake alisema amejiandaa vizuri na anamshikuru Mungu kwa sasa amepona yale maunivu ya mguu yaliokuwa yanamsumbua.

Alisema kwa sasa atanachotaka ni kuisaidia klabu yake kutetea ubingwa na kuwaparaha mashabiki wa timu yake ambao wamekuwa wakisubiri raha hiyo na kutetea kiatu chake za dhahabu.

Hata hivyo alizungumzia kidogo mechi zao za kimataifa alisema kuwa wanajua kuwa wanamechi ngumu mbele yao lakini mawazo yao wamewekea katika mechi ya Morocco ambayo itawawezesha kucheza na TP Mazembe kama wataifunga na kudhidi kuonga mbele.


 
Uhuru wiki mbili kitandani
Thursday, 23 December 2010 20:59

Michael Momburi
HATIMAYE winga wa Simba, Uhuru Suleiman jana mchana alifanyiwa upasuaji wa goti kwenye hospitali maarufu ya Saifee iliyopo jijini Mumbai, India na ameamriwa kulala kitandani wiki mbili.

Mchezaji huyo aliondoka nchini Jumatatu sambamba na Makamu Mwenyekiti wa timu, Godfrey Nyange 'Kaburu' ambaye leo mchana atarejea Dar es Salaam bila Uhuru.

Akizungumza na Mwananchi kwa siku jana mchana akiwa hospitalini jijini humo baada ya kufanyiwa upasuaji, mchezaji huyo alisema kuwa madaktari wamemuambia atalala kitandani kwa wiki zisizopungua mbili.

"Nahisi maumivu, lakini siyo makali sana wameniambia nilikuwa na tatizo kwenye mfupa wa goti la kulia, nimeshatibiwa nimeachwa na muuguzi maalum ambaye atakuwa ananisaidia katika muda wote wa wiki mbili nitakaokuwa hapa,"alisema mchezaji huyo.

"Nitasikiliza maagizo yote lakini najua haiwezi kutumia muda mrefu nitapona, ninahudumiwa vizuri sana,"alisisitiza Uhuru ambaye huenda akarejea Uwanjani Mwezi Aprili mwakani.

"Kwa hii hali ninayoiyona hapa kurudi Uwanjani si chini ya miezi mitatu ijayo, anahitaji kutulia sana na kuzingatia matibabu," Kaburu aliiambia Mwananchi Hosptalini hapo ingawa alishindwa kutoa gharama halisi hadi kukamilika kwa matibabu hayo.
Uhuru aliumia goti la kulia baada ya kuanguka mwenyewe akikokota mpira katika mechi ya Ligi Kuu mzunguko wa kwanza kwenye Uwanja wa CCM Kirumba dhidi ya Toto Afrika, ikiwa ni siku chache kabla ya pambano lililokutanisha watani wa jadi.


 
Chamakh: I can be Arsenal's Didier Drogba

Published 23:00 22/12/10 By Neil McLeman

.jpeg



Marouane Chamakh wants to become a club icon like Wayne Rooney and Didier Drogba.
The Morocco striker has already scored ten goals for Arsenal since joining in the summer, including the club's quickest in Premier League history at Wolves.
But after only half a season in English football, the French-born forward insists he will get better.
And the 26-year-old has set his sights on becoming as important for the Gunners as Rooney at Manchester United and Drogba at Chelsea.
<SCRIPT language='JavaScript1.1' SRC="http://ad.uk.doubleclick.net/adj/N1881.150112.1965160997321/B3742008.46;abr=!ie;sz=300x250;click=http://tracking.adjug.com/AdJugTracking/Tracker.aspx?CLICK_SC/YXVybD0mYWNpZD0xMTk0OCZhdGlkPTU5MjM0JnBhc2lkPTExNjg4NSZwYz0xJmFjdD00JmJpZD0wJnNkPTI0K0RlYysyMDEwKzA2OjQzOjQ2JnNtbj1hZGp3czMycDE=&FinalURL=;ord=396984209?"> </SCRIPT> <NOSCRIPT> <A HREF="http://tracking.adjug.com/AdJugTracking/Tracker.aspx?CLICK_SC/YXVybD0mYWNpZD0xMTk0OCZhdGlkPTU5MjM0JnBhc2lkPTExNjg4NSZwYz0xJmFjdD00JmJpZD0wJnNkPTI0K0RlYysyMDEwKzA2OjQzOjQ2JnNtbj1hZGp3czMycDE=&FinalURL=http://ad.uk.doubleclick.net/jump/N1881.150112.1965160997321/B3742008.46;abr=!ie4;abr=!ie5;sz=300x250;click=http://tracking.adjug.com/AdJugTracking/Tracker.aspx?CLICK_SC/YXVybD0mYWNpZD0xMTk0OCZhdGlkPTU5MjM0JnBhc2lkPTExNjg4NSZwYz0xJmFjdD00JmJpZD0wJnNkPTI0K0RlYysyMDEwKzA2OjQzOjQ2JnNtbj1hZGp3czMycDE=&FinalURL=;ord=396984209?" Target="_blank"> <IMG SRC="http://ad.uk.doubleclick.net/ad/N1881.150112.1965160997321/B3742008.46;abr=!ie4;abr=!ie5;sz=300x250;click=http://tracking.adjug.com/AdJugTracking/Tracker.aspx?CLICK_SC/YXVybD0mYWNpZD0xMTk0OCZhdGlkPTU5MjM0JnBhc2lkPTExNjg4NSZwYz0xJmFjdD00JmJpZD0wJnNkPTI0K0RlYysyMDEwKzA2OjQzOjQ2JnNtbj1hZGp3czMycDE=&FinalURL=;ord=396984209?" BORDER=0 WIDTH=300 HEIGHT=250 ALT="Click Here"></A> </NOSCRIPT>
Tracker.aspx
Tracker.aspx
p-e4m3Yko6bFYVc.gif
fp.gif


"I know I have the ability and through hard work I can improve my game," said Chamakh.
"I think I haven't reached their level yet but I will get there one day. This will happen if I keep focused and if I carry on working hard.
"I don't feel inferior to them but they've worked really hard to get where they are."
Chamakh joined on a Bosman transfer in the summer after eight years at Bordeaux, where he helped win the title in 2009.
But he admitted he initially found it hard to follow in the footsteps of Francophile strikers like Thierry Henry, Nicolas Anelka and Emmanuel Adebayor in North London.
"At the start, I put myself under a bit of pressure because of that," he said. "Knowing that I had only played at only one club, I thought I would need a season to adapt. But I am ahead of schedule. I didn't think I would play so much but with suspensions and injuries, I have been able to take advantage. It has helped me progress. I love our style of play. You get to touch the ball a lot. We have the same philosophy as with Laurent Blanc (former Bordeaux, now France, coach). What I like is that we never change tactics because who we are playing. We play our own game. I am sure that in time, I am going to score a lot of goals."
Acclimatising to English life has been helped by finding a house near the Arsenal training ground, hiring two Moroccan chefs - and his friendship with Samir Nasri.
"We have got on really well together since the start of pre-season," Chamakh explained. "He has been like a brother to me. He took care of me, really helped me, took me out and invited me to his house to watch World Cup matches."
On the field, the forward admitted the club's Spanish captain had been a revelation.
"I love to play with Fabregas," Chamakh continued. "He is a fantastic kid.
I didn't really know him before I arrived here. In the few matches we have played together, I have found a player with fantastic talent, great vision and a very rare quality of passing. Yohann Gourcuff (at Bordeaux) was superb, but when I see that I play with Nasri, Fabregas, Diaby or the little Wilshere, an adorable kid, I can say that I am very lucky."
And after signing a four-year deal in the summer, Chamakh now wants to see out his contract.
"I am in the club of my life. I don't count on staying in football forever. I will go till the end of my contract. That leaves me with four good years. I played at my favourite club in France and I played now with the club I have loved since I was little. For some, it is Real Madrid or Barcelona. Me, it has always been Arsenal. You have to see that I leave the pitch worn out after every match. I am very proud to be a Gunner."

 
United on alert as Houllier hints at Young January sale

Published 23:30 23/12/10 By James Nursey

.jpeg



Aston Villa boss Gerard Houllier admits he may sell be forced Ashley Young for "crazy money" next month.
England ace Young,25, has rejected a new contract at Villa Park and has only 18 months left on his current deal.
Liverpool and Manchester United both like the star and Mirrorsport understands United have even phoned Villa about Young.
Boss Houllier revealed Villa are considering letting Young run down his contract.
p-e4m3Yko6bFYVc.gif
fp.gif


But Villa tried the same tactic unsuccessfully with Gareth Barry and James Milner, who were both eventually sold to Man City.
And Villa owner Randy Lerner is now running the club even more prudently to reduce it's £70million annual wage bill.
Houllier admitted: "In January the best clubs keep their best players but you never know if someone comes with crazy money.
"We hope to keep him and he knows that the club's will is to keep him.
"We could keep him until the end of his contract - with him we would finish in a better position.
"In the meantime I don't think he will leave in January."
But since rejecting a new deal in October, Young has ditched his long-term advisor and moved back to his Hertfordshire home.
Young injured medial knee ligaments against West Brom and is 50/50 for Sunday's visit by Spurs, who themselves tried to sign Young in the summer.
Houllier made Young skipper in the 2-1 victory over the Baggies and was impressed by his attitude.
The Frenchman, 63, added: "He was a good captain. He got an injury against West Brom but he stayed on.
"For me if a captain leaves he has to go straight to the hospital.
"He could have left but he stayed on - it was bravery and moral courage.
"Since I have been here, he is one of the players, if not the player, who has run more miles in every game and in training.
"He is a good trainer and also a good match-winner."
Liverpool are favourites to sign Young, who earns £65,000-a-week at Villa and has 11 England caps.
But Young is not cup-tied in the Champions League so United manager Sir Alex Ferguson could have him available for the knock-out stages.

 
Azam kujipima kwa Lyon
Thursday, 23 December 2010 20:57

Clara Alphonce
TIMU ya Azam leo inashuka dimbani kucheza mechi ya kirafiki na African lyon katika Uwanja wa Uhuru ikiwa ni moja ya maandalizi ya ligi kuu Tanzania bara mzunguko wa pili unaoanza kutimua vumbi katikati mwa mwezi ujao.

Kocha wa Azam, Hall Stewart alisema kuwa katika mechi hiyo atawachezesha wachezaji 22, kumi na moja kipindi cha kwanza na wengine kipindi cha pili ilikupima kikosi chake.

Alisema ameamua kufanya hivyo kwa ajili ya kuofia kuwakosa nyota wake watano katika michuano ya Mapinduzi Cup kama timu ya Taifa Stars inaenda Misri kwenye mashindano ya Mto Nile yanayoshirikisha nchi tano za ukanda wa ziwa Victoria.

Hata hivyo alisema kuwa katika mechi hiyo yeye hata kuwepo kwani ameondoka jana kwenda Uingereza kwa ajili ya kula sikukuu ya Krismas na hatakuwa huko kwa siku nne na kazi ya kuwaangalia wachezaji atamuachia kosa wake msaidizi Abibu Kondo ili taka kama wachezaji wake hao watano wa kikosi cha kwanza wakiondoka kusiwe na pengo lolote.

Alisema hatafurahi sana kama ligi itasongezwa mbele kidogo kwa ajili ya timu ya Taifa kwani hatapata wiki tatu za maandalizi ambayo yatamsaidia kuitengeneza timu zaidi kwani amewaandalia mambo makubwa timu hiyo.

Alisema baada ya mechi hiyo timu yake itakuwa na mapunziko ya siku mbili na kisha kuingia kambini kwa ajili ya mazoezi ya kujiandaa na michuano ya mapinduzi ambapo timu yake inashiriki kwa mara ya kwanza.
 
Phiri atoa siku tatu kwa nyota wake Thursday, 23 December 2010 20:58

Sosthenes Nyoni
KOCHA wa Simba, Patrick Phiri amewataka wachezaji wake Emmanuel Okwi, Joseph Owino na Hilary Echesa kuwa wamewasili hadi kufikia Jumatatu vinginevyo suala lao atalifikisha kwa uongozi wa timu hiyo kwa hatua zaidi.

Akizungumza na Mwananchi katika mazoezi ya kikosi chake yanayoendelea kwenye Viwanja vya Tanganyika Packers, Phiri alisema kuwa hakuna sababu za msingi zinazowafanya wachezaji hao washindwe kuungana na wenzao na kwamba kitendo hicho ni utoro wazi.

Alisema kuwa kwakuzingatia kwamba kikosi kinakwenda kushiriki mashindano magumu na yanayohitaji maandalizi ya uhakika kukosekana kwa wachezaji hao kunaathiri programu yake ya mazoezi.

"Sijui ni kwanini hawajaripoti hadi sasa, unajua uko mbele tunakabiliwa na mashindano muhimu na magumu hivyo kukosena kwao hadi sasa kunaathiri kwa kiasi kikubwa progamu zangu.

"Kimsingi hakuna sababu za msingi nimetoa endapo hadi Jumatatu hawatakuwa wamewasili basi itabidi itoe taarifa kwa uongozi ili kama kuna hatua nyingine basi ziweze kuchukuliwa,"alisema Phiri.

Wakati huo huo Phiri alimsifu mchezaji wake chipukizi Mbwana Samata kwa kusema kuwa mshambuliaji mwenye kipaji anayetakiwa kuongezewa vitu vichache ili aweze kuwa tishio zaidi.

"Nimempenda Samata kwanza umri wake umamruhusi bado mdogo kwa kweli na ana kipaji cha hali ya juu kwa sasa anahitaji kuongezewa vitu vichache ili aweze kutisha zaidi, ni dhairi anaweza kuwa na msaada mkubwa kwa timu katika siku za usoni,"alisema Phiri.
 
Terry: Blues squad not strong enough

Published 23:00 23/12/10 By Martin Lipton

.jpeg



John Terry last night admitted Chelsea's lack of depth is leaving their title hopes are on a knife-edge.
Blues skipper Terry was among the autumn absentees as the club's summer decision not to replace Michael Ballack, Joe Cole, Deco, Juliano Belletti and Ricardo Carvalho backfired on Carlo Ancelotti and his squad.
A shocking run of just one win in seven games has seen the Blues plummet from top of the title pile to fourth place ahead of Monday's showdown with Arsenal.
And while Frank Lampard, Didier Driogba and Michael Essien are now all back and ready to play at The Emirates, Terry conceded Ancelotti's Blues do not have the strength in depth they needed.
q.gif
b
p
p-6cp0NSw2i2sSA.gif
p-e4m3Yko6bFYVc.gif
fp.gif


Terry said: "Recent form isn't something you can pinpoint, but we know it hasn't been good enough and we'll improve.
"Teams go through bad spells throughout the season. Arsenal have dropped points at home, and we've done the same, games we should have won.
"We've missed some key players at key times and it is a case of keeping everyone fit now over the Christmas period where we have two games in three days.
"In the past we had a big squad and could rotate and put other players in, we don't have that now, we have quite a young squad and it's a time for everyone to stay together like we always will.
"Once we've turned that corner we can move on from there and wait for other teams to slip up which they will do."
Chelsea cannot afford their "bad moment" to continue and Ancelotti appeared to accept Terry's critique of the squad was valid.
The Blues boss said: "I think we had a problem because we had, at the same time, a lot of players injured. For this reason, we had a bad moment.
"When you are not in a good moment, it's very difficult to put in the young players because you don't want to put responsibility on their shoulders.
"But now it's different. The squad is good, the players are in good condition, players without injury, and the squad is enough in this moment to play this game well. At our best."
And Ancelotti believes Drogba's presence back in the starting side on Monday will be enough in itself to unhinge Arsenal.
The Ivory Coast hitman has scored a remarkable 13 goals in as many games against Arsenal since arriving from Marseilles in 2004 and Ancelotti added: "I think they are a little bit afraid of Drogba, because he's done very well against them.
"If Drogba plays at his best, we'll have more opportunity to win although this is not the reason that will decide the game.
"I don't know if we have a psychological hold over them or if the recent results gives us an advantage.
"Arsenal know very well our skills, our ability. We also know their ability, their skills. We want to try the same game that we played against them, and we hope to reach the same result.
"By the time we kick off we could be six points behind Manchester United. They are having fantastic results because they've not lost a game, they're continuously obtaining results.
"We don't want that gap to widen. So it's important to obtain an important result at Arsenal."



 
Msimu wa harakati nyingi Ligi Kuu England wawadia
Thursday, 23 December 2010 20:53

LONDON, Uingereza
MJADALA wa endapo England ijiunge na nchi nyingine za Ulaya kuwa na mapumziko wakati wa majira ya baridi unazidi kushika kasi.

Tayari, mjadala huo umechukua sura nyingine huku baadhi ya mataifa yakitaka fainali za Kombe la Dunia nchini Qatar mwaka 2022 yafanyike wakati wa majira hayo ya baridi.

Lakini, mashabiki wa soka wa England wanauangalia msimu huo wa majira ya baridi wa Krismasi na Mwaka Mpya kwa mtazamo tofauti, kwani unawawezesha kupumzika huku wakifuatilia mechi nyingi za ligi.

Msimu huo huwafanya wachezaji wengi wa Ligi Kuu England kuwa na mechi nyingi, ambazo pia hushuhudiwa na mashabiki wengi kuliko wakati mwingine wa msimu.

Kwa kipinid hicho, jumla ya mechi 40 za Ligi Kuu huchezwa kwa muda wa siku nane kati ya Desemba 26 na Januari 5, endapo hali ya hewa ikiruhusu.

Kocha wa Liverpool, Roy Hodgson, ambaye timu yake inatakiwa kucheza dhidi ya Blackpool, Wolverhampton, Bolton na Blackburn kabla ya mechi ya Kombe la FA, raundi ya tatu dhidi ya Man United, Januari 9, alieleza kuunga mkono mfumo wa sasa wa kucheza mechi nyingi za majira ya mapumziko.

"Unaweza kuzungumzia mapumziko ya majira ya baridi , lakini tuna mechi tano kwa muda wa siku 15 ambazo kwa kawaida zinaweza kubadili matokeo ya jumla ya Ligi Kuu," alisema Hodgson, ambaye amefanya kazi katika sehemu mbalimbali barani Ulaya.

"Ungeweza kujiuliza kwanini tunacheza mechi tano ndani ya siku 15 kama ni lazima katika soka, mechi ambazo zinaweza kuchezwa kwa mwaka mzima," alisema katika mkutano wake na waandishi wa habari.

Wiki iliyopita barafu iliathiri kwa kiasi kikubwa mechi karibu zote za Ligi Kuu na baridi imeendelea kusumbua katika baadhi ya miji kiasi cha kutishia hata mechi za Krismasi.

Mchezo waBlackpool dhidi ya Liverpool unaweza kuwa hatarini endapo barafu itaendelea kukumba Uwanja wa Bloomfield Road ambao hauna mfumo wa kupasha moto uwanja.

Hodgson amekuwa na matumaini ya kuona matokeo ya majira haya ya baridi yanaisaidia timu yake kuzidi kupiga hatua katika msimamo wa ligi, ikiwa katika nafasi ya tisa na amefurahishwa na habari za kurejea kwa nahodha wake, Steven Gerrard baada ya kuwa nje kwa mwezi mzima. Gerrard anatarajiwa kucheza Jumapili dhidi ya Blackpool.

"Ni habari njema kwetu, atakuwa msaada mkubwa ," alisema.

Vipigo vitatu

Arsenal inaweza kusaidiwa na kurejea kwa baadhi ya wachezaji wake ambao imewakosa kwa muda mrefu na kuirejeshea matumaini ya kuitia presha Man United kileleni.

Arsenal, itaanza kampeni yake hiyo Jumatatu kwenye Uwanja wa Emirates dhidi ya Chelsea, lakini isingependa kupoteza tena mchezo mwingine dhidi ya wapinzani wake wakubwa baada ya kipigo cha 1-0 kutoka kwa United katika mchezo uliopita, ikiwa tena haina rekodi nzuri ya kutoshindwa nyumbani baada ya kupata vipigo vitatu msimu huu.

Kocha Arsene Wenger alisema juzi kwamba wengi wa wachezaji wake muhimu watakuwa fiti kwa michezo hiyo inayokuja.

Wenger, ambaye alilazimika kumchezesha kipa wa miaka 20, Wojciech Szczesny dhid ya Man United, alikiambia kituo cha televisheni cha klabu hiyo kwamba wengi wa majeruhi wake, Robin van Persie, Cesc Fabregas, Abou Diaby na kipa Lukasz Fabianski, watakuwa fiti kuikabili Chelsea.

Beki wake tegemeo, Thomas Vermaelen, ambaye hajacheza tangu Agosti atakuwa nje kwa mwezi mwingine zaidi.

"Walikuwa wote fiti kuikabili Stoke City na tumekuwa na wiki moja zaidi ya kujiandaa na hiyo imewasaidia kuzidi kuwa fiti," alieleza Wenger . "Ninajua hilo limetusaidia."

Chelsea wana nafasi ya kuweka kando matokeo mabaya kwani baada ya kuikabili Arsenal, watakutana na Bolton nyumbani, Aston Villa, pia nyumbani na Wolverhampton Wanderers, ugenini kwenye Uwanja wa Molineux.

Manchester United, ambayo ina pointi 34 , inaingia msimu huu wa harakati nyingi ikiongoza ligi, haijapoteza mechi 16 lakini haina matokeo ya kuridhisha kwani imeshinda mechi tisa na sare saba . Watakutana Jumapili na Sunderland.

United imeizidi Arsenal na Manchester City kwa pointi mbili, huku Chelsea ikifuata ikiwa na pointi 31.
 
Kean happy to ship Samba - but no offers so far

Published 23:00 23/12/10 By Alan Nixon

.jpeg



Blackburn Rovers boss Steve Kean will sell skipper Chris Samba if he wants to go - but he revealed there is NO interest in the centre half yet.
Samba has been angling for a move in recent months but has used Sam Allardyce's sacking as an excuse to go public in the hope of finding a buyer.
Kean said: "His agent told me there have been rumblings for about a year. I wasn't aware of that, I thought he would be OK.
"I know from inside the club that we have not had one phone call for Chris.

"I will talk to him and tell him the way we going to move forward. If that does not change things we will respect his decision - and if we get the right offer we will consider it."
Rovers would want around £10 million for Samba, but his in-and-out form has already put off several suitors in the Premier League and abroad.






 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom