Michezo magazetini leo...

Michezo magazetini leo...

Status
Not open for further replies.

Yanga yasajili wawili kwa Sh mil. 24


Imeandikwa na Betram Lengama; Tarehe: 16th December 2010 @ 23:00

KLABU ya Yanga ya Dar es Salaam imesema imetumia Sh milioni 24 kusajili wachezaji wawili Mzambia Davies Mwape na Juma Seif wa JKT Ruvu katika dirisha dogo la usajili mwezi uliopita.

Katibu Mkuu wa Yanga, Lawrance Mwalusako alisema jana kuwa wachezaji hao wote jumla ya gharama zao za usajili ni Sh milioni 24 na wala si zaidi ya hapo kama ambavyo inadaiwa na baadhi ya watu.

Pamoja na kueleza kiasi hicho cha fedha, lakini Mwalusako hakuwa tayari kusema mchanganuo wa kila mchezaji. Mwape amesajiliwa Yanga akitokea Konkola Blades ya Zambia, wakati Seif anatokea JKT Ruvu ya Tanzania.

Katika hatua nyingine Mwalusako alisema uongozi wa Yanga haujafuja Sh milioni 100 za usajili walizopewa na mfadhili wao Yusuph Manji na kuwa mambo hayo yatawekwa wazi kwenye kikao cha Kamati ya Utendaji.

Akizungumza jana Mwalusako alisema tuhuma hizo kwamba wametumia vibaya fedha za usajili hazina ukweli wowote.

"Hakuna ukweli wowote juu ya tuhuma hizo dhidi ya uongozi wetu fedha tulizopatiwa zilitumika kwa utaratibu mzuri na matumizi yake tutayaweka wazi kwenye kikao kijacho cha Kamati ya Utendaji ambacho ndicho kikao chenye mamlaka ya kuhoji uongozi juu ya matumizi hayo na mengineyo katika klabu," alisema Mwalusako.

Mwishoni mwa Oktoba, Manji aliandika barua kwa uongozi wa Yanga kutaka ufafanuzi wa namna zilivyotumika Sh bilioni moja walizozipata kwa kipindi cha miezi mitatu tangu uongozi huo uingie madarakani.

Hata hivyo Mwalusako hakubainisha ni lini kikao hicho cha Kamati ya Utendaji kitafanyika wala hakufafanua zaidi kuhusiana na namna fedha hizo zilivyotumika.

Aidha Katibu Mkuu huyo wa Yanga alithibitisha kushindwa kwa klabu hiyo kupata kibali cha uhamisho wa kimataifa (ITC) cha mchezaji Kenneth Asamoah raia wa Ghana hivyo hatoweza kuitumikia klabu hiyo kwa kipindi hiki.

"Tumeshindwa kupata kibali cha Asamoah, lakini endapo tutafuzu kuingia kwenye raundi ya pili ya michuano ya kimataifa tutafanya jitihada za kukipata kibali hicho ili aweze kutusaidia kwenye michuano hiyo,"alisema Mwalusako.

Pia Mwalusako alisema kiungo wa klabu hiyo Abdi Kassim ‘Babi' amewataarifu amefuzu majaribio aliyokwenda kufanya katika klabu ya Vietnam Dong Long Tam An FC, ingawa bado hajapata taarifa rasmi kutoka katika klabu hiyo.

"Babi ametueleza amefuzu majaribio yake katika klabu hiyo ya Vietnam, lakini sisi kama klabu bado hatujapata taarifa rasmi kutoka katika klabu hiyo kututaarifu juu ya hilo ili tuweze kuanza majadiliano ya gharama zetu za kuwaachia mchezaji wetu huyo,"alisema.

Yanga walishabainisha kabla ya mchezaji huyo kwenda kwenye majaribio hayo kuwa watamwachia kwa gharama ya Sh milioni 100, hata hivyo jana Mwalusako alibainisha kuwa endapo klabu hiyo inamhitaji wako tayari kuzungumza nao, ili kujua uwezo wao endapo watamudu dau hilo ama la ili walipunguze.
 
Habari za Michezo na Burudani

Buriani Dk. Remmy Ongala
Imeandikwa na Evance Ng'ingo; Tarehe: 16th December 2010 @ 22:58 Imesomwa na watu: 127; Jumla ya maoni: 0

12_10_hhrhfp.jpg

Mchezaji wa timu ya Azam FC, Kally Ongala (kulia) akifunua jeneza lililokuwa na mwili wa baba yake, Ongala Mungamba Ramazani Mtoro ‘Dk. Remmy', wakati wa utoaji wa heshima za mwisho jana kwenye Viwanja vya Biafra Dar es Salaam na baadaye maziko yalifanyika katika makaburi ya Sinza. Picha zaidi. Uk.31. (Picha na Robert Okanda).





MAELFU ya wapenzi wa muziki wa dansi na Injili jana walijitokeza kuuaga na kuuzika mwili wa aliyekuwa mwanamuziki mahiri Ramadhani Mungamba Mtoro ‘Dk. Remmy'.

Mwili wake uliagwa viwanja vya Biafra Kinondoni, Dar es Salaam, ambapo Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo, Dk. Emanuel Nchimbi, Mbunge wa Ubungo John Mnyika, Mbunge wa Kinondoni Iddi Azan pamoja na wanamuziki wa dansi, injili, taarabu na wadau wengine wa muziki pia walikuwepo.

Akitoa salamu za serikali, Waziri Nchimbi alisema mchango wa Dk. Remmy hautosahaulika kutokana na aina ya ujumbe aliokuwa akiimba na kuwa ulienda na wakati na masuala mbalimbali yaliyokuwa yakijitokeza.

Alisema atakumbukwa kwa mchango wake katika masuala mbalimbali muhimu kama vile kuhamasisha vita dhidi ya umasikini, magonjwa na kuzungumzia masuala ya kijamii.

Kauli hiyo pia ilizungumzwa na mwimbaji wa Injili, ambaye amepata kuimba na Dk. Remmy kwenye muziki wa dansi Cosmas Chidumule, ambaye pia aliwataka wanamuziki kuiga mfano wa Dk. Remmy kutunga nyimbo zenye ujumbe.

Alisema Dk. Remmy hakuwa na majivuno kama wasanii wengine wa sasa ambao husahau majukumu yao katika jamii na kuanza kuimba nyimbo zisizofaa.

" Sio wanamuziki wa nyimbo za kisasa au za dansi tu, ila hata wanamuziki wa Injili nao wanatakiwa kujifunza kitu kutoka kwa Remmy, hakuwa na majivuno hakuwa na muda wa kupoteza kazini aliheshimu wapenzi wa muziki wake," alisema Chidumule.

Naye Askofu wa Kanisa la Pentekoste, David Mwasoko alimmwagia sifa marehemu kuwa alikuwa mwanamuziki mwenye wito na kipaji cha ajabu katika muziki aliyekitumia kipaji chake kumtukuza Mwenyezi Mungu.

Alisema Remmy aliamua kukata rasta zake ili kutumia muda wake kumtukuza Mungu kitendo ambacho ni baraka kubwa kwa msanii huyo.

Wanamuziki wa Injili walikuwapo katika viwanja hivyo, waliimba nyimbo kadhaa za dini, huku wengine wakiimba nyimbo za zamani za Remmy za kidini na za kiulimwengu.

Mwili wa marehemu uliagwa na wapenzi wengi wa muziki ambapo kulikuwa na misururu mirefu kutoa heshima hiyo na kisha wengi walijitokeza kwenye maziko alasiri katika makaburi ya Sinza, Dar es Salaam.


12_10_hhrhfp.jpg

Mchezaji wa timu ya Azam FC, Kally Ongala (kulia) akifunua jeneza lililokuwa na mwili wa baba yake, Ongala Mungamba Ramazani Mtoro ‘Dk. Remmy', wakati wa utoaji wa heshima za mwisho jana kwenye Viwanja vya Biafra Dar es Salaam na baadaye maziko yalifanyika katika makaburi ya Sinza. Picha zaidi. Uk.31. (Picha na Robert Okanda).




 
BSS winner to be known on Friday night






By DAILY NEWS Reporter, 16th December 2010 @ 11:42

ALL roads will lead to Mlimani City tonight, where the grand finale of the Bongo Star Search (BSS), the pioneering singing reality television programme in Tanzania will take place.

Already, the latest episode of BSS is getting tougher and tougher with the contestants having to really up their sleeves as the numbers narrow down to the final five that will battle it out as the ultimate winner will be awarded 30m /- cash.

The second and third winners will get 10m/- and 5m/- respectively from the event main sponsors, the Tanzania Breweries Limited (TBL) through their Kilimanjaro beer brand.

The finalists are Bella Kombo (BSS 02), Joseph Payne (BSS07), Mariam Mohammed (BSS 17), James Martin Kipange (BSS 14) and Waziri Salum (BSS 11).

The grand finale will be coloured by top local artists including Diamond, Mwasiti, Joh Makini, Marlaw, Kibonde, TMK Wanaume, Mhe Temba, Chege and the Tanzania House of Talents (THT). Last edition's winner was Mwanza based Pascal Kasiani.
 
Twanga Pepeta to perform at Christmas Eve concert

By DAILY NEWS Reporter, 15th December 2010 @ 11:00,

THE African Stars Band 'Twanga Pepeta' will perform at a special show dubbed ‘Konyagi Christmas' on December 24 at the Dar West Park, Tabata.

The concert which is organised by Bob Entertainment and sponsored by Konyagi Brand will be used to welcome Christmas Day.

The coordinator of the event, Joseph Kapinga, said that the event had been organised in a way that everybody would have to enjoy the entertainment from a band popularly known as Wazee wa Kisigino.

"We have organized a number of prizes to give fans who will attend the show including free drinks," Kapinga said.

This will be the special chance for Dar es Salaam residents especially those who live at Tabata, Segerea, Ukonga, and Kisukuru to get a special music treat from the topmost band considering that the group last performed in Tabata seven months ago during Overmeer Miss Tabata beauty contest which was also sponsored by East Africa Radio and Television (Channel 5).

On her part, the Director of African Stars Entertainment Asha Baraka, said the band would also introduce some of the new songs which will be in their next album. Asha said that the band will also feature old and new songs including those which are in the current album known as Mwana Dar es Salaam.

Songs which are in the new album are Mwana Dar es Salaam, Shida ni Darasa, Rafiki Adui, Mwisho wa Ubaya ni Aibu, Nazi Haivunji Jiwe and Sitaki Tena. The concert is also sponsored by Freditto Entertainment and Keen Arts
 
All ladies tennis show to spearhead tennis development

By DAILY NEWS Reporter, 16th December 2010 @ 11:00


SPORTS women and girls in general have been invited to register for the ‘All Ladies Tennis Show' programme slated to kick off Monday at the Kijitonyama Tennis Club, Dar es Salaam.

The three-month physical fitness initiative coined to create passion around the tennis game at household level under the theme ‘Tennis for Life' is expected to create the numbers and much enthusiasm around the tennis sporting fraternity.

And, the fact that the tennis game can be played even at elderly stage makes the initiative more encompassing considering that all age groups will be able to get a hands-on- experience on the racquets.

Paul Kibu, the Kijitonyama Tennis Club Manager and Events Coordinator told the ‘Daily News' in Dar es Salaam on Thursday that the programme was open to all women irrespective of age and social status.

Kibu noted that the club acknowledged the huge contribution that women have made in the development of the game of tennis, and this particular initiative was developed to lure more of the group's involvement.

He said: "We are happy to introduce this initiative that targets ladies in general. The idea is to promote tennis around all household as we seek to realise the goal of taking tennis to every Tanzanian home.

Kijitonyama Tennis Club is dedicated towards ensuring everybody irrespective of gender and age, gets the feel of the racquet." The club Manager was optimistic that come Monday, more ladies will have registered.

"We have six ladies training physical fitness and tennis at the club. We are however, optimistic that more will register for this initiative. And the girls' community will have something new to emulate from their loving parents."

Kijitonyama Tennis Club was refurbished early this year to International Tennis Federation (ITF) accepted standards, thanks to cellular phone service provider Airtel Tanzania (formerly Zain), and has since August this year initiated various projects aimed at increasing the numbers around the sport of tennis.

The club is currently the only tennis facility open to the public and was recently earmarked to host Tanzania's 2012 Davis Cup team, as it gears to become the hub of tennis development in the East African region.

The club manager said: "Registration is already underway and forms are available at the club. We invite all women to grab this opportunity, and in the process sign in their important role in tennis development in the country.
 
Dr Remy Ongala gets a king's farewell

By IMAN MANI, 16th December 2010 @ 11:34, Total Comments: 0, Hits: 218

IT was a turnout fit for a king that Ramadhani Mtoro Ongala wa-Mungamba, better-known as Dr Remy Ongala got at the Biafra grounds in Kinondoni, Dar es Salaam on Thursday.

The heat from the burning sun did not manage to stop the thousands of people, from all walks of life coming to pay their last respects from 10 in the morning until the afternoon before his burial in Sinza.

The important thing was to be there for a hero had passed away. It shall be written that at his funeral, the late Dr Remy, at the age of 63, brought together all shades and creeds of people.

The actual exercise of last respects, which started at five past one in the afternoon, went on until two twenty-five in the afternoon's heat. This was after the Minister for Information, Youth, Culture and Sports, Emmanuel Nchimbi, said a word on the enormous work the late Dr Remy had done to lift-up local music, not only here but on the international stage.

He also praised him for playing a style of music that was identified here in Tanzania, despite him having been born in the Democratic Republic of Congo (DRC). "The government recognises the work Dr Remy Ongala did and the way he kept his music unique.

Other local musicians should learn something from him and work towards maintaining what he started. We the government will have to pay a visit to his family to express our condolences for their lost.

It is also a big loss to the nation," Minister Nchimbi added. Anyone passing-by the Biafra grounds yesterday could easily have wondered who was it that had caused so many people to be there under such a burning sun's heat.

They would have heard the burst of Dr Remy's recorded music, which came out of the speakers between announcements and might have thought he was performing live on stage right then.

For people like the local Evangelist and musician, Cosmas Chidumule, who played together with the late Dr Remy for many years, the entire occasion was more of a reality than might be thought.

After everyone present had paid their last respects and the black casket bearing the body of the local legend was taken to Sinza for a final church service and burial, he told the ‘Daily News', "Dr Remy Ongala had come back again at the grounds to put on a show then afterwards continued with his journey."

With the passing-on of the maestro, Chidumule added local music could lose its way, for it has already gone off track. Dr Remy was keeping it on track, he maintains.

This is why it's necessary for all stakeholders, including the government and the musicians themselves, who can feel that something is missing to come back to the track of the real music, real composition, he said.

Together something can be done to get back on track, he concludes. If there was an estimated five thousand people at the Biafra Grounds yesterday, then there must have been at least one thousand more in Sinza.

There were people and vehicles along a section of Shekilango Road, inside, outside and around the family home that interfered greatly with the flow of traffic.

Despite the clogging of the street with people and vehicles, no one seemed disturbed. The music coming from his home did not stop after the burial at five twenty five in the evening either.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom