Michezo magazetini leo...

Michezo magazetini leo...

Status
Not open for further replies.
Cesc needs to shed his fear factor - insists Wenger

Published 23:00 26/12/10 By John Cross

CP44842150.png



Cesc Fabregas must overcome a huge mental block - and help stop Arsenal's Chelsea fear factor.
Fabregas is set to return to Arsenal's starting line-up for tonight's title crunch even though he is still nervous about his long-running hamstring problem.
But Arsenal boss Arsene Wenger is equally concerned about his club overcoming their Chelsea hoodoo after losing their last five games to their London rivals.
And no-one is a bigger danger than Didier Drogba who has scored 13 goals in his last 13 games for Chelsea against Arsenal and has never lost to the Gunners.

It is little wonder that Wenger admits that beating Chelsea will be the key to instilling some much-needed belief in his Arsenal players, starting with his captain's own worries about his fitness.
Wenger said: "Cesc had a little bit of a mental problem. It is a restriction when he comes on because his hamstring is in his head. So we have to move the hamstring out of his head.
"It is hard to overcome if you have a recurrence of injuries. It plays a part until you get rid of it completely. He played 30 minutes at Manchester United, that helped him but during that 30 minutes he was not himself completely.
"But now it looks to have gone. That comes with practising every day. But now, physically, I think he is ready.
"Cesc is the leader of our team. But we've always been like that here - we focus more on the team performance rather than one's shoulders because that would not be right."
But now comes the test as to whether Arsenal are ready to finally overcome Chelsea, having already lost at Stamford Bridge this season and their defeat at Manchester United has only raised doubts about their title credentials.
Arsenal have a poor record against their title rivals and Fabregas even claimed they were "scared" of losing the big games.
Wenger says Chelsea must be seen as a challenge rather than an obstacle in their push for the Premier League but admits that Arsenal's recent defeat at Old Trafford was partly down to the weight of expectation on the shoulders of his young pretenders.
Wenger said: "We need a big win, yes. Of course. Chelsea can be an opportunity. To be in a race for the championship we know that to beat Chelsea at home, Man United at home and Man City at home will be vital.
"It is certainly something that will speed up the maturing of the team. But I've seen the Lampards at 18 and 20 and Rio Ferdinand at 20 at West Ham. They went down to the second league.
"So do not forget that these players at 20 they played in the Champions League, they went to the semi-final of the Champions League, the final of the Champions League for some of them, so they have the mental strength.
"But we had an opportunity to win the championship in recent years and OK, we didn't win it. But we are in a strong position now, why should we worry whether we can do it or not?
"It's down to the fact that the team wants to do so well, they are so keen to prove everybody wrong that it creates a little bit of a handbrake feeling in the team. But we will naturally get rid of that slowly.
"Look back - when you were 18 or 20 you were not completely the same man today. It is a process, how solid you are mentally at a certain age. I believe that my players are quite solid mentally.
"But they have not won yet and that is a mental hurdle everyone in life has to get over. One day you want to win and you show that you can win and for that you need to be tough and that makes you even stronger. But you need to believe."
Wenger is also refusing to get hung up on Drogba who has become Arsenal's nemesis as if scoring 13 in his last 13 wasn't enough, he has also scored ten goals in his last seven games against the Gunners.
But for once, Chelsea go into the Arsenal game facing problems of their own having dropped down to fourth before Christmas, being out of the top three over the festive period for the first time since 2001.
Wenger added: "We have no mental problem with Drogba. We just have to stop him from scoring! Life is there for changes, life is there for movement.
"Let's not focus too much on any weakness of Chelsea because that would not be right. They've experienced players, they always deliver good games against us so I don't expect them to come to the Emirates and lie down.
"They knows as well it's an important game for us, it's a very important game for both. We only have one chance to win it and we must deliver a top class performance."

 
We were naive to try to attack United - says Black Cats boss

Published 23:00 26/12/10 By David McDonnell

.jpeg



Steve Bruce admitted he was naive in playing such an attacking formation against his old club Manchester United.
Bruce has now failed to beat former boss Sir Alex Ferguson in 17 attempts and said his side's fate was all but sealed as soon as he handed in his team-sheet.
"It was a bit naive," said Bruce. "We played with two up front and two out-and-out attacking players out wide. But to be fair we didn't have much of a choice, with the players we had out.
"We had six or seven players out and, with the injury problems we've got, we couldn't do much about it.

"We rode our luck a little bit, particularly when they hit the post and the bar. But when they didn't get a second goal, you never know. But it would have been unjust as they were by far the better side.
"Sometimes you just have to hold your hands up. We were too open in the first-half an made it easier for them. It's hard enough to come here with a full-strength side, let alone a patched-up one."
After being mauled 5-1 at Newcastle in the north-east derby, Sunderland showed impressive resolve to go on a run of four wins, three draws and just one defeat.
And after losing to United, Bruce challenged his players to get their season back on track. "We have two games now against Blackpool and Blackburn, matches that could potentially define our season," said Bruce.
"Let's hope we can produce a couple of performances in those games."

 
Kino, Ilala kusaka mabondia wa taifa


na Samia Mussa


amka2.gif
MIKOA ya kimichezo ya ngumi Kinondoni na Ilala iko katika maandalizi ya kufanya mashindano ya kutafuta timu itakayowakilisha katika mashindano ya taifa yatakayofanyika mwakani jijini Dar es Salaam. Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar es Salaam jana, Katibu Mkuu wa Shirikisho la Ngumi za Ridhaa Tanzania (BFT), Makore Mashaga, alisema kuwa mikoa yote inayotakiwa kufanya mashindano hayo ni vema ikathibitisha mapema ili BFT iwe kupanga ratiba mapema.
Mashaga alisema kuwa ni mikoa michache sana ambayo imethibitisha kutokana na kutokuwa na mwamko, pia aliisifu ile ambayo imejitokeza mapema na kufanya mashindano kama Temeke.
Alisema, hadi kufikia Desemba 30 mikoa yote iwe imeshafanya mashindano ya kutafuta timu wawakilishi na kuwasilisha majina ya wachezaji wao waliopatikana siku hiyohiyo BFT.
 
Ligi TFF Mkuranga yatinga fainali


na Method Millanzi, Mkuranga


amka2.gif
LIGI ya Shirikisho la soka Tanzania (TFF), ambayo ilianza Desemba 10 kwa kushirikisha klabu 10 kwenye uwanja wa Shule ya Msingi Mkuranga inatinga hatua ya lala salama. Akizungumza na Tanzania Daima juzi Katibu Mkuu wa Chama cha Soka Wilaya ya Mkuranga (MDFA), Paschal Machango, alizitaja timu zilizotinga fainali kundi A kuwa ni Panama na Fire Stone wakati kundi B lina timu za Black Tiger ambao ni mabingwa watetezi na Congo.
Katibu huyo ambaye ni Ofisa wa Jeshi la Polisi alisema, mechi hizo zilianza juzi ambazo wababe walipatikana ambao watacheza fainali ya mkoa itakayoanza hivi karibuni kwenye vituo mbalimbali.
Machango alitaja zawadi ya mshindi kuwa ni seti ya jezi na mpira wa pili atatia kibindoni seti ya jezi wakati wa tatu ataambulia mpira pekee hata hivyo hakuficha kilio chake kwa mashirika, taasisi, AZISEA na wafadhili waboreshe zawadi hizo ili kusaidia taifa kuibua vipaji vilivyopo vijijini.
Alitumia fursa hiyo kumpongeza mwanahabari Angetile Osiah kwa kuchaguliwa kuwa Katibu Mkuu wa Shirikisho la soka Tanzania (TFF) na Boniface Wambura kuwa Ofisa Habari wa TFF, Jimmy Kabwe, ambaye ni Meneja Masoko akawaomba wabadilishe utaratibu na kuwajaza wilayani wafadhili ili wasaidie kuboresha kiwango cha soka na kuepukana na hatari ya ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara kuendelea kuwa ni za Yanga na Simba.
 
Licha ya Yanga kuitambia AFC
• Mwape kama Robert Jama Mba

na Ruhazi Ruhazi


amka2.gif
TIMU ya Yanga jana ilifanikiwa kufuata nyayo za watani zao Simba, baada ya kuwafunga AFC Leopard ya Kenya kwa bao 1-0, katika mechi ya kirafiki ya kimataifa iliyopigwa kwenye dimba la Uhuru jijini Dar es Saalaam. Bao pekee lililowapa Yanga ushindi huo, lilifungwa kwa shuti kali la mguu wa kushoto katika dakika ya 46 na mtokea benchi Kiggi Makasi, aliyeingia baada ya mapumziko, kuchukua nafasi ya Juma Seif ‘Kijiko'.
Katika mechi hiyo ambayo kulikuwa na mashabiki wachache kuliko ilivyotarajiwa, Yanga iliuanza mchezo kwa kasi na kuonana lakini wakapoteza ladha ya mchezo huo baada ya dakika chache.
Safu ya ushambuliaji ya Yanga, iliyokuwa ikiundwa na Jerryson Tegete, ‘Kijiko' na Davies Mwape, haikuonekana kuwa na madhara kwa wageni na ilitengeneza nafasi chache za kufunga.
Hata pale Yanga walipofanikiwa kulifikia lango la wapinzani hawakuwa na mbinu zozote za kuwapatia bao, ambapo Tegete, Ernest Boakye na Godfrey Bonny walipoteza nafasi walizozipata kwa kupiga nje.
AFC walijibu mapigo kwa kugongeana vema na kulifikia lango la Yanga dakika za 10, 13 na 16, ambapo shuti la Silas Luvisia liliguswa kidogo na kipa wa Yanga Yaw Berko, aliyekuwa ametoka kidogo langoni mwake hivyo kugonga mwamba na kuwa kona ambayo haikuzaa matunda.
Timu hizo ziliendelea kushambulia kwa zamu lakini hadi mwamuzi Oden Mbaga, anapuliza filimbi ya kuashiria mapumziko, timu hizo zilitoka uwanjani zikiwa suluhu.
Mabadiliko yaliyofanywa na Kocha Kostadin Papic ya kumtoa Kijoko na kumuingiza Kiggi baada ya mapumziko, ndio yaliyoiokoa Yanga baada ya kiungo huyo kuifungia bao pekee.
Kama kuna mchezaji aliyeacha maswali mengi yasiyo na majibu kwa mashabiki wa Yanga na wapenzi wa soka waliohudhuria mechi hiyo ni uwezo mdogo ulioonyeshwa na mshambuliaji aliyesajiliwa kwa mbwembwe katika dirisha dogo la usajili, Davies Mwape kutoka Zambia.
Tofauti na sifa alizokuwa akipewa wakati akisajili, Mwape ameonekana hana tofauti na Robert Jama Mba, kutoka Cameroon, aliyesajiliwa kwa makeke msimu uliopita lakini akaishia kusugua benchi hadi anaachwa.
Licha ya Kocha Kostadin Papic kumchezesha hadi dakika ya 85, ndipo akamtoa kumpisha Idd Mbaga, lakini Mzambia huyo, hakuonyesha kama anastahili kuwa mchezaji wa kulipwa, jambo lililowafanya mashabiki wa Simba kuanza kumzomea kila alipogusa mpira wakimuita Mweupe badala ya Mwape.
Ushangiliaji huo kwa kiasi uliwakera mashabiki wa Yanga lakini kwa vile ulikuwa wa kweli, baadhi yao wakasikika wakiwatetea viongozi na kuzielekeza lawama za usajili wake kwa Kocha wao, aliyewaagiza viongozi wamsajili.
Katika mechi yao ya kwanza waliyocheza jana, AFC walipigwa mabao 2-0 na mabingwa watetezi wa Ligi kuu ya soka Tanzania bara, Simba ya Dar es Salaam.
Timu hiyo ya AFC moja ya timu kongwe katika ukanda huu wa Afrika Mashariki na Kati, leo tena itajitupa kwenye dimba hilo la Uhuru kuwakabili Azam FC.
Vikosi Yanga, Yaw Berko, Shadrack Nsajigwa ‘Fuso'/Salum Telela, Zuber Ubwa/ Job Ibrahim, Issac Boakye, Nadir Haroub ‘Cannavaro', Ernest Boakye, Omega Seme, Godfrey Bonny/ Razak Khalfan, Tegete, Kijiko na Mwape.
AFC, Barnabas Tiema, John Shamala, Douglas Oduor, Edgar Woudo, Nicholaus Muyoti/Joseph Okumu, Edward Seda, Paul Ojiambo/Peter Wailina, Ibrahim Coke, Emmanuel Tostao, Brian Masiolo na Silas Luvisia.
 
Fitna uchaguzi ZFA zaanza


na Makuburi Ally


amka2.gif
WAGOMBEA wote waliojitokeza kuwania nafasi mbalimbali za uongozi wa Chama cha Soka Visiwani Zanzibar (ZFA), wamefanikiwa kupenya katika usaili uliofanyika jana kwenye ofisi za Baraza la Taifa la Michezo Zanzibar (BTMZ), na jana walianza rasmi kampeni. Kwa mujibu wa Katibu Mkuu wa Kamati ya Uchaguzi ya ZFA, Mustafa Omar Abdallah, wagombea waliojitokeza ni 10, ambapo wanaowania nafasi ya rais, makamu wa rais wa Zanzibar na Pemba.
Abdallah aliwataja waliojitokeza kuwania nafasi ya rais kuwa ni anayemaliza muda wake Ali Ferej Tamim, Hafidh Kassim Hafidh, Nurdin Kakaria Taib, Suleiman Mahamoud Jabir na mtangazaji wa kituo cha Chanel Ten, Munir Zakaria.
Nafasi ya makamu wa rais kwa Unguja inawaniwa na Ali Khatib Dai, Ameir Haji Ameir ‘Bosi Mpakia' na Aman Ibrahim Makungu wakati kwa upande wa Pemba inawaniwa na Ali Mohamed na Suleiman Amour Suleiman.
Abdallah alisema kampeni kwa wagombea zinaanza leo hadi Desemba 30, siku moja kabla ya uchaguzi ambao utafanyika ukumbi wa uwanja wa michezo wa Gombani Pemba, ambako alitoa wito kwa wagombea kufanya kampeni zitakazofanikisha kunyakua nafasi hizo.
 
Gold relieved to see Hammers climb off the bottom

Published 23:00 26/12/10 By Neil McLeman

.jpeg



David Gold last night admitted it was a "great relief" to see West Ham climb off the bottom of the Premier League.
The Hammers had been 20th since a home draw with Fulham back on October 2. But the club's first away win all season at Crave Cottage has now seen Avram Grant's side climb above Wolves - and draw level with the Cottagers on points.
The co-chairman said: "It was a great result. We had been at the bottom of the table since the beginning of the season and I must tell you it is one of the worst places to be in football.
"If you are at the bottom of the Conference, nobody knows. But the Premier League table is there for everyone to see and it is awful. Now we are off the bottom but the job is not done. But it is three points away from home for the first time in 15 months and it is a great relief."

Asked if the win had saved Grant's job, Gold said: "No - because I don't think that was the issue. We are working with Avram. We are desperate to get out of the bottom three. We have to get out of the relegation zone and I think he took us a step towards that goal."
Captain Matthew Upson added: "It's a major boost. Now we have two massive games, at home to Everton and Wolves. We need to go out there with the same attitude to possibly get three points from one of those games and that would be a really good achievement."
 
Pardew demands Toon cut out the "howlers"

Published 23:00 26/12/10 By Simon Bird

.jpeg



Alan Pardew admitted Newcastle have to cut out the "howlers" - but he'll stick with young keeper Tim Krul.
The Newcastle boss was impress with the way the Geordies fought back from 2-0 down after just four minutes to give Manchester City a scare in the second half with a spirited show.
Newcastle have now dropped 18 points in ten home games this season - including four defeats.
And after errors by Tim Krul and Cheik Toite helped City to victory Pardew said: "The start cost us the game. Two big errors. We came up with two howlers. It put us on the back foot.

"At 2-0 down we had to rely on the character of the group. Outside that first eight minutes we played well. We could have laid down then and been torn apart, but we stood toe to toe with them.
"The performance after that was sensational at times. We caused them many problems but you can't give a team of that quality a head start. We were bossing the game when we scored and we had a couple of chances to equalise too.
"It was a cruel blow. The attitude to the performance I can't fault. This is not the first time we have gifted teams goals and we have to cut it out quickly. We have dropped too many points at home.
"I take positives from individual performances like Andy Carroll, and the midfield looked strong, and disciplined. We have another tough one at Spurs but we can take heart from this game. Andy was a constant menace in the box. It was just a case whether if fell for us. We had a fairly good chance at 2-1 and Kevin Nolan just couldn't get to it to score."
Newcastle are missing skipper Kevin Nolan through suspension for the visit to Spurs. But Pardew confirmed keeper Krul will stay in goal despite his error.
He said: "Tim is understandably held his hands up to a mistake. Young goalies will make mistakes here and there. I have no problem with him in goal. Harper is not quite ready. He will be in goal at Spurs."

 
Wigan sweating over Cleverley stay

Published 23:00 26/12/10 By Mike Walters

.jpeg



Roberto Martinez watched Tom Cleverley serve up another masterclass and admitted Wigan may not be able to hang on to him until May.
England Under-21 winger Cleverley, on loan from Manchester United, was star turn of the Latics' first away win since August and manager Martinez gasped: "It's not normal for a young player of his age to have such a great attitude."
Cleverley, 21, was involved in Hugo Rodallega's opener before his third goal of the season sank Wolves, and Martinez said: "Tom was outstanding - and he has been performing to that standard since the day he arrived at the club.
"We have got him until the end of the season unless United activate the call-back clause, and I'm not going to worry about that because there is nothing I can do about it if it happens.

"All I can say is that he is an outstanding talent who is destined to go to the very top. There are lots of talented footballers, but there are only very few who have such a good attitude and a willingness to learn when they are so young."
Martinez hailed his team's fortitude as they held their nerve in a pivotal relegation battle, adding: "This result is a real statement from us - we came here with a lot to lose, but we showed a great unity and desire to win and we put in a solid performance all over the pitch.
"We could have been bottom of the Premier League tonight, and that could have played on the players' minds, but there was a fantastic maturity about their performance.
"Knowing how well Wolves had been doing at home of late, it was important not to let them build up a momentum. Not only did we do that, by defending with real intensity, but we always looked a threat going forward."
 
Wigan sweating over Cleverley stay

Published 23:00 26/12/10 By Mike Walters

.jpeg



Roberto Martinez watched Tom Cleverley serve up another masterclass and admitted Wigan may not be able to hang on to him until May.
England Under-21 winger Cleverley, on loan from Manchester United, was star turn of the Latics' first away win since August and manager Martinez gasped: "It's not normal for a young player of his age to have such a great attitude."
Cleverley, 21, was involved in Hugo Rodallega's opener before his third goal of the season sank Wolves, and Martinez said: "Tom was outstanding - and he has been performing to that standard since the day he arrived at the club.
"We have got him until the end of the season unless United activate the call-back clause, and I'm not going to worry about that because there is nothing I can do about it if it happens.

"All I can say is that he is an outstanding talent who is destined to go to the very top. There are lots of talented footballers, but there are only very few who have such a good attitude and a willingness to learn when they are so young."
Martinez hailed his team's fortitude as they held their nerve in a pivotal relegation battle, adding: "This result is a real statement from us - we came here with a lot to lose, but we showed a great unity and desire to win and we put in a solid performance all over the pitch.
"We could have been bottom of the Premier League tonight, and that could have played on the players' minds, but there was a fantastic maturity about their performance.
"Knowing how well Wolves had been doing at home of late, it was important not to let them build up a momentum. Not only did we do that, by defending with real intensity, but we always looked a threat going forward."





 
Mwakingwe ataka ushirikiano Majimaji


Na Addolph Bruno

KIUNGO mpya wa Majimaji, Ulimboka Mwakingwe amewataka wachezaji na vongozi wa klabu hiyo kushirikiana ili waweze kufanya vizuri mzunguko wa pili Ligi Kuu Tanzania Bara.Ulimboka ambaye ameichezea Simba kwa muda mrefu ni
miongoni mwa wachezaji wanne, waliosajiliwa na Majimaji katika dirisha dogo la usajili ili kuimarisha kikosi hicho.

Akizungumza kwa simu jana akiwa Morogoro anakoishi, mchezaji huyo alisema ligi ya msimu huu ni ngumu lakini kutokana na uzoefu wake anaona ushirikiano wa wachezaji na viongozi ni ushindi tosha.

"Nilibahatika kushuhudia baadhi ya mechi za mzunguko wa kwanza niliona kuna kazi ngumu msimu huu, nilichokigundua kila timu imejiandaa vizuri hivyo naomba ushirikiano tu wa wachezaji na viongozi," alisema.

Alisema anatarajia kuondoka kesho kwenda Ruvuma kujiunga na timu hiyo tayari kwa kuanza mazoezi na baadaye kwenda Msumbiji kwa ajili ya kambi itakayoanza Desemba 28, mwaka huu.

Wakati huo huo, Mwenyekiti wa klabu hiyo Ahamed Dzumba alisema timu hiyo inatarajia kucheza mechi tatu za kirafiki kujiandaa na mzunguko wa pili, dhidi ya timu ya Combine ya Songea na michezo mingine itacheza na Nampula wakiwa Msumbiji.

 
Yanga watulizwa na posho za X-Mass


Na Zahoro Mlanzi

HALI ndani ya Klabu ya Yanga, inaonekana kutengemaa baada ya uongozi wa klabu hiyo kuwapoza wachezaji wao waliokuwa wamegoma kwa kuwapa posho za sikukuu ya Krismasi.Wachezaji hao walimgomea Kocha wao, Kostadin Papic
kufanya mazoezi mpaka fedha zao za usajili zinazodaiwa kufikia sh. milioni 70, watakapolipwa.

Akizungumza na gazeti hili Dar es Salaam jana, Ofisa Habari wa klabu hiyo, Louis Sendeu, alisema wamemalizana na wachezaji hao kwa kuingia makubaliano maalum ikiwa ni pamoja na kuanza kuwapa posho za sikukuu ya Krismasi.

"Kweli jana (juzi) jioni Kamati ya Utendaji ilikutana na wachezaji wote kujadili malalamiko yao, kimsingi tulifikia muafaka kwa kuanza kuwalipa posho kwa ajili ya sikukuu ya Krismasi," alisema na kuongeza;

"Baada ya kuwapa fedha hizo walikubali kuendelea na programu za kawaida za mazoezi na baada ya sikukuu kupita, ndipo zile fedha wanazodai zitaanza kutolewa."

Mgomo huo ulianza Ijumaa saa tisa Alasiri kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam, ambapo wachezaji hao walifika kama kawaida uwanjani, lakini baada ya Papic kupuliza filimbi ya kuwaita uwanjani, waligoma kuingia.

Papic alipojaribu kuuliza kulikoni, ndipo walipomwambia kwamba, wamechoka na ahadi zisizotimizwa kutoka kwa viongozi wao kuhusu fedha za usajili.
 
Taifa Stars kick-off training camp



By DAILY NEWS Reporter, 26th December 2010 @ 12:00, Total Comments: 0, Hits: 44

THE national soccer team, Taifa Stars training camp for the preparation of the inaugural Nile Basin championship due in Egypt, next month, commence at the Uhuru Stadium in Dar es Salaam on Monday.

Stars Assistant coach Sylivester Marsh and the goalkeepers' coach Juma Pondamali will lead the team's groundwork in the absence of its head coach Jan Poulsen.

Poulsen will not make it in time to prepare the team for the two-week long tournament and instead he will join the team in Cairo. His return hit snags flights in most European countries where flights have been cancelled due to due to poor visibility caused by heavy snow.

But that has not affected Stars programmes. Speaking to the ‘Daily News' on Sunday, Marsh said they will be holding two training sessions, early in the morning and late evening.

"We want to exercise in cool weather because the weather it's cold in Cairo." The former national youth team tactician said the team will train at the Uhuru Stadium for the first three days and will then move to the National Stadium where the squad will train under the floodlights for another three days.

The technical bench has tried to bring together the strongest possible squad for the Nile Basin tournament, given that that the event due next month will serve as the training ground for the African Cup of Nations qualifiers.

As a result, there are few new faces as well as retuning veterans expected in training this morning after succeeding to make a cut in the newly summoned 23-man squad. Among them is former Young Africans player Said Maulid ‘SMG', who currently plays for Onze Bravos of Angola.

The diminutive flying winger was a surprise inclusion in the squad. Athuman Machupa, who features for a Swedish first division side, Vasuland IF, is another veteran player who has been recalled ahead of the Nile Basin tournament.

Like, Maulid, the ex-Simba goal poacher, returns to national team after a long spell out. It is always nice to make your way back into the team after being ignored for a prolonged time; however, the duo should brace themselves for a stiff competition for places in the current Stars' set-up.

The competition will come up from Mrisho Ngasa, Jerryson Tegete, Nizar Khalfan as well as rising attacking midfielder Salum Machaku and the new boys on the bloc Ali Ahmed Shiboli and Godfrey Taita who have earned their first call up.

With exception of Ngasa, nobody is guaranteed a starting place and they have to earn it both in training and during the Cairo tournament. Shiboli, who represented Zanzibar Heroes in the Challenge Cup, scoring two goals, has talked about the competition for places, vowing to fight his own corner.

"I am ready for the challenge and I am looking forward to work hard and show the coaches what I can provide on the field," the brawny front man said over the weekend. Tegete, after being overlooked for the Afcon qualifiers and the recently concluded Cecafa Senior Challenge Cup, will be determined to win back Poulsen and his aides.

Meanwhile, Marsh confirmed that all professional players, including Machupa and Khalfan have already reported at the Tanzania Football Federation (TFF) offices ready to kick off their preparations.

Maulid and Henry were already in the country for holidays. The names of the players who are attending the training camp include goalkeepers: Juma Kaseja (Simba), Shabaan Hassan ‘Kado' (Mtibwa) and Said Mohamed (Majimaji).

Defenders: Shadrack Nsajigwa (Yanga), Stephano Mwasika (Yanga), Nadir Haroub ‘Canavaro'(Yanga), Aggrey Morris (Azam), Kelvin Yondani (Simba), Jumma Nyosso (Simba).

Midfielders: Idrissa Rajabu (Sofapaka, Kenya), Nurdin Bakari (Yanga), Abdi Kassim (Yanga), Shaaban Nditi (Mtibwa) Henry Joseph, (Norway), Jabir Aziz (Azam), Machaku (Mtibwa).

Strikers: Ngassa (Azam), Khalfan, (Vancouver Whitecaps, Canada), Taita (Kagera Sugar), Machupa, (Vasuland IF), Tegete (Yanga), Maulid (Onze Bravos, Angola) and Shiboli (Simba).
 

Yanga edge past AFC Leopards


By DAILY NEWS Reporter, 26th December 2010 @ 12:00, Total Comments: 0, Hits: 69

YOUNG Africans put their off-field problems aside as Kigi Makasi's second half strike handed them a 1-0 win over AFC Leopards from Kenya in an international friendly match at the Uhuru Stadium in Dar es Salaam.

The attacking midfielder score with a stunning effort after 46th minute to condemn the former East and Central African champions to their second back to back defeat in town.

In their first trial match on Saturday, AFC Leopards suffered a 2-0 defeat to the Premier League champions Simba at the same venue.

It had been feared that Yanga players would boycott the build-up in the wake of ongoing crisis at the club, which saw the players on Friday refuse to participate in a training session in front of the public and head coach Kostadin Papic.

It is believed that the club owes the players some of the transfer money promised to them during the registration exercise prior to start of the current season and Friday's strike meant to push for their rights.

But the Jangwani Street boys shrewdly ignored their troubles to honour the match. The game kicked off strongly and there was little to separate between the two teams and Yanga had the first real opening with Tegete failing to find the target at close range.

AFC Leopards were not far behind to register their first effort. Emmanuel Tostao drew good save from Yanga custodian Yaw Berko.

After playing out to a barren draw in the opening half, partly to profligacy of its strikers, particularly Tegete, Kostadin Papic's men took the lead just after the restart when Makasi rifled a powerful drive that gave no chance to goalkeeper Trema Barnabas.

Both teams created and wasted scoring opportunities in the second half as the scoreline remained unchanged after the final whistle. Commenting on his team's performance Yanga coach, Serbian Kostadin Papic said he was not satisfied with what he saw from his side, adding that there was still a lot of work to be done before they start their Premier League and CAF Confederation Cup campaigns, scheduled to get underway next month.

On his side, AFC Leopards Coach Noah Manyema said the two matches provide his team with a valuable experiences and it provided him with the platform to gauge new signings before the Kenyan league kicks off in February. AFC Leopards arrived in Dar es Salaam last week for the Christmas invitational friendly matches against local teams.
 
Mapinduzi Cup preps on top gear


From ISSA YUSSUF in Zanzibar, 26th December 2010 @ 11:00, Total Comments: 0, Hits: 75

AS the 2011 Mapinduzi soccer tournament draws closer, the preparations for the annual competition to celebrate the Zanzibar's 1964 revolution are in final stages, members of the organizing committee said at the press conference on Saturday.

"We have been doing well, and different people have promised to donate for the cup involving both Zanzibar and Mainland football clubs," said Mohamed Raza, the Mapinduzi Cup committee chairperson at the conference.

It was revealed at the conference, attended by other members of the organizing committee including Ali Mwinyikai, the Principal Secretary, Ministry responsible for sports that about 41million/- has been promised.

Also attended were Ali Halil Mirza, Amani Makungu, and Mohamed Simai. Eight teams are expected to feature in the tournament and will compete in two groups. Group A brings together Yanga, Zanzibar Ocean View, Chuoni, and Azam, while Group B includes Simba, KMKM, Mtibwa and Jamhuri.

The winner of the competition which kicks off from January 2 to 12 on the revolution day to be marked at the Amani Stadium will pocket in 3m/-, and the runners-up will be rewarded 2m/-.

Some journalists raised concern over the reward that it is very small and may prompt serious teams such as Simba and Yanga to bring their junior players, but in response to the concerns Raza said, "The prize will increase depending on how much we collect from donors.

We therefore ask all teams to bring their senior players to the tournament." The fixture shows that Zanzibar's Chuoni will take on Mainland's Azam FC on the opening day, to be followed by another game between Zanzibar Ocean View and Dar es Salaam Young Africans.

The next day will see group B matches whereas, Zanzibar's KMKM will battle it out against Mainland's Mtibwa, before Premier League Champions, Simba, and Jamhuri face off. On January 4, Azam will play against Zanzibar Ocean View, with Yanga entertaining Chuoni in the day's late kick-off.

In Match Day 4, Mtibwa will date Jamhuri and later on KMKM will meet Simba. Match Day 5 fixtures pit Chuoni vs. Zanzibar Ocean View and Yanga vs. Azam, while it will be Jamhuri vs. KMKM and Simba vs Mtibwa on Match Day 6.

The matches are scheduled kick off at 4pm and 8pm respectively, while semi-finals are planned for January 9 and 10, before the final game, to be graced by President Ali Mohamed Shein, on January 12.
 
Tusitarajie visingizio Klabu Bingwa, Shirikisho

ban_tahariri.jpg

amka2.gif
MAHASIMU wa soka hapa Tanzania, Simba na Yanga, mapema mwakani wanatarajia kushiriki mashindano ya kimataifa baada ya kufanya vizuri katika Ligi Kuu Tanzania Bara, msimu uliopita. Katika msimu uliopita Simba iliweza kunyakua nafasi ya kwanza ya Ligi Kuu Tanzania Bara kwa kutopoteza mchezo hata mmoja wakati Yanga iliyowafuatia ikipoteza michezo michache hali iliyofanikisha kushika nafasi hiyo.
Baada ya kunyakua nafasi hizo, Simba imefanikiwa kutinga katika kinyang'anyiro cha kushiriki michuano ya Klabu Bingwa Afrika wakati Yanga imetinga kushiriki michuano ya Shirikisho.
Simba inatarajia kuanza kampeni zake za kuwania Kombe la Klabu Bingwa na Elan Club de ya Comoro ambayo inatarajia kuanza kampeni zake kati ya Januari 28, 29 na 30 wakati marudiano yatafanyika kati ya Februari 11, 12 na 13.
Katika michuano hiyo mabingwa wa visiwani Zanzibar, Zanzibar Ocean View, wao wanaanza kampeni zao kwa kucheza na ASV ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ambayo pia inaweza kuanza kampeni zake kati ya Januari 11 hadi 13.
Sambamba na mahasimu wao, Yanga, wanaanza kampeni zao kwa kupambana na Dedebit ya Ethiopia kati ya Januari 28, 29 na 30 wakati marudiano ni Februari 11, 12 na 13 huku KMKM ya Zanzibar inatarajia kupeperusha bendera yake kwa kupambana na DCMP ya Congo katika michuano ya kuwania Kombe la Shirikisho.
Pamoja na kwamba timu zetu zimepata mazoezi bora katika mashindano ya Chalenji yaliyomalizika Desemba 13 katika Uwanja wa Taifa, maandalizi zaidi yanatakiwa ili kufika mbali zaidi katika michuano ya kimataifa iliyo mbele yao.
Inatakiwa klabu hizo kongwe hapa Tanzania kuonyesha uwezo wao baada ya wiki mbili zilizopita kutangaza kuungana katika michuano ya kimataifa jambo ambalo kila mpenda soka amepongeza hatua hiyo ambayo inaonekana sasa soka letu linaanza kubadilika na kupiga hatua kuelekea yalipo maendeleo.
Kwa kuwa imeshaonekana hatua ya kufikia maendeleo, inabidi kuongeza juhudi zaidi ya hapo zilipoanzia klabu hizo ili kufanya vizuri zaidi na isiwe siasa ya michezo kama tuliyozoea.
Ili kufikia malengo stahili ya soka letu tuondokane na kufanya nguvu nyingi katika michezo ya watani wa jadi zaidi na badala yake kuweka nguvu nyingi zaidi katika michuano ya kimataifa kama hiyo ili kujiwekea heshima na kutengeneza pesa nyingi iwapo tutanyakua mataji hayo.
Wenzetu wanaofikiria maendeleo zaidi, mipango yao inatofautiana na yetu kwa kuachana kabisa na siasa ambazo haziwezi kutufanya kufikia malengo ambayo yataleta faida kwa jamii inayotuzunguka.
Tumeona mfano huo wa Simba na Yanga kuunganisha nguvu lakini tusitarajie kutolewa kwa visingizio ambavyo tumevizoea ambavyo ni maandalizi duni, mwamuzi hakuwa makini na badala yake tupate ushindi bora utakaoleta hamasa ya kupenda soka letu.
Tutarajie kwamba umoja huo ulioanzishwa utafanikisha azma ambayo imeonekana kuwa ni kikwazo kinachokwamisha maendeleo ya soka letu linaloshindwa kupiga hatua ya kimaendeleo barani Afrika.
Inatakiwa tusijigambe kwamba ubingwa wa CECAFA tulioupata hivi karibuni ndio ‘tuvimbe vichwa' tujipange vilivyo ili kuleta na makombe mengine kama Klabu Bingwa na Shirikisho ambayo inawezekana kabisa kuyaleta, kwani wanaoshinda wanafanya jitihada makini tu na si kingine.
Tusitarajie visingizio hivyo mwaka huu, kwa sababu Simba na Yanga wameonekana kushtuka mapema, hali ambayo italeta maendeleo ya soka hapa Tanzania.
 
h.sep7.gif
master.gif

Majaji Bongo Star Search hii sio
ban.blank.jpg

Salum Mkandemba

amka2.gif
HATIMAYE lile shindano la kusaka vipaji nchini, Bongo Star Search (BSS 2010), lilifikia tamati wiki iliyopita kwa mwanadada Mariam Mohammed kuibuka mbabe na kujizolea zawadi ya shilingi za Kitanzania milioni 30. Mwananadada huyu ‘aliyefunika' kwa nyimbo za taarabu katika kinyang'anyiro hicho kilichofikia tamati kwenye ukumbi wa Mlimani City Dar, alifuatiwa na James Martin huku nafasi ya tatu ikienda kwa Joseph Payne.
Wakali hao watatu walifuatiwa kwa karibu na Cristabella Kombo na Wazir Salum waliokamata nafasi za nne na tano katika tamasha hilo lililoanza na maelfu ya vijana toka mikoa mbalimbali nchini.
Kwanza nianze kwa kutoa shukrani kwa kampuni ya Benchmark Production inayoandaa shindano hilo, ambalo limewaweka juu baadhi ya washiriki wake hata baada ya kutotwaa ushindi. Bila kuwasahu wadhamini wa mashindano hayo; wale wanaotambulika na wasiotambulika kutokana na sababu mbalimbali.
Hakika haya ni mashindano mazuri, yanayosaidia sio tu kukuza uwezo wa baadhi ya washiriki katika ulingo wa sanaa, bali pia kujitambua kwa baadhi yao ambao uingia mashindano huku wakiwa hawana matarajio ya kugundua kile walichojaaliwa Mwenyezi Mungu katika tasnia hiyo.
Lakini kama wasemavyo wahenga; Kila kizuri, hakikosi kasoro, hivi ndivyo pia mashindano haya yalivyo; kwa miaka kadhaa ya uwepo wake, kumekuwa na kasoro ndogondogo ambazo licha ya kulalamikiwa, zimekuwa zikiota mizizi kila msimu.
Linapokuja suala la aina ya kasoro hizo, wafuatiliaji na washiriki wa shindano hilo kwa misimu yote wanaweza kuwa mashahidi wazuri wa tuhuma hizi ambazo mara nyingi wahusika wamekuwa wakizikana kila wanapoambiwa ukweli.
Kwa ukumbusho mfupi juu ya kasoro za miaka ya nyuma; kila mdau anakumbuka namna mmoja wa majaji hao alivyoingia matatizoni na baadhi ya washiriki na hata mashabiki waliochoka na ‘hukumu za kupondana'.
Walioshiriki wakiwa wajawazito; waliulizwa kwanini hawakusubiri kujifungua nyumbani kuliko ‘kuutumia vibaya' muda wa majaji hao katika kutafuta mshindi, huku wengine wakiulizwa kwa nini hawakuwa nyumbani kuhudumia waume zao.
Kutokana na shindano hilo kuwa na majaji ambao ni watayarishaji wa nyimbo wenye kumiliki studio, ikashuhudiwa majaji hao wakimponda mshiriki yeyote aliyeimba wimbo uliotoka katika studio ya jaji mwingine.
Hayo na mengine, hayakuwafurahisha sio tu washiriki wa kinyang'anyiro hicho, bali pia wafuatiliaji wa mashindano hayo, walioshauri wasanii kukosolewa katika namna ambayo itawapa moyo badala ya kuwatisha tamaa.
Nafikiri hayo na mengine, yakalipunguzia heshima shindano hilo, kiasi cha kuwachota baadhi ya wafuatiliaji wake na kuangukia katika mashindano kama ya Maisha Plus na Tusker Project Fame yalioonyesha umakini katika nyanja ya uamuzi.
Yote tisa; yaliyojiri katika shindano la mwaka huu, ndilo linalonifungua mdomo na kuwaasa waandaaji kuwa; Hii sio aina sahihi ya majaji na maamuzi yatakayosaidia kulipa hadhi shindano, washiriki na hata washindi wake.
Majaji kuingia kazini wakiwa na kila dalili ya kupata ‘kilaji' kilichowazidi nguvu, kubadili kauli kila dakika na ‘kujipangia washindi', ikawa ndio fasheni kuu ya mashindano ya mwaka huu, ambayo inaweza kuwa bingwa alistahili, lakini kutokana na kasoro hizo; akafikiriwa kuwa alishapangwa.
Nikiwa mmoja wa wafuatiliaji wa shindano lile kwa asilimia 90, nakumbuka Master Jay, alishawahi ‘kumpigia saluti' Joseph Payne kiasi cha kumvua kofia jaji mwenzake Aspen ‘Mzungu Kichaa' na kuvisha Payne na kumsifu kwa aina ya ubunifu wa kuimba nyimbo zinazofagiliwa na wengi akiwemo yeye.
"Nakufagilia Payne. Nimegundua aina ya uwezo ulionao sio tu katika kuimba, bali ubunifu wa kuimba nyimbo zinazokubalika miongoni mwetu. Sikuwahi kufikiria kama kuna ‘Mzungu Kichaa' mwingine nchini, lakini leo nakuvisha taji" alisema Jay.
Jay ambaye alikuja kubadilika siku ya mwisho, kiasi cha ‘kuwatusi' Watanzania waliomkubali Payne na kumshangilia kila alipopanda jukwaani. Kuwaita ‘washamba'
Watanzania hao, ni kukosa aina ya elimu aliyostahili kuwa nayo kama jaji anayestahili kutoa kura kwa mshindi sahihi.
Ni elimu gani ya ujaji inayoruhusu mtu kubainisha mbele ya wadau kuwa; "aliyepita si mshindi wangu, mshindi wangu mimi ndiye huyu". Au vyovyote itakavyokuwa, huyu ndiye bingwa wangu atakayechukua milioni 30 zangu".
Kauli hizi na nyingine kama hizo zinapotoka kwa mtu kama Rita Poulsen (ambaye ndiye mtayarishaji), zinaashiria ama kupokelewa vipi na wafuatiliaji? Ama huyo huyo Rita anapolia kupita kiasi kila mshiriki fulani anapong'oka, huku wengine akiwa mkavu inamaanisha nini?
Kamakuna kipindi ambacho majaji wa BSS wanapaswa kulaumiwa, kukosolewa na kushauriwa; ndio hiki tulicho nacho. Iweje majaji mkae kushindania kuwa wimbo alioimba fulani ni fulani, wakati hata watoto wadogo mtaani wanajua ukweli ni upi?
Binafsi yangu baada ya kulaumu na kukosoa nilikofanya katika safu hii, ningependa kumshauri Madame Rita na wadhamini wanaomuwezesha, kuandaa kozi japo fupi kwa majaji ili kujua mipaka yao katika kupinga kile jaji mwenza, washiriki ama mashabiki wataonekana kukifagilia.
Kwa kuanzia; kama majaji hawataki kukaa darasani kujifunza hilo, wanaweza kuandaliwa japo masaa machache ya kukaa na majaji wa shindano la Tusker Project Fame na kubadilishana nao mawazo ili kuirejeshea BSS heshima inayokaribia kupotea kabisa.
Nimetumia mfano wa majaji wa Tusker Project Fame, sio kutokana na namna navyowafuatilia katika maamuzi yao, bali mmoja wa ‘wapondaji' wa BSS kukiri kuwa; "Kama Watanzania watabana na kukunyima ushindi, nenda kashiriki kwenye Tusker, kule hakuna kuchukiana".
Lakini Watanzania hao hao wakishangilia na kumkubali mshiriki, anageuka na kuwaita washamba. Je Watanzania aliowataja jaji huyo kuwa wakibana aende Kenya ni kina nani? Jibu ni moja tu kuwa; ni wao majaji ambao ndio waliokuwa wakiingia na kutoa chemba kila dakika kujaribu ‘kuokoa jahazi'.
Kujisalimisha kwa wanaojua kazi (Tusker Project Fame), kutasaidia sio tu kurudisha imani miongoni mwa mashabiki na wadau, bali kujenga daraja la mawasiliano kati ya majaji na washiriki washindwa, kuliko ukuta huu wa chuki utokanao na mchanga na simenti aina tatu za ukabila, udini na utaifa mnaojaribu kuujenga dhidi ya vijana hawa.
Mungu ibariki Bongo Star Search, Mungu ibariki Tanzania.
 
Simba,Yanga mbioni kuandaa magunia ya visingizio?
ban.blank.jpg

Khadija Kalili

amka2.gif
SHIRIKISHO la Soka Barani Afrika (CAF) limetangaza ratiba kamili ya michuano ya kimataifa ya klabu zitakazoshirikisha klabu mbalimbali katika michuano ya Klabu Bingwa na Michuano ya Shirikisho. Wawakilishi wetu kama ilivyo ada ni klabu za Simba na Yanga katika michuano hiyo adhimu barani Afrika.
Simba wakituwakilisha kwenye Klabu Bingwa na Yanga kwenye Kombe la Shirikisho.
Pamoja na soka kutotabirika bado hofu ya kukwama katika raundi za awali kwa timu zetu ni ndogo, yapo matumaini makubwa ya kupenya katika raundi hiyo.
Shughuli pevu itakuwa raundi ya pili, Simba wamepangiwa kucheza na TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo na Yanga Haras Asl Hodoud ya Misri.
Akinukuliwa na chombo kimoja cha habari si Tanzania Daima, (aliyekuwa Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo), Joel Bendera, alizitaka timu za Simba na Yanga kufanya maandalizi bora ambayo yatazisaidia katika michuano ya klabu bingwa barani Afrika na michuano ya Shirikisho la soka Afrika (CAF).
"Simba na Yanga ambazo ndizo wawakilishi wa nchi yetu katika michuano ya Kimataifa zinatakiwa kufanya maandalizi ya kutosha ili ziweze kuipeperusha vema bendera ya Tanzania."
"Haitapendeza kuona timu hizo zinaondolewa katika hatua ya kwanza kwenye mashindano hayo badala yake tunataka kuona zinafika mbali jambo ambalo pia litasaidia kuongeza changamoto nyingine katika maendeleo ya soka ikiwa ni pamoja na kuiweka nchi yetu katika ramani nzuri ya soka barani Afrika," alinukuliwa na chombo hicho cha habari.
Michuano hiyo yote inatarajiwa kuanza mapema mwakani, kwa maana nyingine ni vema klabu hizi zikajipanga kwa ajili ya michuano migumu watakayokabiliana nayo mbele ya safari.
Yapo mapungufu mengi yaliyojitokeza kwenye vikosi vya klabu hizi ikiwemo utovu wa nidhamu na baadhi ya wachezaji kujikuta wakipewa kadi bila sababu za msingi na ukosefu wa umakini uwanjani katika nyanja zote kuanzia kwa walinda milango, mabeki na wafumania nyavu kukosa mabao yaliyoonekana ya dhahiri kabisa.
Mambo hayo na bila kusahau kuwajenga kisaikolojia wachezaji ili kuwaweka tayari kwa kuvaana na timu yoyote itakayokuja mbele yao ni vitu muhimu kama wawakilishi hawa wanataka kuachana na kuwa wasindikizaji kila wanapoingia kwenye mashindano ya kimataifa.
Simba na Yanga wasiridhike na kufungana wao kwa wao na kuona wameshamaliza kila kitu, klabu hizi kila zinapokaribia kupambana huwa zinafanya maandalizi ya ‘kufa mtu', lakini utashangaa wanapoenda kwenye mechi za kimataifa, maandalizi huwa ni ya zimamoto.
Sifa za kijinga za kuitwa wakongwe, miamba wa soka wa Tanzania zinapaswa ziende sambamba na kutamba vilivyo kwenye medani ya soka ya kimataifa pia.
Yanga ilianzishwa mnamo 1935 na Simba ikiitwa Sunderland ilianzishwa mwaka 1936, Kwa ukongwe wa miaka ya klabu hizi ni kongwe lakini kutamba kwao hakuendani na ukongwe wao.
Bado hakuna maandalizi ya dhati kuelekea kwenye michuano hii yanayooneshwa na timu hizi.
Huu ulikuwa ni wakati wa kutafuta mechi na timu kutoka nchi zilizoendelea kisoka Barani Afrika.
Wanaogopa nini kuomba mechi na timu kama Kaizer Chiefs au Orlando Pirates za Afrika Kusini? Zimbabwe kuna Power Dynamo, Malawi wapo Bata Bullets na kadhalika.
Nigeriakuna Kano Pillars na Enyimba, Tunisia kuna Raja Cassablanca na Esperance.
Misri kuna Zamalek, National Al Ahly.
Kwa uchache hizi ni timu zinazoweza kuwapa mazoezi magumu na ya kutosha kuwa kipimo sahihi kwa michuano migumu watakayokabiliana nayo hapo mwakani.
Hakuna haja ya kuziogopa kama wanaweza kuja ni bora lakini ni vizuri zaidi kama timu zetu zitaanza kutoka kutafuta mechi ngumu za kujipima na sio kuwasubiri kupambana nao kwenye michuano ya kimataifa.
Simba na Yanga zinapaswa kuangalia mfano wa Enyimba na Kano Pillars zilivyopiga hatua kubwa katika medani ya soka la kimataifa pamoja na kuwa si klabu zilizoanzishwa siku nyingi kama wao.
TP Mazembe itakayopambana na Simba kama itashinda mechi yake ya awali si timu ya kuifanyia mzaha hata kidogo.
Ni timu iliyosheheni vipaji vya hali ya juu, visivyo na utani uwanjani.
TP Mazembe iliyofuzu msimu huu ilikuwa tofauti na ya msimu uliopita, ambapo ilifungashwa virago mapema bila kushinda mchezo hata mmoja katika mashindano ya Klabu bingwa ya mwaka jana.
Safari hii ilikuwa moto wa kuotea mbali, ikimudu kuwafungasha virago Mabingwa wa Amerika ya Kusini, Internacionale katika hatua ya nusu fainali.
Licha ya kufungwa katika fainali ile na Mabingwa watetezi wa Klabu bingwa Ulaya, Inter Milan, TP Mazembe imeweka rekodi mbili kubwa za kujivunia katika michuano hiyo.
Rekodi hizo ni kuwa Klabu ya kwanza barani Afrika kufika fainali ya michuano ile.
Mbili ni kuwa klabu ya kwanza isiyo ya Ulaya na isiyo ya Amerika ya Kusini kufikia hatua za mbali.
Licha ya TP Mazembe kufungwa na Inter Milan kwa mabao 3-0 lakini wameandika historia katika ulimwengu wa soka sio tu katika kikosi cha kwanza cha timu hiyo bali kikosi cha jumla kilichoshiriki michuano hiyo.
Wacongo hao walimudu kufanya vema mashindano, ikiwa na nyota wengi wanaocheza ligi ya nyumbani na si wachezaji wa kulipwa wanaocheza nje ya nchi.
Tuzo ya mashindano bora ya mshindi wa pili kwa mwaka huu ilikwenda kwa mchezaji Lamine N'diaye anayecheza ligi ya nyumbani na kuwaacha mbali nyota wa nchi nyingine na wenye majina makubwa.
Katika mechi ya fainali TP Mazembe kama kawaida yao ilijaza nyota tisa wanaocheza ligi ya nyumbani na wawili ndio wanaotoka nje.
Ukiangalia ushindani waliotoa siku ya fainali na Inter Milan, iliyokuwa chini ya Rafa Benitez na ikiwa haina Muitalino hata mmoja utakubali kwamba kwa sasa TP Mazembe ni moja ya klabu zilizo katika kiwango cha hali ya juu duniani. Simba wamejipangaje kupambana na kikosi hiki?
huku mahasimu wao Yanga kama zitaendelea kufikiria ligi kuu na matokeo ya kufungana wao kwa wao kama inavyojiri katika kila msimu, basi klabu hizi zitegemee kuwa wasindikizaji katika michuano ya kimataifa kwa muda mrefu ujao na waandae magunia ya visingizio baada ya kutolewa katika hatua za mwanzoni mwa michezo hiyo.
Watanzania wapenda soka tukiwa nyuma yao, tusitarajie magunia ya visingizio baada ya kutolewa katika michuano hiyo.
 
Simba,Yanga mbioni kuandaa magunia ya visingizio?
ban.blank.jpg

Khadija Kalili

amka2.gif
SHIRIKISHO la Soka Barani Afrika (CAF) limetangaza ratiba kamili ya michuano ya kimataifa ya klabu zitakazoshirikisha klabu mbalimbali katika michuano ya Klabu Bingwa na Michuano ya Shirikisho. Wawakilishi wetu kama ilivyo ada ni klabu za Simba na Yanga katika michuano hiyo adhimu barani Afrika.
Simba wakituwakilisha kwenye Klabu Bingwa na Yanga kwenye Kombe la Shirikisho.
Pamoja na soka kutotabirika bado hofu ya kukwama katika raundi za awali kwa timu zetu ni ndogo, yapo matumaini makubwa ya kupenya katika raundi hiyo.
Shughuli pevu itakuwa raundi ya pili, Simba wamepangiwa kucheza na TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo na Yanga Haras Asl Hodoud ya Misri.
Akinukuliwa na chombo kimoja cha habari si Tanzania Daima, (aliyekuwa Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo), Joel Bendera, alizitaka timu za Simba na Yanga kufanya maandalizi bora ambayo yatazisaidia katika michuano ya klabu bingwa barani Afrika na michuano ya Shirikisho la soka Afrika (CAF).
“Simba na Yanga ambazo ndizo wawakilishi wa nchi yetu katika michuano ya Kimataifa zinatakiwa kufanya maandalizi ya kutosha ili ziweze kuipeperusha vema bendera ya Tanzania.”
“Haitapendeza kuona timu hizo zinaondolewa katika hatua ya kwanza kwenye mashindano hayo badala yake tunataka kuona zinafika mbali jambo ambalo pia litasaidia kuongeza changamoto nyingine katika maendeleo ya soka ikiwa ni pamoja na kuiweka nchi yetu katika ramani nzuri ya soka barani Afrika,” alinukuliwa na chombo hicho cha habari.
Michuano hiyo yote inatarajiwa kuanza mapema mwakani, kwa maana nyingine ni vema klabu hizi zikajipanga kwa ajili ya michuano migumu watakayokabiliana nayo mbele ya safari.
Yapo mapungufu mengi yaliyojitokeza kwenye vikosi vya klabu hizi ikiwemo utovu wa nidhamu na baadhi ya wachezaji kujikuta wakipewa kadi bila sababu za msingi na ukosefu wa umakini uwanjani katika nyanja zote kuanzia kwa walinda milango, mabeki na wafumania nyavu kukosa mabao yaliyoonekana ya dhahiri kabisa.
Mambo hayo na bila kusahau kuwajenga kisaikolojia wachezaji ili kuwaweka tayari kwa kuvaana na timu yoyote itakayokuja mbele yao ni vitu muhimu kama wawakilishi hawa wanataka kuachana na kuwa wasindikizaji kila wanapoingia kwenye mashindano ya kimataifa.
Simba na Yanga wasiridhike na kufungana wao kwa wao na kuona wameshamaliza kila kitu, klabu hizi kila zinapokaribia kupambana huwa zinafanya maandalizi ya ‘kufa mtu’, lakini utashangaa wanapoenda kwenye mechi za kimataifa, maandalizi huwa ni ya zimamoto.
Sifa za kijinga za kuitwa wakongwe, miamba wa soka wa Tanzania zinapaswa ziende sambamba na kutamba vilivyo kwenye medani ya soka ya kimataifa pia.
Yanga ilianzishwa mnamo 1935 na Simba ikiitwa Sunderland ilianzishwa mwaka 1936, Kwa ukongwe wa miaka ya klabu hizi ni kongwe lakini kutamba kwao hakuendani na ukongwe wao.
Bado hakuna maandalizi ya dhati kuelekea kwenye michuano hii yanayooneshwa na timu hizi.
Huu ulikuwa ni wakati wa kutafuta mechi na timu kutoka nchi zilizoendelea kisoka Barani Afrika.
Wanaogopa nini kuomba mechi na timu kama Kaizer Chiefs au Orlando Pirates za Afrika Kusini? Zimbabwe kuna Power Dynamo, Malawi wapo Bata Bullets na kadhalika.
Nigeriakuna Kano Pillars na Enyimba, Tunisia kuna Raja Cassablanca na Esperance.
Misri kuna Zamalek, National Al Ahly.
Kwa uchache hizi ni timu zinazoweza kuwapa mazoezi magumu na ya kutosha kuwa kipimo sahihi kwa michuano migumu watakayokabiliana nayo hapo mwakani.
Hakuna haja ya kuziogopa kama wanaweza kuja ni bora lakini ni vizuri zaidi kama timu zetu zitaanza kutoka kutafuta mechi ngumu za kujipima na sio kuwasubiri kupambana nao kwenye michuano ya kimataifa.
Simba na Yanga zinapaswa kuangalia mfano wa Enyimba na Kano Pillars zilivyopiga hatua kubwa katika medani ya soka la kimataifa pamoja na kuwa si klabu zilizoanzishwa siku nyingi kama wao.
TP Mazembe itakayopambana na Simba kama itashinda mechi yake ya awali si timu ya kuifanyia mzaha hata kidogo.
Ni timu iliyosheheni vipaji vya hali ya juu, visivyo na utani uwanjani.
TP Mazembe iliyofuzu msimu huu ilikuwa tofauti na ya msimu uliopita, ambapo ilifungashwa virago mapema bila kushinda mchezo hata mmoja katika mashindano ya Klabu bingwa ya mwaka jana.
Safari hii ilikuwa moto wa kuotea mbali, ikimudu kuwafungasha virago Mabingwa wa Amerika ya Kusini, Internacionale katika hatua ya nusu fainali.
Licha ya kufungwa katika fainali ile na Mabingwa watetezi wa Klabu bingwa Ulaya, Inter Milan, TP Mazembe imeweka rekodi mbili kubwa za kujivunia katika michuano hiyo.
Rekodi hizo ni kuwa Klabu ya kwanza barani Afrika kufika fainali ya michuano ile.
Mbili ni kuwa klabu ya kwanza isiyo ya Ulaya na isiyo ya Amerika ya Kusini kufikia hatua za mbali.
Licha ya TP Mazembe kufungwa na Inter Milan kwa mabao 3-0 lakini wameandika historia katika ulimwengu wa soka sio tu katika kikosi cha kwanza cha timu hiyo bali kikosi cha jumla kilichoshiriki michuano hiyo.
Wacongo hao walimudu kufanya vema mashindano, ikiwa na nyota wengi wanaocheza ligi ya nyumbani na si wachezaji wa kulipwa wanaocheza nje ya nchi.
Tuzo ya mashindano bora ya mshindi wa pili kwa mwaka huu ilikwenda kwa mchezaji Lamine N’diaye anayecheza ligi ya nyumbani na kuwaacha mbali nyota wa nchi nyingine na wenye majina makubwa.
Katika mechi ya fainali TP Mazembe kama kawaida yao ilijaza nyota tisa wanaocheza ligi ya nyumbani na wawili ndio wanaotoka nje.
Ukiangalia ushindani waliotoa siku ya fainali na Inter Milan, iliyokuwa chini ya Rafa Benitez na ikiwa haina Muitalino hata mmoja utakubali kwamba kwa sasa TP Mazembe ni moja ya klabu zilizo katika kiwango cha hali ya juu duniani. Simba wamejipangaje kupambana na kikosi hiki?
huku mahasimu wao Yanga kama zitaendelea kufikiria ligi kuu na matokeo ya kufungana wao kwa wao kama inavyojiri katika kila msimu, basi klabu hizi zitegemee kuwa wasindikizaji katika michuano ya kimataifa kwa muda mrefu ujao na waandae magunia ya visingizio baada ya kutolewa katika hatua za mwanzoni mwa michezo hiyo.
Watanzania wapenda soka tukiwa nyuma yao, tusitarajie magunia ya visingizio baada ya kutolewa katika michuano hiyo.
 
Nchunga unaipeleka Yanga porini
ban.blank.jpg

Mwandishi wetu

amka2.gif
HIKI kinachofanywa na uongozi wa klabu ya Yanga ya jijini Dar es Salaam, chini ya uongozi mpya wa mwenyekiti Llyod Nchunga, kama sio kuudhi basi kinatia kichefuchefu kwa kila anayekisikia, kuhusiana na viongozi kutowalipa wachezaji mishahara na posho zao. Bila kuficha niweke wazi kuwa huyu sio Nchunga niliyemtarajia ndani ya Yanga na kama kiongozi mwenyewe ndiye huyu, basi Yanga watambue kuwa walichemka kumpa madaraka na itabidi wakubali maumivu kwa miaka yote minne atakayowaongoza.
Nia aibu kusikia wachezaji wanaidai mishahara au posho, Yanga ya sasa ambayo wadhamini wao wakuu, Kampuni ya bia nchini (TBL), imebeba mzigo mzito wa kuwalipa mishahara wachezaji, huku kiasi kinachozidi katika makubaliano yao kilipwa na mfadhili na mdhamnini wao Yusuf Manji.
Kwa kweli hiki sitakiita kiini macho bali ni upuuzi usiopaswa kufumbiwa macho na wenye klabu yao, ambao ni wananchama wa Yanga.
Wanapaswa kuomba mkutano wa dharura na kujadili mustakabali wa klabu yao kabla ya kuanza kwa mzunguko wa pili wa Ligi hiyo hapo Januari 17 mwakani, vinginevyo wafute ndoto zao za kutaka kulirejesha kombe la Ligi kuu, Jangwani.
Awali sikuamini niliposikia wachezaji wa Yanga wamegoma, kwa sababu ya kuushinikiza uongozi uwalipe malimbikizo ya mishahara na posho zao, lakini baada ya kumpigia simu swahiba yangu, ambaye ni mmoja wa wachezaji waYanga na kunithibitishia juu ya hilo, niliishiwa nguvu.
Alinieleza kuwa wachezaji wamefikia uamuzi wa kugomea mazoezi kwa sababu ya kutaka kuushinikiza uongozi uwalipe mishara, posho pamoja na malimbikizo za fedha za usajili ambazo baadhi yao wangali wanapigwa danadana na uongozi hadi leo.
Kwa kweli nilistaajabu kusikia hivyo, kilichonistaajabisha ni wapi zilipokwenda fedha zilizotolewa na mfadhili wao kwa ajili ya usajili, hadi kusababisha baadhi ya wachezaji waliosajiliwa wakopwe.
Aidha nilijiuliza pasipo kupata majibu kama uongozi wa Yanga chini ya Nchunga umeshindwa kuwa waaminifu wa kuzifikisha fedha zilizotolewa, hivi watawezaje kusaka fedha kwa ajili ya miradi ya maendeleo kama walivyoahidi.
Kwa hakika ninasikitika kuona uongozi ulioingia madarakani Julai 18 mwaka huu, kwa matumaini makubwa ukienda upogo kwa muda mfupi kiasi hiki.
Ninawasikitikia wana Yanga waliomuamini Nchunga na kumpa madaraka haya makubwa ya kuwaongoza huku wakiwa hawamjui vema kuhusu utendaji wake na sasa anawatumbukiza korongoni mchana kweupe.
Hapo hili lililotokea sina imani kabisa kama ataweza walau kuwapa mafanikio ya kisoka achilia mbali ya yale ya maendeleo ya kiuchumi, ambayo ndio kiu yao kuu.
Yanga ambayo imekuwa haifanyi vema kwenye michuano ya kimataifa licha ya kubahatika kushiriki kwenye michuano CAF karibu kila mwaka lakini imekuwa ikiishia hatua ya kwanza au ya pili.
Ni mara moja pekee ilipoweza kufika walau hatua ya robo fainali ya Klabu bingwa barani Afrika mwaka 1998, ikiwa ndio mara ya kwanza nay a mwisho kufika hatua za juu zaidi katika michuano yoyote mikubwa kwa klabu barani Afrika.
Kutokana na hilo wadau, wapenzi na wananchama wa Yanga tama yao kubwa ni kumpata kiongozi atakayewawezesha kufanya vizuri kwenye michuano hiyo na kutwaa walau taji lao la kwanza.
Lakini kwa uongozi wenywe huu, naamini kabisa kwamba hakuna uwezekano wa kufikia hata ile rekodi iliyowekwa na watani zao Simba ya kufika fainali ya Kombe hilo waliyoiweka mwaka 1993, wakati huo likiitwa Kombe la CAF.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom