Barcelona ina imani ya kumsajili wachezaji wawili wa kiungo cha kati waliowalenga msimu ujao wa joto. Wachezaji hao ni Paul Pogba, wa manchester united na wa Paris St-Germain' raia wa Ufaransa Adrien Rabiot, na mchezaji wa kiungo cha kati wa Ajax Frenkie De Jong. (Sport)
AlfaPii