Michezo(Tetesi & Usajili).

Michezo(Tetesi & Usajili).

Screenshot_2018-08-29-22-31-21.jpg
 
Ryan Giggs says Jose Mourinho is the right man to lead Manchester United despite the club's poor start to the season.
United are six points behind league leaders Liverpool after only three games, following
consecutive defeats to Brighton and Tottenham
 
Yaya Toure's agent has posted a cryptic message on Twitter claiming the Ivory Coast international has passed a medical in London.
Toure's deal at the Etihad expired earlier this summer as he ended his eight-year affair with the club in style - winning his third Premier League title in record-breaking fashion.
The former Barcelona midfielder is yet to announce where he will be moving next, but his agent dropped a big hint on Tuesday evening suggesting news of his future is close.
 
Manchester City ina wasiwasi Manchester United itawapiku katika hatua yao kumsajili mchezaji wa kiungo cha kati raia wa Ureno Ruben Neves mwenye umri wa miaka 21 kutoka Wolves. (Goal)

AlfaPii
 
Aliyekuwa mchezaji wa kiungo cha kati wa Manchester City na timu ya taifa ya Ivory Coast Yaya Toure, mwenye miaka 35, anakaribia kukamilisha uhamisho wake kurudi Olympiakos. (Mirror)

AlfaPii
 
Paris St-Germain wako tayari kumsajili mchezaji wa kiungo cha mbele wa Stoke na Cameroon Eric Maxim Choupo-Moting, mwenye umri wa miaka 29. (Sun)

AlfaPii
 
Beki wa kushoto wa Tottenham Danny Rose, bado anatarajia kuendelea kuwa katika klabu hiyo baada ya kufungwa dirisha la uhamisho Ulaya Ijumaa. (Mail)

AlfaPii
 
Winga wa Ubelgiji Nacer Chadli, mwenye umri wa miaka 29, anataka kuihama West Brom kabla ya Ijumaa. (Telegraph)

AlfaPii
 
Barcelona ina imani ya kumsajili wachezaji wawili wa kiungo cha kati waliowalenga msimu ujao wa joto. Wachezaji hao ni Paul Pogba, wa manchester united na wa Paris St-Germain' raia wa Ufaransa Adrien Rabiot, na mchezaji wa kiungo cha kati wa Ajax Frenkie De Jong. (Sport)

AlfaPii
 
Mchezaji anayelengwa na Barcelona De Jong anasema atasalia Ajax, lakini mchezaji huyo wa kiungo cha kati raia wa Uholanzi bado hajakataa uhamisho kwenda Nou Camp katika siku zijazo. (NOS)

AlfaPii
 
Kipa wa Atletico Madrid raia wa Slovenian Jan Oblak, mwenye umri wa miaka 25, hana nia ya kurefusha upya mkataba wake na klabu hiyo ya La Liga club. (AS)

AlfaPii
 
Winga wa England Jason Puncheon, mwenye umri wa miaka 32, anapigwa jicho na Middlesbrough wakati Tony Pulis akitazamia kuungana upya na mchezaji huyo wa Crystal Palace. (Teesside Gazette)

AlfaPii
 
Mchezaji wa kiungo cha mbele wa Everton raia wa Uhispania Sandro Ramirez, mwenye umri wa miaka 23, anatarajiwa kujiunga na Real Sociedad kwa mkopo kabla ya kufungwa kwa dirisha la uhamisho Ijumaa. (ESPN)

AlfaPii
 
Klabu ya Uhispania daraja la tatu UD Ibiza inataka kumsajili mchezaji wa timu ya taifa ya Italia kiungo cha mbele Antonio Cassano, aliye na miaka 36. (Corriere della Sera)

AlfaPii
 
Back
Top Bottom