Ryan Giggs says Jose Mourinho is the right man to lead Manchester United despite the club's poor start to the season.
United are six points behind league leaders Liverpool after only three games, following
consecutive defeats to Brighton and Tottenham
Yaya Toure's agent has posted a cryptic message on Twitter claiming the Ivory Coast international has passed a medical in London.
Toure's deal at the Etihad expired earlier this summer as he ended his eight-year affair with the club in style - winning his third Premier League title in record-breaking fashion.
The former Barcelona midfielder is yet to announce where he will be moving next, but his agent dropped a big hint on Tuesday evening suggesting news of his future is close.
Manchester City ina wasiwasi Manchester United itawapiku katika hatua yao kumsajili mchezaji wa kiungo cha kati raia wa Ureno Ruben Neves mwenye umri wa miaka 21 kutoka Wolves. (Goal)
Aliyekuwa mchezaji wa kiungo cha kati wa Manchester City na timu ya taifa ya Ivory Coast Yaya Toure, mwenye miaka 35, anakaribia kukamilisha uhamisho wake kurudi Olympiakos. (Mirror)
Barcelona ina imani ya kumsajili wachezaji wawili wa kiungo cha kati waliowalenga msimu ujao wa joto. Wachezaji hao ni Paul Pogba, wa manchester united na wa Paris St-Germain' raia wa Ufaransa Adrien Rabiot, na mchezaji wa kiungo cha kati wa Ajax Frenkie De Jong. (Sport)
Mchezaji anayelengwa na Barcelona De Jong anasema atasalia Ajax, lakini mchezaji huyo wa kiungo cha kati raia wa Uholanzi bado hajakataa uhamisho kwenda Nou Camp katika siku zijazo. (NOS)
Kipa wa Atletico Madrid raia wa Slovenian Jan Oblak, mwenye umri wa miaka 25, hana nia ya kurefusha upya mkataba wake na klabu hiyo ya La Liga club. (AS)
Winga wa England Jason Puncheon, mwenye umri wa miaka 32, anapigwa jicho na Middlesbrough wakati Tony Pulis akitazamia kuungana upya na mchezaji huyo wa Crystal Palace. (Teesside Gazette)
Mchezaji wa kiungo cha mbele wa Everton raia wa Uhispania Sandro Ramirez, mwenye umri wa miaka 23, anatarajiwa kujiunga na Real Sociedad kwa mkopo kabla ya kufungwa kwa dirisha la uhamisho Ijumaa. (ESPN)
Klabu ya Uhispania daraja la tatu UD Ibiza inataka kumsajili mchezaji wa timu ya taifa ya Italia kiungo cha mbele Antonio Cassano, aliye na miaka 36. (Corriere della Sera)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.