Michezo ya kamali (Butua, Mchongo pesa, cheza pesa) imekithiri kwenye vituo vya Redio

Michezo ya kamali (Butua, Mchongo pesa, cheza pesa) imekithiri kwenye vituo vya Redio

kahembe

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2015
Posts
227
Reaction score
310
Kumeibuka wimbi la michezo ya kamali katika vyombo vya habri hapa Tz mfano BUTUA PESA (REDIO FREE & KISS FM) MCHONGO PESA (CLOUDS MEDIA GROUP) CHEZA PESA (BONGO FM) katika vyombo hivyo vya habri watangazaji wamekuwa.

wakisisitiza wasikilizaji wait wacheze pesa na watashinda lakini kinacho onekana ni wizi mtupu maana wanaocheza ni wengi lakini wanao shinda nchi nzima hawazidi watu wawili.

Tunaomba mamlaka zinazohusika ziingilie kati maana Sasa watu hawafanyi kazi wanakaria kucheza pesa kwenye vyombo vya habari na mwisho wa siku hakuna wanachokipata.
 
hio ni propaganda ya ccm kupumbaza vijana na matumaini hewa. kwamba ipo siku watashinda maisha yawe simple.

hio michezo na kamari zote wamedizaini hela unayocheza iliwe .
 
Serikali ya CCM iingilie kati suala hili haiwezekani vyombo vya habari vimepewa leseni ya kutoa habari halafu zinakwenda kufanya bisashara ya kamari ! This is too much ! Hii ipo TZ tuu ! Lazima tuwe na maadili Redio ibaki kuwa redio na kamari ibaki kuwa kamari ! TCRA mko wapi iiii ?????? Mbona taifaletu linaharibika ?? Hakuna tena maadili !
Kila kitu tunataka kugeuza kamari !
 
Back
Top Bottom