Michezo Yapewa Nguvu Jimbo la Manonga

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301

MBUNGE SEIF GULAMALI AZIDI KUIPA NGUVU SEKTA YA MICHEZO JIMBONI MANONGA

Mbunge wa Jimbo la Manonga Wilaya ya Igunga Mhe. Seif Khamis Gulamali ameanza ziara rasmi kwenye Kata ya Igoweko na Vijiji vyote na Kufanya Mikutano katika Maeneo 5 kwa Maana ya Seregei, Mwina, Buhekela, Bugingija na Igoweko.

Wananchi wamepongeza Kazi zinazofanyika huku akigawa Vifaa vya Michezo, Jezi, Mipira, Gloves, Vibao vya Kubadilishia Wachezaji, Filimbi, Vibao vya Kona kwa Shule ya Sekondari Igoweko, Shule ya Sekondari Manonga; Mipira kwa Shule za Msingi za Seregei, Mwina, Buhekela, Bugingija na Igoweko.

Kazi Inaendelea Kata ya Uswaya.
 

Attachments

  • WhatsApp Image 2023-07-06 at 09.49.27(1).jpeg
    53.8 KB · Views: 3
  • WhatsApp Image 2023-07-06 at 09.49.27.jpeg
    58 KB · Views: 1
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…