Michirizi nyuma ya magoti ni ugonjwa wa Wanaume wengi

Michirizi nyuma ya magoti ni ugonjwa wa Wanaume wengi

DeepPond

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2017
Posts
41,728
Reaction score
103,997
Mwanaume uliyekamilika ukipishana na mwanamke wa hivi, lazima shingo yako igeuke. Hasa ukute ndo kavalia kanga moja, ndo katoka kuoga mnapishana koridoni[emoji39]

Au umkute kavalia suti yenye sketi fupi anaokota faili lililodondoka ofsini[emoji39]. Au kajilaza TU kwa uchovu kifudi fudi kitandani na kanga moja tu kifuani[emoji39]. Au kavalia dera anajaribu kukatiza mfereji wenye maji mengi akivuta vuta dera lake juu ya magoti lisiloe na maji[emoji39]

Ila kinachonisikitisha zaidi kwa Sasa, utakuta wanawake wanahangaika Kwenye saluni na mahospitalini kuondoa hii michirizi[emoji39]

KWAKWELI MUNGU NI FUNDI SANA



2021-10-24-20-11-02.jpg
2021-10-24-20-10-47.jpg
2021-10-24-20-10-27.jpg
images-431.jpg
 
Mwanaume uliyekamilika ukipishana na mwanamke wa hivi, lazima shingo yako igeuke.

Hasa ukute ndo kavalia kanga moja, ndo katoka kuoga mnapishana koridoni[emoji39]

Au umkute kavalia suti yenye sketi fupi anaokota faili lililodondoka ofsini[emoji39]

Au kajilaza TU kwa uchovu kifudi fudi kitandani na kanga moja tu kifuani[emoji39]

Au kavalia dera anajaribu kukatiza mfereji wenye maji mengi akivuta vuta dera lake juu ya magoti lisiloe na maji[emoji39]

KWAKWELI MUNGU NI FUNDI SANAView attachment 1985658View attachment 1985659View attachment 1985660View attachment 1985661
mimi hata sijui matumizi yake!

SHIDA YANGU HUWA KIBOX TU KIDOGO KILE CHA MBELE.......!!
JamiiForums1283450169.jpg
 
Back
Top Bottom