Michuano ipi ya World Cup ilikuwa bora sana kuitazama?

Nakumbuka ile fainali ya kombe la dunia ambapo moja kati ya zile mechi Naigeria alimpiga Spain 3/2.....
 
Hivi Materazzi alimwambia nini Zidane siku ile mpaka akamtwanga kichwa?

Ni hilo tu.
 
Ile ya 2014 ambayo German walichukuwa. Pia robo finally walimpiga Brazil 7-1. Ni mashindano ya kihistoris kwangu.

2010 South Africa kulinoga sana. Ghana walikuwa Bora kiasi chale na German ilitoa dozi kubwa kama kawaida yake Kwa team za England na Argentina
 
Qatar 2022
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…