Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
Nimecheka sana kusikia eti Zalan wwmeomba kucheza gemu zao zote hapa bongo, mchezo wa kwanza ukipigwa chamazi na wa pili pale kwa Mkapa, najiuliza kama kweli Zalan wako serious.
Kwann gemu isipigwe uwanja wa Al Hilal au El Merreikh, hawaoni gemu kupigwa bongo ni kupoteza muda na bora wangekaa kwao huko Sudan.
Kwann gemu isipigwe uwanja wa Al Hilal au El Merreikh, hawaoni gemu kupigwa bongo ni kupoteza muda na bora wangekaa kwao huko Sudan.