Hii imekaaje? Mpinga picha ameteuliwa kuwa mwandishi wa habari?
Hahaaa haaaa kwani JK ni shabiki wa timu ganii??
Kibonde anakauka koo tu kwa kubwabwaja tu kwenye Radio ya wafu wakati wenzake wanakula
After all amekuwa akiipa nguvu sana CCM kwa picha na habari ktk Blogu yake.....Juhudi zake zimemlipa teh teh teh
Anawanyanyuwa kutoka wapi ?Ananyanyua waislam wenzake
national housing wamempa ulaji Kilaza kibondeHahahahaha yule kibonde anavyojipendekezaga kwa magamba roho inamuumaje: yani staili ni mupe mupe kibonde muruke.
Michuzi ni usalama wa Taifa na tena humpelekea mkulu habari nyingi za mitaani, naona sasa ameamua kumkaribisha ubavuni kwake kabisa