Angalia usipate ya nyau, au mbwa walio gongwa barabarani mkuu.Salaam wadau. Nipo Rock City now. Nataka nipige mishikaki ya pale salma cone. Last time nilikuja mwanza 2016 na kupata fursa ya kutembelea pale Salma Cone na kula mishikaki mixer kachumbari na ukwaju ulio kwenda shule ambavyo huwezi kuvipata popote pale duniani isipokuwa hapo Salma Cone. Wadau wa mishikaki ya SALA CONE MZA ni mida gani mishikaki hiyo inakuwa tayari ? With much thanx in advance.
Asante sana bro. Rocl City iko poa sana. Nafurahia kila dakika . Ngoja nianze kusogea sogea hapo Salma Cone nichukue mishikaki yangu.Napendelea mida ya jioni jioni kuanzia saa kumi, maana kunakuwa na kautulivu kwa mbaali.
Naona siku hizi mangosha wanachukua takeaway zao wanapanda juu ya daraja jipya la waenda kwa miguu pembeni ya Rock City hapo wanatafuna mishikaki mpaka inaisha huku wanauza sura kufurahia matunda ya awamu ya 5.
All in all karibu kona ya Bwiru tuongeze fat mwilini.
Na mie nakujaNapendelea mida ya jioni jioni kuanzia saa kumi, maana kunakuwa na kautulivu kwa mbaali.
Naona siku hizi mangosha wanachukua takeaway zao wanapanda juu ya daraja jipya la waenda kwa miguu pembeni ya Rock City hapo wanatafuna mishikaki mpaka inaisha huku wanauza sura kufurahia matunda ya awamu ya 5.
All in all karibu kona ya Bwiru tuongeze fat mwilini.
weeeeeeeeeeeeee. nije? hebu tuwasiliane 0282540529 nije tule mishikaki hiyo
Njoo huku Villa Park tule Sato wa kuchoma aliyeenda skuli!!weeeeeeeeeeeeee. nije? hebu tuwasiliane 0282540529 nije tule mishikaki hiyo
Hata jana nilikuwa hapo.Njoo huku Villa Park tule Sato wa kuchoma aliyeenda skuli!!
Mwanza hakunaga huo "ushuzi"Angalia usipate ya nyau, au mbwa walio gongwa barabarani mkuu.
Ya nyau wanalishwagwa wanaume wa Dar pale uwanja wa mbiti!!Mwanza hakunaga huo "ushuzi"
Ha ha ha haNa mie nakuja
hahahahahahahahahahaha, nialike nita ji pretend kuwa sili sanaHa ha ha ha
we usije aiseee, Nakujua hunaga maskhara kwenye misosi....
Hapana, niko mbali kidogo, nyie endeleeni. Mi nikiwa huko nashambulia sana Satoduh upo Rock City bro?
Tukutane hapo ms basiNapendelea mida ya jioni jioni kuanzia saa kumi, maana kunakuwa na kautulivu kwa mbaali.
Naona siku hizi mangosha wanachukua takeaway zao wanapanda juu ya daraja jipya la waenda kwa miguu pembeni ya Rock City hapo wanatafuna mishikaki mpaka inaisha huku wanauza sura kufurahia matunda ya awamu ya 5.
All in all karibu kona ya Bwiru tuongeze fat mwilini.
Ni ya wapi?Asante sana broo. Around saa kumi na moja nitakuwa maeneo hayo. Ile mishikaki si ya dunia hii.
Kumbe wewe ni jirani yangu mkuu?Napendelea mida ya jioni jioni kuanzia saa kumi, maana kunakuwa na kautulivu kwa mbaali.
Naona siku hizi mangosha wanachukua takeaway zao wanapanda juu ya daraja jipya la waenda kwa miguu pembeni ya Rock City hapo wanatafuna mishikaki mpaka inaisha huku wanauza sura kufurahia matunda ya awamu ya 5.
All in all karibu kona ya Bwiru tuongeze fat mwilini.