Mida ya saa tisa usiku mpaka saa kumi na moja ndio mida ya kupata nguo na viatu grade 1 kwa bei rahisi kutoka kwa wauza mitumba

Achana na ntumba, nunua jinzi mpya nzito bei ya jumla 16k chukua tano na raba mpya 35k to 45k hapo unapata airforce na air Jordan nunua tishet mpya kwa 11k au jezi kwa 15k tayari unaulamba achana na hayo ma yuzidi mzee
Wapi hapo?
 
Unafikiri ni rahisi Sana. Nenda halafu ulete mrejesho. Ukiwa mgeni utajulikana na hutauziwa kwa bei hiyo Kamwe kama 'wenyeji' wanavyouziwa. Kwanza hata lugha wanayotumia hutaielewa kamwe.
 
Ila hapo kwenye kiatu kuuzwa 8K karume halafu mwenge 100K.

Mbona gap kubwa sana.
Nahs kakosea mm nilienda mida ya saa 3 na nilikuwa nimechelewa nikakuta vile viatu vya italy brands kubwa ambavyo madukan wanauza 150,000 nikakuta wanauza had 55k a ni vikal balaa sasa kama ningewah nahs ningeuziwa had 40k au 30k
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…