SIPENDI SIASA
JF-Expert Member
- Dec 28, 2024
- 791
- 1,199
- Thread starter
-
- #21
Uislam na Ukristo upo Dodoma vijijini. Uyahudi upo Dodoma vijijini??..Operation Solomon, zoezi hili lilikuwa la kuwarudisha wayahudi Israel kutoka Ethiopia, kwa kifupi wapo Ethiopia na Ethiopia imo Africa.
Tujitahidi kutumia simu zetu za bei kali kapata taarifa za mambo tusiyoyajua badala ya kuchati na kujipiga picha.
Okay..Wayahudi wanasema wao hawawezi kumshawishi mtu mwingine kufuata dini na mafundisho yao mpaka yeye mwenyewe aelewe mafundisho hayo na aamue kwa hiari yake kuifuata,
Ukristo ulienea kwa sababu ya colonization..Jews wapo ugsnda,ethiopia,ertrea nk tatizo hausomi na kingine mtawanyiko wa hizi imani ni mpango wa mungu jiulize why ukristo ndio din kubwa duniani kuliko zote kazi kwako
Ukristo ulikuwepo hata uyahudi baada ya kristo kupaa!Middle East kuna dini kuu tatu (Christianity, Islam na Jews).
Kwanini Uislam na Ukristo uliletwa Africa na sio Uyahudi?? What went wrong with Jews??..
~ SIPENDI SIASA ~
Sio kweli kuna nchi hazijatawaliwa na zina asilimia kubwa ni wakristo mfano ethiopia,liberia nkUkristo ulienea kwa sababu ya colonization..
Kuna kitu umeandika hakileti mantikiKueneza dini inabidi kwanza uwe na Taifa... wayahudi walikuwa hawana Taifa ...wanaishi kwenye nchi za watu wanafukuzwa.....hadi mwaka 1948 waliposaidiwa kuundiwa Taifa lao na British Empire na American power...
La pili dini zilitumika kueneza ukoloni..
Huwezi eneza ukoloni iwapo wewe mwenyewe mnyonge hadi Hitler anawakusanya na kuwachinja....
Wayahudi wamekuwa na nguvu baada ya second world war kuisha...
Kabla ya hapo walikuwa wanafukuzwa kila nchi Kwa utapeli na kushikilia uchumi wa nchi husika...soma history... wayahudi wamefukuzwa Ulaya yote