Midomo mibaya

Hakuna mdomo mzuri na mbaya, wote tunapaswa kulinda sana maneno ya vinywa vyetu maana maneno huumba pasipo kujali maneno hayo yametoka katika mdomo mzuri au mbaya
 
Hakuna mdomo mzuri na mbaya, wote tunapaswa kulinda sana maneno ya vinywa vyetu maana maneno huumba pasipo kujali maneno hayo yametoka katika mdomo mzuri au mbaya
Mmh Thad nimekutana na haya mambo
 
Mmh Thad nimekutana na haya mambo
Wengi tu wahanga wa maneno tuliyonenewa na kujinenea wenyewe pasipo kujua kuwa ipo siku yatatugharimu.
Kikubwa na kuomba toba na kufuta sumu ya maneno hayo kwa msaada wa damu ya Yesu
 
Wengi tu wahanga wa maneno tuliyonenewa na kujinenea wenyewe pasipo kujua kuwa ipo siku yatatugharimu.
Kikubwa na kuomba toba na kufuta sumu ya maneno hayo kwa msaada wa damu ya Yesu
Aaamen
 
Wengine wanamaono sijui akikwambia jambo usifanye au mahala usiende ukaenda unalo..Mshana tutengenezee na ya macho mabaya yanatokana na nini kuna idd-alhaji moja sijala nina dukuduka mpaka leo.
 
Wengine wanamaono sijui akikwambia jambo usifanye au mahala usiende ukaenda unalo..Mshana tutengenezee na ya macho mabaya yanatokana na nini kuna idd-alhaji moja sijala nina dukuduka mpaka leo.
Macho y zongo ndio zile ishu za kijicho hakuna tofauti kabisa na mdomo mbaya kuna jicho baya pia na mguu mbaya....
 
Kwa kuongezea tu , lakini pia Imeandikwa laana isiyo na sababu haiwezi kumpata Mtu !
Au hii ni hoja tofauti na mada iliyopo @ Mshana Jr?
 
Kuna uvutano mkubwa mkubwa wa kiroho pale... Na kuna mambo hupaswa kutokea ili unabii UTIMIE
Ametokea kwa sababu ili unabii utimie maana tuliomba Mkali na Mungu katupa sema hulka ya binadamu kusahau,
 
Kwa kuongezea tu , lakini pia Imeandikwa laana isiyo na sababu haiwezi kumpata Mtu !
Au hii ni hoja tofauti na mada iliyopo @ Mshana Jr?
Haiko mbali sana japo mdomo mbaya ni kitu tofauti kidogo... Mtu from no where anakuambia ukienda leo hufanikiwi na Kweli inakuwa hivyo... Laana ni kitu cha permanent
 
True kinywa kichafu ni roho chafu,sababu ya sumu aliyojaa nayo mtu, mwilini.Wengi wanasumu,wamejaa sumu,ndio maana wengi unena machafu.
Mdomo ni lango kuna chanzo
 
Na kati ya hao kuna watu wakikuomba kitu ukawanyima, kama kisipopotea basi kitaharibika...
Kuna jamaa yetu akikisifia kitu chako basi lazima aidha kiharibike, kipotee au kidhurike kwa namna yoyote ile.
Kuna siku alisifia gari mpya ya ndugu yake baada ya siku 2 gari ilipata ajali ikaharibika haifai,
Mdogo wake wa kike alinunua gauni mpya alivyomfia siku hiohio liliungua wkt anapika jikoni.
Alimsifia mbwa wng siku hiohio akaanza kuugua baada ya siku 3 mbwa wng akafa.
 
Mdomo ni lango kuna chanzo
True mdomo mchafu ukausha NURU,Wengi wenye sumu mwilini huwa na roho mbaya,kwa sababu ya roho mbaya, kila wafanyalo ubuma maana lafanya kwa hila, halina BARAKA,wengi pia hawastawi kiuchumi.
 
[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] ndio aina ya midomo ninayozungumzia sasa
Mimi kuna mzee wa kigogo alinipa zawadi ya kisu kisu kizuri sana stainless steel.... Mimi huwa nathamini mno zawadi, nikakipenda na kukitunza kweli kile kisu nikaenda nacho chuo term ya kwanza nikarudi nacho salama.... Wakati wa likizo kuna mtu wangu wa karibu kabisa SITAMTAJA akaniomba kile kisu nikamkatalia kiaina...
Baada ya kurudi chuo term ya pili, mwanachuo mwenzangu akanianzima kilirudi vipande viwili
 
True mdomo mchafu ukausha NURU,Wengi wenye sumu mwilini huwa na roho mbaya,kwa sababu ya roho mbaya, kila wafanyalo ubuma maana lafanya kwa hila, halina BARAKA,wengi pia hawastawi kiuchumi.
Midomo mibaya kiroho inatema sumu na matamshi yake ni moto unaounguza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…