Malumbo wa ngullo
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 3,246
- 11,011
....Mdomo ni lango kuna chanzo
..Na hii ya kunuia kwenye jambo lolote ulifanyalo bila dawa yoyote. Ili liende sawa , lina matunda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
....Mdomo ni lango kuna chanzo
Mshana jr.ahsante kwa somo nzuriSi ubaya wa umbo la hasha..... Wala si tafsiri ya midomo michafu... Uchafu kwa maana ya kutokuwa msafi... Na uchafu kwa maana ya matusi na maneno yasiyo na staha
Tunaishi kwenye jamii ambazo ni jambo la kawaida kusikia kuwa fulani ana mdomo mbaya.. Na anaweza kuwa ndugu jamaa rafiki ama hata wewe mwenyewe.... Mdomo uliobeba roho hasi.... Kuna watu wakisema nimeota msiba... Basi jua utatokea msiba.. Ni afadhali asiseme... Kuna mtu akisema kutatokea jambo baya basi ni lazima iwe
Je ni nguvu gani hii? Kuna nini ndani yake? Kuna uhalisia na uhusiano gani kati ya matamshi yake na kile kitakachotokea kwa usahihi wake!?
Maneno huumba roho lakini kuna midomo pia ina mapepo wabaya.. Mtu mwenye mdomo wa aina hiyo akikunenea mabaya lazima udhurike
Tuna mapepo na roho hasi tumebeba miilini mwetu... Yapo ya kila aina
Ya roho mbaya
Ya uzinzi
Ya ulevi
Ya ubatili
Ya umbea
Ya kujisifu
Ya uchawi, ushirikina na ulozi nknk
Yote haya tumeyabeba maungoni mwetu... Na tunapoyapa nafasi kidogo tu basi huitumia vilivyo...
Na yanatumiaje vilivyo? Kupitia milango mitano ya fahamu na katika yote hiyo inayokamilisha mambo ni kauli
Chunga sana kauli kwakuwa mkono hauwezi kukufikia mbali lakini kauli husafiri na kubeba Roho ya maangamizi....
Kauli ina nguvu kauli ina uhai na ndio maana kwenye mambo mengi huambiwa toa kauli yako ya mwisho.... Maandishi yapo lakini maandishi bila kauli si chochote... Viapo laana na manuizi vyote hivi vimebeba roho
Epukana na mtu mwenye mdomo mbaya ni hatari kuliko mchawi wa tunguli
Roho chafu,sumu ya maneno machafu ni nguvu utendayo kazi na umpata pia alie mchafu,kwa Maana negative upenya kwenye negative, negative haipenyi kwenye kitu kilicho positive....
..Na hii ya kunuia kwenye jambo lolote ulifanyalo bila dawa yoyote. Ili liende sawa , lina matunda
...mshana, nje ya maada kidogo. Hawa jamaa za mbinguni, wakina Lucifer ivi jamii yao wakoje? Wazungu/ waarabu au physical yao ikojeNdio hasa kama ni mtu wa ibada sana au meditation
Mfano bwana Pepsi sababu ya kinywa chake kinakisi yaliyoko moyoni mwake, kila afanyalo linabuma,sababu Mungu ni wa wote,na ujua hila za waja wake,Maana hakuna mwenye hatimiliki na dunia.Nuru imetoweka na Giza limetanda kwenye nchi ya ahadi kwa Maana mfalme wa Giza kupitia bwana Pepsi amekaa ktk kiti cha enzi,usiombe kutwa na bwana pepsi hata kwa kuinywa siku yako itakuwa nyeusi.
'Mbinguni' hakuna hii miili iharibikayo... Hii yenye kikomo cha uhai na matabaka ya rangi kabila na utaifa.... Huko kuna roho tu...mshana, nje ya maada kidogo. Hawa jamaa za mbinguni, wakina Lucifer ivi jamii yao wakoje? Wazungu/ waarabu au physical yao ikoje
sio kuomba ata kwenye biashara mkapishana ata bei tu jua huwez kuuza kwa mtu yoyote nna ushaid wa hili na uyu mtu ni wa uwezo wa juu lakin ana mdomo mbaya balaa kuna nyumba kama 4 alishidwa bei miaka inakatika hamna mteja mpaka muuzaj amtafuteNa kati ya hao kuna watu wakikuomba kitu ukawanyima, kama kisipopotea basi kitaharibika...
Ni kweli kabisa ni kama wana gundu au dawasio kuomba ata kwenye biashara mkapishana ata bei tu jua huwez kuuza kwa mtu yoyote nna ushaid wa hili na uyu mtu ni wa uwezo wa juu lakin ana mdomo mbaya balaa kuna nyumba kama 4 alishidwa bei miaka inakatika hamna mteja mpaka muuzaj amtafute
Vipi kule tutakutana na kuwakumbuka tena wapendwa wetu waliotangulia mbele ya haki,Maana hakuna Furaha kuu kama ya kuja kuonana na mzazi wako.'Mbinguni' hakuna hii miili iharibikayo... Hii yenye kikomo cha uhai na matabaka ya rangi kabila na utaifa.... Huko kuna roho tu
Due sio bure itakuwa alishindwa hata zile za Dr shika ndo maana haziuziki.sio kuomba ata kwenye biashara mkapishana ata bei tu jua huwez kuuza kwa mtu yoyote nna ushaid wa hili na uyu mtu ni wa uwezo wa juu lakin ana mdomo mbaya balaa kuna nyumba kama 4 alishidwa bei miaka inakatika hamna mteja mpaka muuzaj amtafute
Kuna watu wana phd za roho mbaya hadi biashara haiziki,kama hao wakipewa Kazi ya kugawa pumzi nusu ya roho ya dunia ndo ingebaki tena ya maswaiba zao.Ni kweli kabisa ni kama wana gundu au dawa