Midomo mibaya

Mshana jr.ahsante kwa somo nzuri
 
 
Pamoja na unabii huu ila tusisahau huu mstari.... Nijapopita kati ya bonde la uvuli wa mauti SITAOGOPA mabaya (ya bwana Pepsi) kwakuwa wewe (Bwana) u pamoja nami... Gongo lako na fimbo yako vyanifariji.... Waandaa meza machoni pangu.... MBELE ya watesi wangu.......,
 
...mshana, nje ya maada kidogo. Hawa jamaa za mbinguni, wakina Lucifer ivi jamii yao wakoje? Wazungu/ waarabu au physical yao ikoje
'Mbinguni' hakuna hii miili iharibikayo... Hii yenye kikomo cha uhai na matabaka ya rangi kabila na utaifa.... Huko kuna roho tu
 
Na kati ya hao kuna watu wakikuomba kitu ukawanyima, kama kisipopotea basi kitaharibika...
sio kuomba ata kwenye biashara mkapishana ata bei tu jua huwez kuuza kwa mtu yoyote nna ushaid wa hili na uyu mtu ni wa uwezo wa juu lakin ana mdomo mbaya balaa kuna nyumba kama 4 alishidwa bei miaka inakatika hamna mteja mpaka muuzaj amtafute
 
sio kuomba ata kwenye biashara mkapishana ata bei tu jua huwez kuuza kwa mtu yoyote nna ushaid wa hili na uyu mtu ni wa uwezo wa juu lakin ana mdomo mbaya balaa kuna nyumba kama 4 alishidwa bei miaka inakatika hamna mteja mpaka muuzaj amtafute
Ni kweli kabisa ni kama wana gundu au dawa
 
'Mbinguni' hakuna hii miili iharibikayo... Hii yenye kikomo cha uhai na matabaka ya rangi kabila na utaifa.... Huko kuna roho tu
Vipi kule tutakutana na kuwakumbuka tena wapendwa wetu waliotangulia mbele ya haki,Maana hakuna Furaha kuu kama ya kuja kuonana na mzazi wako.
 
sio kuomba ata kwenye biashara mkapishana ata bei tu jua huwez kuuza kwa mtu yoyote nna ushaid wa hili na uyu mtu ni wa uwezo wa juu lakin ana mdomo mbaya balaa kuna nyumba kama 4 alishidwa bei miaka inakatika hamna mteja mpaka muuzaj amtafute
Due sio bure itakuwa alishindwa hata zile za Dr shika ndo maana haziuziki.
 
Kuna watu wana phd za roho mbaya hadi biashara haiziki,kama hao wakipewa Kazi ya kugawa pumzi nusu ya roho ya dunia ndo ingebaki tena ya maswaiba zao.
Hahahaaa
 
Bora mwenye mdomo mbaya kuliko mwenye mawazo mabaya alafu yanatokea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…