Mie mgeni nianzie kona gani hapa JF? I am not married & searching!

Mie mgeni nianzie kona gani hapa JF? I am not married & searching!

Karibu sana, huku ni sawa na Gambosh ukileta za kuleta unabutuliwa na yeyote yule....

Ukiwa msoma ramani kabla ya kuanza safari yako basi hutogombana na mtu humu.

Kila la kheri na safari njema.

Mie na juli kana kama bibi kizee kigagula ambaye ni mbishi wa kuzeeka maana nakula bata na.mahaba kwangu siwezi kuwa acha japo nimezeeka. Nakesha nakula ujana kama popo woooow woooh.

Kasinde.
Duh...huu ni mkwara ni mzito [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Karibu sana kila reply ichukulie kama tofali kwenye ujenzi wa ukuta wako (sio kama ule wa mirerani lakini) ukuta wa kifikra
Hilo la kuhusu dem nipe ramani napataje humu? Naona watu wapo kmya
 
Mie nakushauri tu ungerudi ulikotoka maana ulivyokuja speed umetanguliza miguu badala ya kichwa utafikiri umeambiwa wanagawa ukuu wa Wilaya!
Umeingia choo cha walevi rudi tu huko FB
 
Mie nakushauri tu ungerudi ulikotoka maana ulivyokuja speed umetanguliza miguu badala ya kichwa utafikiri umeambiwa wanagawa ukuu wa Wilaya!
Umeingia choo cha walevi rudi tu huko FB
Mkuu nashukuru kwa ukaribisho wako pia
 
Kar
Mimi ni mgeni. Hodi!

Najitambulisha kwenu waungana nipokeeni. Nimejiunga kwa malengo mengi tu, ikiwa ni pamoja na kukutana na watu serious ili kama Mungu atatupa kibali basi nipate mke humu.

Nafurahi kujiunga nanyi naomba maelekezo ya start-up kama kuna utaratibu wowote na ethical issues pia nijulishwe.

Mawasiliano: ssekenke@gmail.com
karibu
 
Avatar yako inafanana na ya msela wa manzese mna undugu
 
Yenye avator matata
484648.jpg
 
Ah we pita pita kona zote....utakapopapenda weka kambi....

Umeolewa hujaolewa hyo sio biashara yetu....afu badirisha avatar yako.....hawaruhusu zaina hyo humu.....utapigwa Ban
Mkuu avatar gani zinatakiwa na zipi hazitakiwi?
 
Back
Top Bottom