Mieleka ni uongo?

Mieleka ni uongo?

Bin Shaib

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2019
Posts
1,346
Reaction score
1,221
Wana Jf natumai mpo wazima wa afya ,nami nipo good kiafya na Mungu ni mwema siku zote.

Kuna hii michezo ya mieleka, huwa naiangalia lakini mimi sijawahi kukubali kuwa huo huwa ni ukweli.

Kwa mimi huwa naona kama ni kitu ambacho wanaigiza, na ambacho kinaniaminisha kuwa niwaigizaji,

Nipale mtu anauwezo wa kupigwa hadi akatakata kabisa na kuishiwa pozi, chakushangaza atainuka tena na kumpiga mwenzie hadi nae anapoteza system zote

Na kingine ambacho huwa siamini kama nikweli ni ile hali ya kupigwa na vitu vizito lakini jamaa limo tu, linapigizwa kwenye ukuta limo tu,

Mpaka muda huu naandika haya naamini michezo ya mieleka ni uongooooooo [emoji123][emoji125][emoji125][emoji125]
 
unasemaje ni uongo wakati unashuhudia kabisa mtu anachezea vitasa?

watu huvunjika viungo pale hupata ulemavu wa kudumu though ni mchezo unaoongozwa kwa sheria ndio maana unakuta wanakwambia DON'T TRY THIS AT HOME
 
unasemaje ni uongo wakati unashuhudia kabisa mtu anachezea vitasa?

watu huvunjika viungo pale hupata ulemavu wa kudumu though ni mchezo unaoongozwa kwa sheria ndio maana unakuta wanakwambia DON'T TRY THIS AT HOME
Hizo nguvu wanatumia na madawa?
 
Hizo nguvu wanatumia na madawa?
sina uhakika sana mkuu ila zile issue kama ni maigizo ni kwa asilimia chache sana Randy Orton aliwahi vunjwa bega live akakaa nje kwa muda mrefu lakini pia kuna case nyingine ya jamaa mmoja alikuwa anamuomba msamaha mwenzake baada ya kumnyanyua kwa kumshika vibaya hali iliyopelekea kuanguka na kuumia vibaya sana uti wa mgongo na huo ndio ukawa mwisho wa career zao.
 
Hiv umewahi kuangalia mazoezi wanaofanya?ingekuwa unaangaliaga mazoezi yao usingeuliza swali Kama hilo.kuna siku moja nilikuwa naangalia namna walivyokuwa wanafanya mchujo wakuwapitisha wanna mieleka waliokuwa wameomba kujiunga na WWE walikuwa wanapewa mazoezi Kama ukishinda hayo unaruhusiwa kujiunga nao nakumbuka Kuna watu 6 walishindwa Kati ya 16.
 
Wewe kama unaona ni maigizo, nenda pale ukumbini mchezo umeisha, uombe na wewe uigize pia na yule aliyeshindwa (achana na mshindi) japo dakika mbili, uone wanaigiza kweli au iko vipi.
Kwa ufupi tu ule mchezo una taratibu na sheria zake, kwahiyo usidhani kwamba inafaa kupiga popote na vyovyote, kuna sheria zake, na hizo sheria na taraibu ndiyo hupelekea watu wengi kudhani kuwa ni mchezo wa kuigiza.
 
Wana Jf natumai mpo wazima wa afya ,nami nipo good kiafya na Mungu ni mwema siku zote.

Kuna hii michezo ya mieleka, huwa naiangalia lakini mimi sijawahi kukubali kuwa huo huwa ni ukweli.

Kwa mimi huwa naona kama ni kitu ambacho wanaigiza, na ambacho kinaniaminisha kuwa niwaigizaji,

Nipale mtu anauwezo wa kupigwa hadi akatakata kabisa na kuishiwa pozi, chakushangaza atainuka tena na kumpiga mwenzie hadi nae anapoteza system zote

Na kingine ambacho huwa siamini kama nikweli ni ile hali ya kupigwa na vitu vizito lakini jamaa limo tu, linapigizwa kwenye ukuta limo tu,

Mpaka muda huu naandika haya naamini michezo ya mieleka ni uongooooooo [emoji123][emoji125][emoji125][emoji125]
Mbona hata michezo mingine watu wanaigiza na jamii inafurahi tu ?!. Mpaka bongo tuna chama cha waigizaji na bado watu wanaangalia kazi zao ?!.

Kikubwa ile kazi lazima uifanye ukiwa na kipaji
 
ni maigizo ingawa wana mieleka ni watu wa mazoezi na kuna sheria zao , kabla ya kupanda jukwaan wanakuwa wameshapanga kila kitu kuanzia mshindi mpaka jinsi watakavyopambana, na wanakuwa wameshafanya mazoezi sana kile watakachofanya jukwaani, ni feki
 
unasemaje ni uongo wakati unashuhudia kabisa mtu anachezea vitasa?

watu huvunjika viungo pale hupata ulemavu wa kudumu though ni mchezo unaoongozwa kwa sheria ndio maana unakuta wanakwambia DON'T TRY THIS AT HOME
Usisahu kuna watu wamewahi kufa ulingoni. Wanaposema don't try this at home..hawadanganyi..
 
Watu wanapigwa ngumi mle hawachaniki wala hawavimbi wakati katika ndondi ngumi moja tu mtu midamu hiyooo uso huuuuoooo na haaamki tena
Lakini kwenye mieleka watu wanapigwa hadi na viti vya chuma lakini hawapsuki
 
Wewe kama unaona ni maigizo, nenda pale ukumbini mchezo umeisha, uombe na wewe uigize pia na yule aliyeshindwa (achana na mshindi) japo dakika mbili, uone wanaigiza kweli au iko vipi.
Kwa ufupi tu ule mchezo una taratibu na sheria zake, kwahiyo usidhani kwamba inafaa kupiga popote na vyovyote, kuna sheria zake, na hizo sheria na taraibu ndiyo hupelekea watu wengi kudhani kuwa ni mchezo wa kuigiza.

Hiv umewahi kuangalia mazoezi wanaofanya?ingekuwa unaangaliaga mazoezi yao usingeuliza swali Kama hilo.kuna siku moja nilikuwa naangalia namna walivyokuwa wanafanya mchujo wakuwapitisha wanna mieleka waliokuwa wameomba kujiunga na WWE walikuwa wanapewa mazoezi Kama ukishinda hayo unaruhusiwa kujiunga nao nakumbuka Kuna watu 6 walishindwa Kati ya 16.

unasemaje ni uongo wakati unashuhudia kabisa mtu anachezea vitasa?

watu huvunjika viungo pale hupata ulemavu wa kudumu though ni mchezo unaoongozwa kwa sheria ndio maana unakuta wanakwambia DON'T TRY THIS AT HOME

Kinachoshangaza ni kuna watu wanaamini ni kweli
Hivi nyie mnaakili kweli???

Mana mi nilielewa ni maigizo tangu nina miaka16
Sasa nyie watu wazima bado mnaamini[emoji23][emoji23]
 
Mi huwa wananifurasha pale mtu ananponyanyuliwa juu yaani adui anatanua mikono ili abebwe halafu atupwe chini.
 
sina uhakika sana mkuu ila zile issue kama ni maigizo ni kwa asilimia chache sana Randy Orton aliwahi vunjwa bega live akakaa nje kwa muda mrefu lakini pia kuna case nyingine ya jamaa mmoja alikuwa anamuomba msamaha mwenzake baada ya kumnyanyua kwa kumshika vibaya hali iliyopelekea kuanguka na kuumia vibaya sana uti wa mgongo na huo ndio ukawa mwisho wa career zao.
Duuh [emoji22]
 
Hiv umewahi kuangalia mazoezi wanaofanya?ingekuwa unaangaliaga mazoezi yao usingeuliza swali Kama hilo.kuna siku moja nilikuwa naangalia namna walivyokuwa wanafanya mchujo wakuwapitisha wanna mieleka waliokuwa wameomba kujiunga na WWE walikuwa wanapewa mazoezi Kama ukishinda hayo unaruhusiwa kujiunga nao nakumbuka Kuna watu 6 walishindwa Kati ya 16.
Mazoezi gani hayo mkuu
 
Back
Top Bottom