Frustration
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,134
- 4,124
Habari za asubuhi Watanzania wenzangu.
Kwenye nchi hii kuna mambo yanaenda hovyo sana toka utoaji wa taarifa,maandalizi na mfumo mzima wa NFRA kama wakala wa chakula nchini.
Ikumbukwe wakala huyu alijinabaisha kuwa sasa atajiongezea jukumu lingine la kufanya biashara na wakulima wa mahindi nchini.
Ukiingia kwenye tofuti na matangazo yao utakuta wanasema nchi mbalimbali zinahitaji mahindi mfano kongo na Zambia na Mawali wanahitaji Unga toka nchini kwetu. Kwa maelezo yao sio chini ya tani 1.1Milion za mahindi zinatakiwa na nchi kama Kongo na Zambia.
Usanii ulianza kwenye bei ya ununuzi wa mahindi kwa wakulima, bei hazikutamkwa na NFRA bali Rais akiwa kwenye ziara zake za kikazi alianza kwa Tsh 600 kijijini na Tsh 650 mjini. Wala haikupita saa 24 akatengua kuwa mahindi yatanunuliwa Tsh 650 kwa Tsh 700.
Mapoja na maelekezo hayo NFRA hawajawahi kutoa tamko la bei ya mahindi vijijini na mjini bali mawakala wamewaachia wanunue kwa Tsh 500,550 na 600 kulingana na upepo ulivyo.
Pamoja na janja janja za mkulima kulipwa kwa kukatwa kodi n.k bado hizo hela hazitoki.
Nini kinasumbua NFRA na wakati wameingia mkataba na baadhi yq nchi kununua mahindi?
Kwenye nchi hii kuna mambo yanaenda hovyo sana toka utoaji wa taarifa,maandalizi na mfumo mzima wa NFRA kama wakala wa chakula nchini.
Ikumbukwe wakala huyu alijinabaisha kuwa sasa atajiongezea jukumu lingine la kufanya biashara na wakulima wa mahindi nchini.
Ukiingia kwenye tofuti na matangazo yao utakuta wanasema nchi mbalimbali zinahitaji mahindi mfano kongo na Zambia na Mawali wanahitaji Unga toka nchini kwetu. Kwa maelezo yao sio chini ya tani 1.1Milion za mahindi zinatakiwa na nchi kama Kongo na Zambia.
Usanii ulianza kwenye bei ya ununuzi wa mahindi kwa wakulima, bei hazikutamkwa na NFRA bali Rais akiwa kwenye ziara zake za kikazi alianza kwa Tsh 600 kijijini na Tsh 650 mjini. Wala haikupita saa 24 akatengua kuwa mahindi yatanunuliwa Tsh 650 kwa Tsh 700.
Mapoja na maelekezo hayo NFRA hawajawahi kutoa tamko la bei ya mahindi vijijini na mjini bali mawakala wamewaachia wanunue kwa Tsh 500,550 na 600 kulingana na upepo ulivyo.
Pamoja na janja janja za mkulima kulipwa kwa kukatwa kodi n.k bado hizo hela hazitoki.
Nini kinasumbua NFRA na wakati wameingia mkataba na baadhi yq nchi kununua mahindi?